Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhh inaweza kuwa ati ee!Kama wametia nia kupitia CCM hao waajiri wanajisumbua, zaidi mwajiri ndo anawezwa kuwajibisbwa.
Huyu Neema Musomba wa kwa TR huwa mnoko kweli kweli!View attachment 1514239
View attachment 1514238
Zipo taarifa za kuzuia mishahara ya Watumishi waliogombea nafasi mbalimbali katika mwezi huu wa Julai, aliyetoa ushauri huu ana nia ya kutaka kumuharibia Rais Magufuli 2020, Oktoba 28.
Rais Magufuli nikuombe uingilie kati hili si jambo la afya na ukingazatia watia nia hao wataombwa kwenda kusaidia kuweka umoja katika majimbo waliogombea, nani atakubali kwenda kusaidia chama wakati mshahara wake ulikatwa.
Wapo baadhi ya watu hawamsaidii Rais, hili jambo kwa mwaka huu kibali kama lilivyozoeleka
Rais Magufuli ni mwerevu na kuelewa, usikubali hujuma hii kwako.
Mishahara ulikatwa hakuna atakayebaki salama
Maana Rais na yeye ni mtumishi wa umma, mawaziri na wao ni watumishi wa Umma kila mtu aliacha kazi kwenda kugombea.
Hapa twende na Utanzania wetu
Serikali ya CCM ni SIKIVU
DU
Kichwa Cha habari kinajieleza.
Mh Rais wa Tanzania tunaomba upokee na ukisikie kilio Cha watumishi wako zaidi ya watumishi 1,000 wameshitishiwa mishahara yao ya mwezi July,2020.
Watumishi hao wakati wanaomba kutia Nia nafasi mbali mbali hawajajulishwa kuwa kutia Nia utakatwa mishahara ya July 2020. Cha kusikitisha zaidi watumishi hao walinunua fomu ya kugombea kwa TSH 100,000 na kuchangia gharama za uchaguzi ili fedha hizo zitumike kuwalipa wajumbe kila mgombea amechangia CCM kuanzia TSH 400,000 Hadi 1,000,000 .
Mwisho watumishi wameishia kukosa kura za maoni na kukosa mishahara yao ya mwezi July 2020. Baadhi ya waliokatwa mishahara walikuwa kazi kwao muda wote Ila wamekatwa mishahara yote bila kujali na bila kuwa na kiambatisho chochote .Cha kushangaza zaidi watumishi hawajui hatima yao ya mishahara ya mwezi August 2020 itakuwaje.
Watumishi kwa umaskini wao wamekichangia chama tawala fedha za uchaguzi kinyume chake serikali inayoongozwa na chama tawala imekuja kusitisha mishahara ya hao watumishi walio maskini na hawana kipato kingine .Sasa hawajui wale wapi,Kodi za nyumba wapate wapi, umeme na maji walipeje,Ada za watoto watoe wapi,hawajui wakope wapi, na bado mkumbuke pia ni wapiga kuwa wa CCM .tunaomba kilio hiki Cha wafanyakazi kisikilizwe Hali ni mbaya mbaya mbaya sanakwa watumishi wa Umma hata nauli za kwenda makazini mwezi huu wa nane hawana.
Watumishi kwa umaskini wao wamekichangia chama tawala fedha za uchaguzi kinyume chake serikali inayoongozwa na chama tawala imekuja kusitisha mishahara ya hao watumishi walio maskini na hawana kipato kingine .
Kichwa Cha habari kinajieleza.
Mh Rais wa Tanzania tunaomba upokee na ukisikie kilio Cha watumishi wako zaidi ya watumishi 1,000 wameshitishiwa mishahara yao ya mwezi July,2020.
Watumishi hao wakati wanaomba kutia Nia nafasi mbali mbali hawajajulishwa kuwa kutia Nia utakatwa mishahara ya July 2020. Cha kusikitisha zaidi watumishi hao walinunua fomu ya kugombea kwa TSH 100,000 na kuchangia gharama za uchaguzi ili fedha hizo zitumike kuwalipa wajumbe kila mgombea amechangia CCM kuanzia TSH 400,000 Hadi 1,000,000 .
Mwisho watumishi wameishia kukosa kura za maoni na kukosa mishahara yao ya mwezi July 2020. Baadhi ya waliokatwa mishahara walikuwa kazi kwao muda wote Ila wamekatwa mishahara yote bila kujali na bila kuwa na kiambatisho chochote .Cha kushangaza zaidi watumishi hawajui hatima yao ya mishahara ya mwezi August 2020 itakuwaje.
Watumishi kwa umaskini wao wamekichangia chama tawala fedha za uchaguzi kinyume chake serikali inayoongozwa na chama tawala imekuja kusitisha mishahara ya hao watumishi walio maskini na hawana kipato kingine .Sasa hawajui wale wapi,Kodi za nyumba wapate wapi, umeme na maji walipeje,Ada za watoto watoe wapi,hawajui wakope wapi, na bado mkumbuke pia ni wapiga kuwa wa CCM .tunaomba kilio hiki Cha wafanyakazi kisikilizwe Hali ni mbaya mbaya mbaya sanakwa watumishi wa Umma hata nauli za kwenda makazini mwezi huu wa nane hawana.