COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,603
- 3,658
Sasa kwanini wasiwaombe hao makatibu wa vyama vya siasa ( mainly CCM) majina ya watumishi waliojaza fomu hizo?Mbona hata wakija JF wataona hata waliopata kura 0 (sifuri). Aidha makatibu wamikoa wa CCM wataonesha hata kura za watiania
Kumbuka100% ya watumishi walienda kujaza fomu za CCM