Same kwa wafanyabiashara tulishaamua mapema sana kumuondoa Huyu nyoka wa kijani na kundi lake.Jiwe kapanda na kupandikiza watu wake. Jiwe mwoga sana huyu mtu sijapata kuona. Kama mumeliona hilo hongereni watumishi.
Sisi wakulima tulishafanya maamuzi ya kumuondoa huyu mharibifu wa masoko ya mazao yetu
Asanteee. Jiwe Sasa atabakia na wale aliowapa vyeo tu.Same kwa wafanyabiashara tulishaamua mapema sana kumuondo Huyu nyoka wa kijani na kundi lake.
Msitegemee sana kubebwa na kura za wizi kutoka tume.mambo yamebadilika.unaweza kubebwa usibebeke kama wananchi hawakukubali.Kwa tume gani ya uchaguzi? Hii iliyopo? Mmeliwa!
Hakuna watumishi wenye dhiki nchi hiii kama polisi na wa TBCMkuu Magacha, una hoja ya msingi lkn ila madai yenu watumishi umma ni sawa kabisa na kushindikana kwa ujenzi wa mnara wa Babeli. Wakati baadhi yenu mkiwa na hisia chanya juu ya uonevu mnaotendewa, yaani mnazungumza lugha moja.
Miongoni mwenu wapo wenye kuzungumza lugha iliyokuwa tofauti na nyinyi ijapokuwa wote mnapigika. Ebu waangalie watumishi kama vile wa TBC, polisi na wanasiasa wengine wenye ajira serikalini, hao kwa namna yoyote ile hawawezi kusikilizana na lugha yenu yenye kila namna ya mantiki na ukweli uliokuwa wazi.
October uhalisia utaonekanaSio wote wanaojiandikisha wanapiga kura,watu wanajiandikisha wapate I'd kwa matumizi mengine,kwa wastani watakaopiga kura hawazidi milioni 15 imagin watumishi na wategemezi wanakura million 3,hujaenda wafanyabiashara magumu waliyopitia,hujaenda wakulima,na Mkoa wa kagera kwa kauli za kuwabeza hapa lisu amepata milioni 7 hujaenda mikoa mingine kama singida na kusini hajafika milioni 8,magufuli anabaki na million 7 na kugawana na akina Lipumba
Nani mshindi hapa
Yaaninikifikiria kiasi ninachodaiwa na Heslb na haya makato dah!!😭😱Usiwastue, Utakapobahatika kusimamia kituo chako hakikisha ccm haitoki. Na kwa taarifa yako vyama kama chadema kimekuwa mtetezi wa wafanyakazi miaka yote. Hakuna chama kibaya kama ccm, kimetufanya tuwe maskini na hatukopesheki kabisa, na bodi ya mikopo wanatukata biala hata majadiliano 15%, lengo lao tuendelee kuwa maskini.
Tupo laki tano nukta 5 ongeza wategemezi laki 5 tunapata 1 milioni point 5 ongeza vijana jobless mitaani kama million 1.5 tunapata 3 kura hizi zikitua kwa CHADEMA ccm mtanyooka tu mwaka huu
Na bado hatujafanya manuva kama maafisa wa Tume
Sio wote wanaojiandikisha wanapiga kura,watu wanajiandikisha wapate I'd kwa matumizi mengine,kwa wastani watakaopiga kura hawazidi milioni 15 imagin watumishi na wategemezi wanakura million 3,hujaenda wafanyabiashara magumu waliyopitia,hujaenda wakulima,na Mkoa wa kagera kwa kauli za kuwabeza hapa lisu amepata milioni 7 hujaenda mikoa mingine kama singida na kusini hajafika milioni 8,magufuli anabaki na million 7 na kugawana na akina Lipumba
Nani mshindi hapa
Wewe ndy wale walipata Fufuuuufuuu..ila kazi wajomba zao wakawapatia wakiwa na Fufuuuufuuu!!Kama wewe hujapata increment ni kwa sababu ya ku underperform kwako. Sisi tulipata na tukapandishwa madaraja kwa sababu ya kufanya kazi kwa juhudi na maarifa. Pambana na hali yako.
🤣🤣🤣Huu Uzi maalumu kwa ajili ya watumishi wa umma wenye salary slip na check no ambao kwa miaka 5 tumedhulumiwa haki yetu
Serikali ya ccm haina muda na watumishi, increments kwa watumishi zimetupiliwa mbali
Watumishi tumejikuta tunafanya kazi nyingi na ngumu kisa serikali haijiri,hili linawakumba walimu na kada ya afya
Nyongeza ya mishahara ndo hivyo tena, wastaafu kupata mafao yao mpaka mungu ashuke.
Madaraja kupanda ilikuwa miaka 3 ila sasa imepelekwa hadi miaka 4, ambapo sisi watumishi tunajua daraja ndo mshahara,sasa kama madaraja hayapandi mbona mishahara yetu ina hali ngumu,na pamoja kuongeza miaka ya kupanda daraja, ukifika hata hawapandishi tena wale ambao wangepanda mwaka huu ndo hivyo tena.
Ukienda masomoni tena inakuwa dhambi kubwa ya kujiendeleza,ccm hawataki watumishi wajiendeleze ndo maana waliokuwa masomoni hawakupandishwa madaraja
Vyama vya wafanyakazi hawana sauti, hawafurukuti.
Pamoja na matatizo mengi tuliyonayo bado serikali imeshindwa kutuweka mazingira mazuri kwa wafanyakazi
Tukiwa kama wapiga kura na wengine watakuwa wasimamizi na tukiwa na hazina ya wanaotutegemea huko nyuma kura zetu zinatosha kuonyesha serikali hii kuwa hatuitaki.
Kwa wale ambao watasimamia uchaguzi kwa niaba ya Tume lazima tuje kufanya yetu.
Watumishi wa umma njoo tuiondoe serikali hii madarakani.
Huu Uzi maalumu kwa ajili ya watumishi wa umma wenye salary slip na check no ambao kwa miaka 5 tumedhulumiwa haki yetu
Serikali ya ccm haina muda na watumishi, increments kwa watumishi zimetupiliwa mbali
Watumishi tumejikuta tunafanya kazi nyingi na ngumu kisa serikali haijiri,hili linawakumba walimu na kada ya afya
Nyongeza ya mishahara ndo hivyo tena, wastaafu kupata mafao yao mpaka mungu ashuke.
Madaraja kupanda ilikuwa miaka 3 ila sasa imepelekwa hadi miaka 4, ambapo sisi watumishi tunajua daraja ndo mshahara,sasa kama madaraja hayapandi mbona mishahara yetu ina hali ngumu,na pamoja kuongeza miaka ya kupanda daraja, ukifika hata hawapandishi tena wale ambao wangepanda mwaka huu ndo hivyo tena.
Ukienda masomoni tena inakuwa dhambi kubwa ya kujiendeleza,ccm hawataki watumishi wajiendeleze ndo maana waliokuwa masomoni hawakupandishwa madaraja
Vyama vya wafanyakazi hawana sauti, hawafurukuti.
Pamoja na matatizo mengi tuliyonayo bado serikali imeshindwa kutuweka mazingira mazuri kwa wafanyakazi
Tukiwa kama wapiga kura na wengine watakuwa wasimamizi na tukiwa na hazina ya wanaotutegemea huko nyuma kura zetu zinatosha kuonyesha serikali hii kuwa hatuitaki.
Kwa wale ambao watasimamia uchaguzi kwa niaba ya Tume lazima tuje kufanya yetu.
Watumishi wa umma njoo tuiondoe serikali hii madarakani.
Tunaunga hija mkono CCM hawapati kura zetu sisi watumishi wa umma.Huu Uzi maalumu kwa ajili ya watumishi wa umma wenye salary slip na check no ambao kwa miaka 5 tumedhulumiwa haki yetu
Serikali ya ccm haina muda na watumishi, increments kwa watumishi zimetupiliwa mbali
Watumishi tumejikuta tunafanya kazi nyingi na ngumu kisa serikali haijiri,hili linawakumba walimu na kada ya afya
Nyongeza ya mishahara ndo hivyo tena, wastaafu kupata mafao yao mpaka mungu ashuke.
Madaraja kupanda ilikuwa miaka 3 ila sasa imepelekwa hadi miaka 4, ambapo sisi watumishi tunajua daraja ndo mshahara,sasa kama madaraja hayapandi mbona mishahara yetu ina hali ngumu,na pamoja kuongeza miaka ya kupanda daraja, ukifika hata hawapandishi tena wale ambao wangepanda mwaka huu ndo hivyo tena.
Ukienda masomoni tena inakuwa dhambi kubwa ya kujiendeleza,ccm hawataki watumishi wajiendeleze ndo maana waliokuwa masomoni hawakupandishwa madaraja
Vyama vya wafanyakazi hawana sauti, hawafurukuti.
Pamoja na matatizo mengi tuliyonayo bado serikali imeshindwa kutuweka mazingira mazuri kwa wafanyakazi
Tukiwa kama wapiga kura na wengine watakuwa wasimamizi na tukiwa na hazina ya wanaotutegemea huko nyuma kura zetu zinatosha kuonyesha serikali hii kuwa hatuitaki.
Kwa wale ambao watasimamia uchaguzi kwa niaba ya Tume lazima tuje kufanya yetu.
Watumishi wa umma njoo tuiondoe serikali hii madarakani.