Tetesi: Watumishi wa umma waliotia nia kuendelea kuisoma namba

Tetesi: Watumishi wa umma waliotia nia kuendelea kuisoma namba

Ncha Kali

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
15,335
Reaction score
29,114
Katibu Mkuu Utumishi ametoa maelekezo kuhusu Watumishi wa Umma wanaoshiriki katika mchakato wa kugombea nyadhifa za kisiasa kwamba:-

1. Mishahara yao itaendelea kusimamishwa kwa mwezi Agosti pia.

2. Wawasilishe maombi ya vibali vya likizo bila malipo kwa KM Utumishi (kwa wale ambao ni mameneja) kupitia kwa mwajiri wao. Ambao sio meneja wataomba kwa Msajili wa Hazina

3. Vibali vya likizo bila malipo vitatolewa kwa kipindi cha miezi 2 kuanzia 1/7/2020 hadi 31/8/2020

4. Maombi ya kurejea katika Utumishi wa Umma kwa ambao hatateuliwa yawasilishwe kwa KM Utumishi kupitia kwa mwajiri kuanzia tarehe 25 /8/2020

5. Waajiri wameelekezwa mishahara ya watumishi hao iliyozuiliwa iwasilishwe kwa Katibu Mkuu Hazina.

Kufuatia hali hiyo unaelekezwa kuandika barua upya ya kuomba likizo bila malipo, ukitaja jimbo ulilogombea au viti maalum.

Utajua hujui, tutaelewana tu!
 
Si habari njema sana kwa wahusika. Kwa upande mwingine, sheria za ajira hapa nchini zinasemaje kuhusu utumishi wa umma na siasa? Aliye sahihi kwa mujibu wa sheria, asimame na sheria, umma utahukumu kwa haki hata kama wasimamia sheria kwa makusudi wataamua kupindisha, na hii ni kwa pande zote.
 
Katibu Mkuu Utumishi ametoa maelekezo kuhusu Watumishi wa Umma wanaoshiriki katika mchakato wa kugombea nyadhifa za kisiasa kwamba:-

1. Mishahara yao itaendelea kusimamishwa kwa mwezi Agosti pia.

2. Wawasilishe maombi ya vibali vya likizo bila malipo kwa KM Utumishi (kwa wale ambao ni mameneja) kupitia kwa mwajiri wao. Ambao sio meneja wataomba kwa Msajili wa Hazina

3. Vibali vya likizo bila malipo vitatolewa kwa kipindi cha miezi 2 kuanzia 1/7/2020 hadi 31/8/2020

4. Maombi ya kurejea katika Utumishi wa Umma kwa ambao hatateuliwa yawasilishwe kwa KM Utumishi kupitia kwa mwajiri kuanzia tarehe 25 /8/2020

5. Waajiri wameelekezwa mishahara ya watumishi hao iliyozuiliwa iwasilishwe kwa Katibu Mkuu Hazina.

Kufuatia hali hiyo unaelekezwa kuandika barua upya ya kuomba likizo bila malipo, ukitaja jimbo ulilogombea au viti maalum.

Utajua hujui, tutaelewana tu!

Ina maana watumishi hawajui taratibu wala sheria za kazi au ndio walihalalisha haramu kuwa halali?
Sasa waandike barua kuomba hizo likizo wakimaliza hapo wakumbuke kama walienda mikoani waombe na ruhusa ya kusafiri nje ya kituo cha kazi

Kweli hapa utajua hujui..... na uzuri tutaelewana tuu kidogokidogo
 
Katibu Mkuu Utumishi ametoa maelekezo kuhusu Watumishi wa Umma wanaoshiriki katika mchakato wa kugombea nyadhifa za kisiasa kwamba:-

1. Mishahara yao itaendelea kusimamishwa kwa mwezi Agosti pia.

2. Wawasilishe maombi ya vibali vya likizo bila malipo kwa KM Utumishi (kwa wale ambao ni mameneja) kupitia kwa mwajiri wao. Ambao sio meneja wataomba kwa Msajili wa Hazina

3. Vibali vya likizo bila malipo vitatolewa kwa kipindi cha miezi 2 kuanzia 1/7/2020 hadi 31/8/2020

4. Maombi ya kurejea katika Utumishi wa Umma kwa ambao hatateuliwa yawasilishwe kwa KM Utumishi kupitia kwa mwajiri kuanzia tarehe 25 /8/2020

5. Waajiri wameelekezwa mishahara ya watumishi hao iliyozuiliwa iwasilishwe kwa Katibu Mkuu Hazina.

Kufuatia hali hiyo unaelekezwa kuandika barua upya ya kuomba likizo bila malipo, ukitaja jimbo ulilogombea au viti maalum.

Utajua hujui, tutaelewana tu!

Weka hapa hyo barua, acha kuburuza watu , hakuna kitu km hicho.
 
stori tu hizo.
mishahara mbona tumechukua na tutaendelea kuchukua.
danganya wajinga
 
Ina maana watumishi hawajui taratibu wala sheria za kazi au ndio walihalalisha haramu kuwa halali?
Sasa waandike barua kuomba hizo likizo wakimaliza hapo wakumbuke kama walienda mikoani waombe na ruhusa ya kusafiri nje ya kituo cha kazi

Kweli hapa utajua hujui..... na uzuri tutaelewana tuu kidogokidogo
Mama D, kimsingi watumishi hawana kosa lolote walilofanya. Hawa watu waliotia nia wengi wao waliomba likizo ambazo ni haki yao ikiwa ni pamoja na kumtaarifu mwajiri kuwa wanakwenda wapi kufanya nini kitu ambacho pia ni haki yao ya kikatiba

Uwamuzi huu uliochukuliwa haupo katika sheria, kanuni au taratibu zozote za kazi, popote pale iwe sekta ya umma au binafsi! Hata huko ndani ya Chama kwenyewe hakuna anayeuunga mkono na nakuhakikishia mama D ni UAMUZI WA MTU MMOJA TU ambaye wewe mwenyewe na kila mtu anamjua

Ajabu ni kwamba kama ulichukua mkopo kwenye taasisi za fedha kutokana na mshahara wako marejesho yanapelekwa kama kawaida, na zile statutory deductions zote zinafanyika, ila mtumishi hapewi take home yake na wala haibaki kwa immediate mwajiri wake bali inapelekwa Hazina!!!! Siku hizi fedha zinapopelekwa Hazina unajua maana yake

Wengi wao watarudi kazini ingawa wale waliokua wakuu wa Idara wanatakiwa waombe tena kurudi kazini wakiwa ni watumishi wa kawaida na sio wakuu wa Idara tena. Mwajiri pia anakua na discretion ya kukubali au kukataa kumrudisha kazini mtumishi yoyote aliokumbwa na utaratibu huu!!! Wote hawajachomolewa kwenye payroll lakini mishahara yao kwa hiyo miezi miwili ndio wasahau, tunaenda kujenga "miradi mikubwa"!!!

Maamuzi haya ya uonevu ya mtu mmoja yanafanyika katika kipindi cha kuelekea uchaguzi ambapo tumezowea angalau kunakua na huruma kidogo kwa wananchi. Hii inatoa picha na ujumbe kwamba kitakachoamua uchaguzi sio ushawishi wa hoja kwa wapigakura na umaarufu wa Chama na wagombea wenyewe bali kuna Chama na wewe unakijua kikitaka jimbo lolote la uchaguzi KINACHUKUA wapigakura na wananchi watake wasitake!!! Hii sio afya kidemokrasia na mustakabali wa Taifa kwa ujumla
 
Katibu Mkuu Utumishi ametoa maelekezo kuhusu Watumishi wa Umma wanaoshiriki katika mchakato wa kugombea nyadhifa za kisiasa kwamba:-

1. Mishahara yao itaendelea kusimamishwa kwa mwezi Agosti pia.

2. Wawasilishe maombi ya vibali vya likizo bila malipo kwa KM Utumishi (kwa wale ambao ni mameneja) kupitia kwa mwajiri wao. Ambao sio meneja wataomba kwa Msajili wa Hazina

3. Vibali vya likizo bila malipo vitatolewa kwa kipindi cha miezi 2 kuanzia 1/7/2020 hadi 31/8/2020

4. Maombi ya kurejea katika Utumishi wa Umma kwa ambao hatateuliwa yawasilishwe kwa KM Utumishi kupitia kwa mwajiri kuanzia tarehe 25 /8/2020

5. Waajiri wameelekezwa mishahara ya watumishi hao iliyozuiliwa iwasilishwe kwa Katibu Mkuu Hazina.

Kufuatia hali hiyo unaelekezwa kuandika barua upya ya kuomba likizo bila malipo, ukitaja jimbo ulilogombea au viti maalum.

Utajua hujui, tutaelewana tu!
Ni sawa kwa mujubi wa sheria za utumishi wa umma waache waisome namba.
 
Mama D, kimsingi watumishi hawana kosa lolote walilofanya. Hawa watu waliotia nia wengi wao waliomba likizo ambazo ni haki yao ikiwa ni pamoja na kumtaarifu mwajiri kuwa wanakwenda wapi kufanya nini kitu ambacho pia ni haki yao ya kikatiba

Uwamuzi huu uliochukuliwa haupo katika sheria, kanuni au taratibu zozote za kazi, popote pale iwe sekta ya umma au binafsi! Hata huko ndani ya Chama kwenyewe hakuna anayeuunga mkono na nakuhakikishia mama D ni UAMUZI WA MTU MMOJA TU ambaye wewe mwenyewe na kila mtu anamjua

Ajabu ni kwamba kama ulichukua mkopo kwenye taasisi za fedha kutokana na mshahara wako marejesho yanapelekwa kama kawaida, na zile statutory deductions zote zinafanyika, ila mtumishi hapewi take home yake na wala haibaki kwa immediate mwajiri wake bali inapelekwa Hazina!!!! Siku hizi fedha zinapopelekwa Hazina unajua maana yake

Wengi wao watarudi kazini ingawa wale waliokua wakuu wa Idara wanatakiwa waombe tena kurudi kazini wakiwa ni watumishi wa kawaida na sio wakuu wa Idara tena. Mwajiri pia anakua na discretion ya kukubali au kukataa kumrudisha kazini mtumishi yoyote aliokumbwa na utaratibu huu!!! Wote hawajachomolewa kwenye payroll lakini mishahara yao kwa hiyo miezi miwili ndio wasahau, tunaenda kujenga "miradi mikubwa"!!!

Maamuzi haya ya uonevu ya mtu mmoja yanafanyika katika kipindi cha kuelekea uchaguzi ambapo tumezowea angalau kunakua na huruma kidogo kwa wananchi. Hii inatoa picha na ujumbe kwamba kitakachoamua uchaguzi sio ushawishi wa hoja kwa wapigakura na umaarufu wa Chama na wagombea wenyewe bali kuna Chama na wewe unakijua kikitaka jimbo lolote la uchaguzi KINACHUKUA wapigakura na wananchi watake wasitake!!! Hii sio afya kidemokrasia na mustakabali wa Taifa kwa ujumla
Kama walifuata taratibu zote za ruhusa na kuondoka sehemu zao za kazi hayo yote yasingewakuta. Kuna tofauti kubwa kati ya kumuaga immediate boss wako na kuomba ruhusa kwa kufuata muongozo uliowekwa.

Waraka Namba 1 wa Utumishi wa Umma wa 2015 unamtaka mtumishi kabla hajaenda kugombea cheo cha kisiasa aombe (na apewe) likizo ya bila malipo. Kipindi hicho chote hatalipwa mshahara. Akipitishwa na NEC anakoma utumishi wa umma.

Kuhusu mikopo na madeni mtumishi alitakiwa kuwaza hayo na kufanya maamuzi sahihi. Watoa mikopo nao wana taratibu zao kuhusu wateja wanaovunja mikataba
 
Back
Top Bottom