BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,191
Na wale waliopunguziwa unawaambiaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yangu kuwa na imani na wewe pekee ,kumwamini mtu mwingine yeyote ni kosa kubwa sana, hata pale unapoambiwa ni mchana toka ukahakikishe mwenyewe,kwani yaweza kuwa usiku,mwisho wake utaisia kuliwa na simba.Tuliwalaumu na kuwalaani wakoloni kwa mambo mengi mojawapo ikiwa ni kutoa ujira mdogo kwa watu weusi na tukaamini tukipata uhuru, mambo haya yataisha...
SarcasmKachukue flyover ukalipie ada ya mwanao
Hahahaaaa huwa napenda sana nyie mnao jifanya hamtaki kuonewa wakati hata hapo ulipo usha onewa na kunyimwa haki zako kibao na hujafanya lolote .Bro, unajitahidi sana kuwasemea watumishi lakini njaa zao zinawafanya serikali iwatumie kama TP
Na wewe ukiwa mmojawapo.Hahahaaaa huwa napenda sana nyie mnao jifanya hamtaki kuonewa wakati hata hapo ulipo usha onewa na kunyimwa haki zako kibao na hujafanya lolote .
Ukweli mchungu;Tuliwalaumu na kuwalaani wakoloni kwa mambo mengi mojawapo ikiwa ni kutoa ujira mdogo kwa watu weusi na tukaamini tukipata uhuru, mambo haya yataisha...
Tuliwalaumu na kuwalaani wakoloni kwa mambo mengi mojawapo ikiwa ni kutoa ujira mdogo kwa watu weusi na tukaamini tukipata uhuru, mambo haya yataisha....
Bwana yule hana roho ya utu.Ila pesa ya kujenga chato ipo. Sasa anajenga chuo cha mafunzo ya Serikali na uwanja mkubwa kuliko wote wa michezo Africa kwa gharama ya $400 millions.
Bwana yule hana roho ya utu.
Ananyoosha kila mtanzania sio watumishi tu.Acha Jiwe liwanyooshe akili ziwakae sawa!
Yaani anajisahau mno. Anasahau kuwa hata yeye alikimbia ualimu kwasababu ya masilahi duni na akakimbilia kwenye siasa kutafuta masilahi bora. Binadamu ni wabinafsi mno!.Inapofikia mpaka binadamu wengine wanakuombea ufe ni lazima ujichunguze kwa kina unakosea wapi hadi uchukiwe kiasi hicho.
Mishahara ya watumishi wangelipwa wabunge ingeshabadilika kitambo Ila kwasababu wao wanakula na kusaza hawana habari juu ya hilo.Tuliwalaumu na kuwalaani wakoloni kwa mambo mengi mojawapo ikiwa ni kutoa ujira mdogo kwa watu weusi na tukaamini tukipata uhuru, mambo haya yataisha...
Mwenye shibe hamjui mwenye njaa.Yaani anajisahau mno. Anasahau kuwa hata yeye alikimbia ualimu kwasababu ya masilahi duni na akakimbilia kwenye siasa kutafuta masilahi bora. Binadamu ni wabinafsi mno!.
Kwa pesa na UBINADAMU upi ?Mh Rais aliahidi awamu yake hii ya pili ni ya neema kwa wafanyakazi, na mm naamini hivyo, tusubiri kuanzia July 2021.. Naamini ahadi ya Mh. JPM atatekeleza kwa watumishi mwaka wa 2021. Ukipata mwaka 2021, nitakosa imani na ahadi yake kabisa
Tuombe uzima tu ndugu.Mh Rais aliahidi awamu yake hii ya pili ni ya neema kwa wafanyakazi, na mm naamini hivyo, tusubiri kuanzia July 2021.. Naamini ahadi ya Mh. JPM atatekeleza kwa watumishi mwaka wa 2021. Ukipata mwaka 2021, nitakosa imani na ahadi yake kabisa