Kuna mambo yanatia hasira sana.Unataka kujaza wat Serikalini kwa dini zao na si kwa ubora wa viwango? Ndiyo sababu mmemtoa Lukuvi na kumweka Riziwani? Hii nchi si ya kidini. Kama mnataka kujenga nchi kwa misingi ya dini nendeni mkaanzishe himaya kwenye jangwa la Syria halina watu. Tanzania ni ya watu wote bila kujadli dini wala makabila yao. Usinipe hasira kwa kuonyesha ujinga.
Mengine kwa mtazamo wangu hayaathiri sana. Yana maana kwa mwajiri na ajira.Mkuu mbona hiyo form Ina mambo mengi mkuu, umeona dini na kabila tu
Ni Hospitali na Magereza tu tu ambako taarifa za dini zilikuwa zinachukuliwa kwa sababu iwapo mgonjwa akifa ijulikane maiti yake itafanywaje kwa misingi ya dini yake. Siyo kazini; mimi pia nilifanya kazi serikalini mwishoni mwa utawala wa Nyerere, Mwinyi na mwanzoni mwa utawala wa Mkapa; sikuwahi kuulizwa taarifa za dini yangu wala kabila langu !Tulia wewe kijana mdogo huna unalojua . Serikali ya nyerere ndio ilianzisha kuchukua taarifa za dini na kabila kwenye taarifa za kitaasisi hospitali, polisi, magereza hata kwenye fomu za kujiunga na utumishi wa umma
Hapa nimeona wewe ndio mdini uliyepiyiliza.Niliajiriwa mwaka 2009, nilikutana na fomu yenye vipengele vyote hivyo. Mwaka 2019 tulitakiwa ku-update taarifa zetu kwa kutakiwa kujaza cv iliyoandaliwa serikalini na ilikuwa na vipengele vyote ninavyoviona hapo; hakukuwa na kelele wala miguno ya kidini kwa kiongozi aliyekuwepo. Kwa sasa tangu achukue nchi mama samia nimejifunza yafuatayo;
1. Samia anachukiwa sababu ya dini yake tu basi. Kila anachofanya lazima KILAZIMISHWE kuhusishwa na dini yake na kikihusishwa na dini yake basi lazima ILAZIMISHWE kuwa kapendelea dini yake. Hali haikuwa hivyo kwa mtangulizi wake aliyeleta upendeleo sio wa udini tu bali hadi ukabila.....alisifiwa na kutukuzwa huku habari ya udini wake wa wazi na ukabila hata haukusemwa! Mapungufu meeengi tunayoambiwa ya samia, ukweli uliofichika ni chuki dhidi ya dini yake tu asingekuwa dini hiyo ninaamini hata tusingesikia. Hata huyu Kikwete asiyekoma kutukanwa na kuhusishwa na utawala wa mama samia, sababu kuu ni dini yake tu. Mkapa angelikuwa hai hata usingesikia mashambulizi yoyote dhidi yake.
2. Chuki na hila za maadui kumbe huleta baraka sana; tutulie na kuwapenda tu maadui Mungu yupo na anaangalia na analipa. Nimejifunza hili kutoka kwa mwinyi, kikwete na sasa huyu mama samia. Hawa watu hukuti jema linasemwa kuhusu wao humu mitandaoni. Ni taarifa hasi tu dhidi yao kuwa hawajui kuongoza, wana udini, hawajaleta maendeleo yoyote n.k Yanasemwa hayo huku waliokuwa wadini haswa wakiachwa, wenye roho mbaya wakiachwa, wenye upendeleo wa wazi wa kikanda wakiachwa. Uungwana wao wa kuwapenda watu na kuwapa furaha kwa kuwamwagia ajira na fursa zingine unafichwa ndani huko. Lakini mwisho wa yote Mungu anawafariji kwa kuwapa umri mrefu wenye furaha na vizazi vyema vinavyochipua (sote ni mashahidi hapa).
Kwanini unashangaa hili, mbona mashuleni ni kitu cha kawaida miaka yote kuulizwa DINI yako na KABILA lako. Hii ipo siku zote mashuleni toka chekechea mpaka chuo kikuu. Nami kwa kweli siku zote nilikuwa najiuliza kwanini mwenendo huo uishie chuo kikuu na mavyuoni, katika ajira ni marufuku?Habari wana JF ..
Mimi niliahidi sitamkosoa Rais Samia, kwa sababu nilishawakosoa sana ma Rais wa nchi hii hadi nachoka; lakini Kuna mambo ni mazito huwezi hata kufikiri yanaweza kufanyika kwa karne hii.
Mimi niwaombe Serikali, niwaombe CCM, niwaombe washauri wa Rais, kama mmechoka, mtuachie hili Taifa.
Wengine bado tunataka kuliona Taifa letu likiwa moja.
Vyombo vya usalama, basi mshaurini mheshimiwa Rais vizuri, msijisahau sana mkaiacha nchi kwenye auto-pilot.
Niwakumbusheni Taifa hili halikujengwa kwa matofali, la hasha!
Mpitisheni Mh. Rais katika historia ndogo ndogo zile njema, zilizotufanya Watanzania japo tukawa wamoja, potelea pote na umaskini wetu.
Sasa hamuwezi amini, leo hii Hazina inaomba taarifa za watumishi (CV), na miongoni mwa taarifa wanazotakiwa kujaza hao watumishi ni:-
1. Kabila lako .....
2. Dini yako .......
Zipo taarifa zingine, za kipuuzi zinazoombwa, ila haina haja sana kuzitaja, kwani hazina athari sana kama hizi mbili.
Hivi kweli, leo mnataka DINI ya mtumishi, iwasaidie nini?
Hii taarifa mnaitumia kuboresha nini?
Udini wa nini katika Tz ya leo.
Tuna ajenda gani na Dini za watu, (watumishi). DINI, DINI.....DINI...!!!!?....,leo tunauliza DINI yako ni ipi? Kweli mh. Rais Samia.
Halafu mnataka na KABILA, kabila la mtumishi litumike kuboresha nini?
Mna ajenda gani huko?
KABILA, leo mnamuuliza mtu KABILA. Kweli mh Rais Samia , ulisema wewe huna kabila, sijui ni Mzanzibar, sasa hawa watumishi, karne ya 21, mwaka 2022, wawajazie makabila yao, muyajue, myafanyie nini?!
Mh Rais Samia, hebu kataa mambo mengine.
Siku Taifa hili likiparaganyika mikononi mwako, hao unaowaona, watakukataa.
Mfumo wa CV (format) na taarifa zinazotakiwa nimeambatanisha hapa.
denooJ , MTAZAMO , barafu , Tindo , Chige , shige2 , Malcolm X5 , MALCOM LUMUMBA ,
Jidanganye, sehemu nyingi suala la dini na kabila hujitokeza. Taasisi kubwa kabisa yenye kudai taarifa za dini ni elimu ya msingi na kuendelea, mgonjwa hospitali, ukikamatwa na polisi, mhimili wa bunge n.k.Ni Hospitali na Magereza tu tu ambako taarifa za dini zilikuwa zinachukuliwa kwa sababu iwapo mgonjwa akifa ijulikane maiti yake itafanywaje kwa misingi ya dini yake. Siyo kazini; mimi pia nilifanya kazi serikalini mwishoni mwa utawala wa Nyerere, Mwinyi na mwanzoni mwa utawala wa Mkapa; sikuwahi kuulizwa taarifa za dini yangu wala kabila langu !
Muongo mkubwa we!!!Ni Hospitali na Magereza tu tu ambako taarifa za dini zilikuwa zinachukuliwa kwa sababu iwapo mgonjwa akifa ijulikane maiti yake itafanywaje kwa misingi ya dini yake. Siyo kazini; mimi pia nilifanya kazi serikalini mwishoni mwa utawala wa Nyerere, Mwinyi na mwanzoni mwa utawala wa Mkapa; sikuwahi kuulizwa taarifa za dini yangu wala kabila langu !
Tafiti zipi? Kwenye medical kuna mashahidi wa yehova hao hata kuongezewa damu hawatakiDu hata kwenye sensa kipengele cha dini na kabila halipo,kwa kuamini Tanzania haina udini na ukabila, hata ukitaka kufanya tafiti mojawapo ya masharti ya kupitishwa kwa dodoso la utafiti ni kutokuweka kipengele cha dini na kabila.
Anajidanganya na anafikiri atafanikiwa kudanganya wengi. Bahati mbaya kaingia choo cha kike.ivi kweli hiki ni kitu kipya???? mbona watanzania tuna lawama sanaaa..... mbona hizo ni taarifa za kawaida sanaaa tena baadhi ya watumishi huzijaza kila mwisho wa mwaka...
ulivyoandika ni kana kwamba hata huko shuleni ulikopitia hukuwahi kuliona hili... tena hadi vikundi vipo, huko maofisini mna hadi makundi ya kikabila
BADILIKA sio kila kitu Raisi, Raisi.....
ulisema hutakosoa so ishu zingine zote zinazoendelea kwako ni sawa ni hii ndo imekuumuza????
Magufuli hakua mdini, kwa kumbukumbu zangu zilivyo aliwatumbua na kuwaadhibu viongozi wengi Sana wa kikristo na wengine waliishia jela.Wakristo Wana chuki Sana na Waislamu,Cha ajabu Waislamu Wala hawawachukii wakristo!
Magufuli kweli alikuwa mdini na mkabila wakutisha,lakini Hawa kenge hatukusikia wakiliongelea humu mitandaoni,
Cha ajabu hizo chuki zao kwa viongozi wenye utu wa kiislamu,inawaongezea umri mrefu na afya tele
Akili yako haina akili. Kumtumbua kitwanga akawekwa nani vile.. usijitie umesahau Kiroboto.Use mkweli siku zingine! Magufuli alitumbua yeyote pamoja na wasukuma! Kama akina Charles Kitwanga waziri wa mambo ya ndani pamoja Charles Mlingwa mkuu wa mkoa wa mara! Msiwe waongo kwa chuki zenu za kikabila!
Na kama sina dini?Anamkosha Mohamed Said katika hili atakuja na zile ratio zake za 80:20
Huyu amekuja kuua nchi yetuKama ndio hivi hatuna rais hapa..haya masuala ya ukabila na udini..hayana maana..uwiano apeleke huko mchamba wima.
Mind you katika dunia hii superiority huwezi ikwepa ndani ya jamii...mana kuna wajanja na vilaza tu hata ufanyeje.
#MaendeleoHayanaChama
Kwa hiyo WAJANJA ni akina nani, na VILAZA akina nani? Kuna uhusiano wa wajanja/vilaza na MAKABILA/DINI.Kama ndio hivi hatuna rais hapa..haya masuala ya ukabila na udini..hayana maana..uwiano apeleke huko mchamba wima.
Mind you katika dunia hii superiority huwezi ikwepa ndani ya jamii...mana kuna wajanja na vilaza tu hata ufanyeje.
#MaendeleoHayanaChama
Unamuuliza nani sasa?!Na kama sina dini?
Kama kutukanana na kudhalilishana kutakuwa kwa jinsi ya kabila huoni huo ni ukabila tayari? Hatuongozwi na rules za kabila wala dini yeyote sheria zetu siyo kama za Uganda au Kenya ambapo hayo mambo yalizingatiwa sisi yetu ni kutokana na katiba, acheni hayo mambo please!Huku kwenye taaluma yetu hiyo ni criteria ingawa it is qualified not absolute. Na imeisaidia sana Mahakama kufikia maamuzi ya haki mara kadhaa.
Nikuongezee mfano mwingine wa kwenye kesi za udhalilishaji (defamation). Kuna kabila mtu akikutamkia neno flani linakuwa ni udhalilishaji kwa kabila hilo, lakini kwa kabila lingine ni utani. Kwahiyo wafanya maamuzi wa Mahakama wanapaswa kulizingatia hili kabla ya kufanya maamuzi, vinginevyo watu watawajibishwa/kutowajibishwa kimakosa halafu mrudi humu kulalamika.
Hivyo ni lazima uelewe kwamba kwenye baadhi ya maeneo ni lazima ubainishe kabila lako kwa dhumuni jema kabisa ambalo huenda likakusaidia wewe mwenyewe.
Mambo ya ajabu sana haya...Kwa hiyo WAJANJA ni akina nani, na VILAZA akina nani? Kuna uhusiano wa wajanja/vilaza na MAKABILA/DINI.
Kama ni hivyo ngoja wajanja watoke mapangoni.
Kwa vile kazini na mashuleni hawafi? Hapa umetoa mpya. Du, ni 2022! Ngoja Rais Samia awatoe mapangoni.Ni Hospitali na Magereza tu tu ambako taarifa za dini zilikuwa zinachukuliwa kwa sababu iwapo mgonjwa akifa ijulikane maiti yake itafanywaje kwa misingi ya dini yake. Siyo kazini; mimi pia nilifanya kazi serikalini mwishoni mwa utawala wa Nyerere, Mwinyi na mwanzoni mwa utawala wa Mkapa; sikuwahi kuulizwa taarifa za dini yangu wala kabila langu !
Mkuu sio kundi dogo, ni udini, element of Christianity, they want uchifu na uislamu na mambo maovu kama mimba mashuleni, wanawake kutawala dunia, kuweka nchi rehani kwa matajiri na mabeberu n.k ndio uelekeo unaoonekana kwa dots zilizopo,Nahisi kama kuna kundi linatakiwa kuwa eliminated kabisa ndani ya nchi. Kwa kuwa nia ya kukusanya tawkimu kwa majina binafsi haijawekwa wazi, ninahisi kama sasa wasiotakiwa wataanza kuwa replaced, frustrated ama sidelined na kuawa kabisa ili agenda inayofukuziwa ifikiwe.
Huu ni wasiwasi mkubwa unaosababishwa na haya mambo ya ajabu yanayotokea katika kipindi cha uharifu ufiohojiwa wala kutolewa maelezo.
Ninapata wasiwasi na usalama wa hao kundi lililo kwenye black list.