Jagarld
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 2,618
- 3,294
Katika hili sioni tatizo la Serikali,
Unaenda kwenye issue ya kisiasa ambayo itakuchukua si Chini ya miezi miwili halafu unataka ulipwe mshahara bila kufanya kazi kwa kipindi chote hicho...!
Imagine wewe ndo kiongozi wa taasisi fulani yenye watumishi 200 halafu 100 wote wameondoka kwenda kugombea, huoni kuwa kwa kipindi taasisi lazima ipalalyse kwa kipindi hicho chote....! Hautaweza kuajiri sababu vote yako imeshiba watumishi ambao unawalipa mshahara wa bure.
Huo mwongozo uko pale kuhakikisha utoaji wa huduma za Umma hauathiriwi na wimbi la utia nia na ndio maana kuna nafasi zinalazika kuzibwa eidha kwa kuajiri au kuteua na ikishajazwa uliyeenda likizo ndo basi tena.
Muhimu ni watumishi kuelewa sheria, kanuni na miongozo ili kuepuka kusombwa tu na pepo za kisulisuli.
Unaenda kwenye issue ya kisiasa ambayo itakuchukua si Chini ya miezi miwili halafu unataka ulipwe mshahara bila kufanya kazi kwa kipindi chote hicho...!
Imagine wewe ndo kiongozi wa taasisi fulani yenye watumishi 200 halafu 100 wote wameondoka kwenda kugombea, huoni kuwa kwa kipindi taasisi lazima ipalalyse kwa kipindi hicho chote....! Hautaweza kuajiri sababu vote yako imeshiba watumishi ambao unawalipa mshahara wa bure.
Huo mwongozo uko pale kuhakikisha utoaji wa huduma za Umma hauathiriwi na wimbi la utia nia na ndio maana kuna nafasi zinalazika kuzibwa eidha kwa kuajiri au kuteua na ikishajazwa uliyeenda likizo ndo basi tena.
Muhimu ni watumishi kuelewa sheria, kanuni na miongozo ili kuepuka kusombwa tu na pepo za kisulisuli.