peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Pia wamelenga zaidi mikoa yenye upinzani ikiwa ni pamoja na kuogopa jinsia ya kike viti maalum.Nilisikia kuna watia nia furani waliohatarisha nafasi za wenye chama chao ndo wamelengwa zaidi. Sijui kama kuna ukweli