Uchaguzi 2020 Watumishi wa umma tuiondoe CCM madarakani

Uchaguzi 2020 Watumishi wa umma tuiondoe CCM madarakani

Jiwe kapanda na kupandikiza watu wake. Jiwe mwoga sana huyu mtu sijapata kuona. Kama mumeliona hilo hongereni watumishi.

Sisi wakulima tulishafanya maamuzi ya kumuondoa huyu mharibifu wa masoko ya mazao yetu
Same kwa wafanyabiashara tulishaamua mapema sana kumuondoa Huyu nyoka wa kijani na kundi lake.
 
Mkuu Magacha, una hoja ya msingi lkn ila madai yenu watumishi umma ni sawa kabisa na kushindikana kwa ujenzi wa mnara wa Babeli. Wakati baadhi yenu mkiwa na hisia chanya juu ya uonevu mnaotendewa, yaani mnazungumza lugha moja.

Miongoni mwenu wapo wenye kuzungumza lugha iliyokuwa tofauti na nyinyi ijapokuwa wote mnapigika. Ebu waangalie watumishi kama vile wa TBC, polisi na wanasiasa wengine wenye ajira serikalini, hao kwa namna yoyote ile hawawezi kusikilizana na lugha yenu yenye kila namna ya mantiki na ukweli uliokuwa wazi.
Hakuna watumishi wenye dhiki nchi hiii kama polisi na wa TBC
 
Sio wote wanaojiandikisha wanapiga kura,watu wanajiandikisha wapate I'd kwa matumizi mengine,kwa wastani watakaopiga kura hawazidi milioni 15 imagin watumishi na wategemezi wanakura million 3,hujaenda wafanyabiashara magumu waliyopitia,hujaenda wakulima,na Mkoa wa kagera kwa kauli za kuwabeza hapa lisu amepata milioni 7 hujaenda mikoa mingine kama singida na kusini hajafika milioni 8,magufuli anabaki na million 7 na kugawana na akina Lipumba

Nani mshindi hapa
October uhalisia utaonekana
 
Siomuda wa watumishi waumma pekeyao nasisi wavuvi wakati nihuu kuipiga ccm tumedhulumiwa kwa dhanahalali kwakisingizio chakuziita haram tuwatoe watuhawa wasiojua fadhila ccm out
 
Wale wabunge sitini na ushee waliokatwa haraka wajiunge na wapokelewe chadema waache woga! Membe naye amuunge Lissu!
watumishi wa serikali wamesiginwa sana hawapaswi kukubali kuchagua manyanyaso na uonevu usiokifani labda kama watumishi hawajielewi na hawajui hakizao,tizama haya kwa uchache uniambie taifa gani lawatu wasiowaoga na wasiokubali kuchezewa chezewa watakubali yote haya na mengine mengi
1. Hakuna nyongeza ya mishahara miaka mitano.
2. Hakuna hata viincrement miaka mitano
3. Hakuna ajira miaka mitano
4. Kujiendeleza kielimu imekuwa ngumu mno
5. Hakuna semina,workshop zakujinoa kikazi
6. Bodi ya mikopo heslb inawakata kuzidi hata makubaliano
7. Kutishiwa kazini navijikamati vyasiasa,sanyingine kugombezwa kama watoto.
8. Vyama vyao uongozi kutekwa nahivyo kushindwa kutetea watumishi.
9. Madaraja kutotolewa ipasavyo na kwawakati namiaka yakupanda kuongezwa mpaka minne
10. Kikokotoo cha pensheni kuhatarisha mustakabali wanapostaafu, malimbikizi ya pensheni, fao la uzazi kutolipwa miaka kadhaa nk. nk.
Ukweli nikuwa miaka mingine itaporomosha kabisa maisha ya watumishi haswa wale wachini... Remunarations zao ndio zitatumika kujengajenga nakumpatia sifa mtu mmoja!
 
Usiwastue, Utakapobahatika kusimamia kituo chako hakikisha ccm haitoki. Na kwa taarifa yako vyama kama chadema kimekuwa mtetezi wa wafanyakazi miaka yote. Hakuna chama kibaya kama ccm, kimetufanya tuwe maskini na hatukopesheki kabisa, na bodi ya mikopo wanatukata biala hata majadiliano 15%, lengo lao tuendelee kuwa maskini.
Yaaninikifikiria kiasi ninachodaiwa na Heslb na haya makato dah!!😭😱
Five years no annual increment, walaaahi kura yangu na ndugu zangu zitaenda sehemu sahihi uchaguzi huu
 
Tupo laki tano nukta 5 ongeza wategemezi laki 5 tunapata 1 milioni point 5 ongeza vijana jobless mitaani kama million 1.5 tunapata 3 kura hizi zikitua kwa CHADEMA ccm mtanyooka tu mwaka huu

Na bado hatujafanya manuva kama maafisa wa Tume

Hao laki tano wapo walioteuliwa, wenye, vyeo wana CCM pia. Unategemea mteuliwa au mwenye cheo chake ataupigia upinzani?

Unaota.
 
Hii ni roho mbaya haijawahi tokea hapa nchini.
 
Wakuu wa idara mpaka maafisa wana posho per month bado unataka na hiyo waikose sahau kwa watumishi wa umma unajisumbua walishatekwa hawana mdomo tena bora uamasishe sie wauza michicha mtaani
 
Sio wote wanaojiandikisha wanapiga kura,watu wanajiandikisha wapate I'd kwa matumizi mengine,kwa wastani watakaopiga kura hawazidi milioni 15 imagin watumishi na wategemezi wanakura million 3,hujaenda wafanyabiashara magumu waliyopitia,hujaenda wakulima,na Mkoa wa kagera kwa kauli za kuwabeza hapa lisu amepata milioni 7 hujaenda mikoa mingine kama singida na kusini hajafika milioni 8,magufuli anabaki na million 7 na kugawana na akina Lipumba

Nani mshindi hapa

Bado waliotumbuliwa pamoja na family zao,kazi ipo mwaka huu hata akishinda itakua si kwa kiwango hiiicho wanachotarajia
 
Huu Uzi maalumu kwa ajili ya watumishi wa umma wenye salary slip na check no ambao kwa miaka 5 tumedhulumiwa haki yetu

Serikali ya ccm haina muda na watumishi, increments kwa watumishi zimetupiliwa mbali

Watumishi tumejikuta tunafanya kazi nyingi na ngumu kisa serikali haijiri,hili linawakumba walimu na kada ya afya

Nyongeza ya mishahara ndo hivyo tena, wastaafu kupata mafao yao mpaka mungu ashuke.

Madaraja kupanda ilikuwa miaka 3 ila sasa imepelekwa hadi miaka 4, ambapo sisi watumishi tunajua daraja ndo mshahara,sasa kama madaraja hayapandi mbona mishahara yetu ina hali ngumu,na pamoja kuongeza miaka ya kupanda daraja, ukifika hata hawapandishi tena wale ambao wangepanda mwaka huu ndo hivyo tena.

Ukienda masomoni tena inakuwa dhambi kubwa ya kujiendeleza,ccm hawataki watumishi wajiendeleze ndo maana waliokuwa masomoni hawakupandishwa madaraja

Vyama vya wafanyakazi hawana sauti, hawafurukuti.

Pamoja na matatizo mengi tuliyonayo bado serikali imeshindwa kutuweka mazingira mazuri kwa wafanyakazi

Tukiwa kama wapiga kura na wengine watakuwa wasimamizi na tukiwa na hazina ya wanaotutegemea huko nyuma kura zetu zinatosha kuonyesha serikali hii kuwa hatuitaki.

Kwa wale ambao watasimamia uchaguzi kwa niaba ya Tume lazima tuje kufanya yetu.

Watumishi wa umma njoo tuiondoe serikali hii madarakani.
🤣🤣🤣
 


Huu Uzi maalumu kwa ajili ya watumishi wa umma wenye salary slip na check no ambao kwa miaka 5 tumedhulumiwa haki yetu

Serikali ya ccm haina muda na watumishi, increments kwa watumishi zimetupiliwa mbali

Watumishi tumejikuta tunafanya kazi nyingi na ngumu kisa serikali haijiri,hili linawakumba walimu na kada ya afya

Nyongeza ya mishahara ndo hivyo tena, wastaafu kupata mafao yao mpaka mungu ashuke.

Madaraja kupanda ilikuwa miaka 3 ila sasa imepelekwa hadi miaka 4, ambapo sisi watumishi tunajua daraja ndo mshahara,sasa kama madaraja hayapandi mbona mishahara yetu ina hali ngumu,na pamoja kuongeza miaka ya kupanda daraja, ukifika hata hawapandishi tena wale ambao wangepanda mwaka huu ndo hivyo tena.

Ukienda masomoni tena inakuwa dhambi kubwa ya kujiendeleza,ccm hawataki watumishi wajiendeleze ndo maana waliokuwa masomoni hawakupandishwa madaraja

Vyama vya wafanyakazi hawana sauti, hawafurukuti.

Pamoja na matatizo mengi tuliyonayo bado serikali imeshindwa kutuweka mazingira mazuri kwa wafanyakazi

Tukiwa kama wapiga kura na wengine watakuwa wasimamizi na tukiwa na hazina ya wanaotutegemea huko nyuma kura zetu zinatosha kuonyesha serikali hii kuwa hatuitaki.

Kwa wale ambao watasimamia uchaguzi kwa niaba ya Tume lazima tuje kufanya yetu.

Watumishi wa umma njoo tuiondoe serikali hii madarakani.
 
Kwa waliotendewa watumishi kwa miaka mitano na utawala huu , mtumishi atayeipigia kura CCM atakuwa mgonjwa wa akili.
 
Huu Uzi maalumu kwa ajili ya watumishi wa umma wenye salary slip na check no ambao kwa miaka 5 tumedhulumiwa haki yetu

Serikali ya ccm haina muda na watumishi, increments kwa watumishi zimetupiliwa mbali

Watumishi tumejikuta tunafanya kazi nyingi na ngumu kisa serikali haijiri,hili linawakumba walimu na kada ya afya

Nyongeza ya mishahara ndo hivyo tena, wastaafu kupata mafao yao mpaka mungu ashuke.

Madaraja kupanda ilikuwa miaka 3 ila sasa imepelekwa hadi miaka 4, ambapo sisi watumishi tunajua daraja ndo mshahara,sasa kama madaraja hayapandi mbona mishahara yetu ina hali ngumu,na pamoja kuongeza miaka ya kupanda daraja, ukifika hata hawapandishi tena wale ambao wangepanda mwaka huu ndo hivyo tena.

Ukienda masomoni tena inakuwa dhambi kubwa ya kujiendeleza,ccm hawataki watumishi wajiendeleze ndo maana waliokuwa masomoni hawakupandishwa madaraja

Vyama vya wafanyakazi hawana sauti, hawafurukuti.

Pamoja na matatizo mengi tuliyonayo bado serikali imeshindwa kutuweka mazingira mazuri kwa wafanyakazi

Tukiwa kama wapiga kura na wengine watakuwa wasimamizi na tukiwa na hazina ya wanaotutegemea huko nyuma kura zetu zinatosha kuonyesha serikali hii kuwa hatuitaki.

Kwa wale ambao watasimamia uchaguzi kwa niaba ya Tume lazima tuje kufanya yetu.

Watumishi wa umma njoo tuiondoe serikali hii madarakani.
Tunaunga hija mkono CCM hawapati kura zetu sisi watumishi wa umma.
 
Back
Top Bottom