Watumishi wa vyombo vya dola acheni kulalamikia kikokotoo mnapostaafu; kuweni wazalendo na juhudi za mwajiri

Watumishi wa vyombo vya dola acheni kulalamikia kikokotoo mnapostaafu; kuweni wazalendo na juhudi za mwajiri

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kuna maaskari wameanza kulalamika mitandaoni kuhusu kiwango cha fedha wanachopata wanapoostaafu. Wanalalamika wakati ambao wao wenyewe ndio walisimamia kikokotoo kitumike. Najiuliza walidhani kikkokotoo kinatumika kwa waalimu tu?

Kibaya zaidi pamoja na kulipwa fedha ndogo wao hao hao wapo mstari wa mbele kupigania kusiwepo na tume huru ya uchaguzi.wao ndio watakaosimama kutetea chama tawala na hata sasa wanaoandaliwa kusimamia uchaguzi
Kikokotoo mbele kwa mbele....wamekitaka wenyewe......kwa presha zao wenyeweee.......acha wasome namba eeeheee.....kikokotoo mbele kwa mbeleeeee

Kama wao wanawakataza waalimu na manesi kulalamika kwanini wajione wao wana haki yakiandika mitandaoni na kwenye magazeti?
 
Askari ndio watunga Sheria? Ndio waliopitisha kikokotoo, ndio wanaojibu ndioooo bungeni, ndio wanaosifiwa kuupiga mwingi? Tumeshindwa kupambana na watawala, tumeamua kupambana na watumishi wa uma?
 
Hawa wajinga wanahimiza uzalendo huku wao wanalipana mabilioni ya wananchi, wajinga wakubwa nyie watu wanatumikia taifa nyie mnagonga meza pekee.
 
Askari ndio watunga Sheria? Ndio waliopitisha kikokotoo, ndio wanaojibu ndioooo bungeni, ndio wanaosifiwa kuupiga mwingi? Tumeshindwa kupambana na watawala, tumeamua kupambana na watumishi wa uma?
Hawa wajinga wao wakiingia tu pale bungeni kwa siku ni 560,000 nje na mshahara 18,000,000 kwa mwezi wanataka wenzao wawe wazalendo huku wao wakipiga pesa
 
Sijaelewa, sisi watumishi tumehusikaje kuzuia time huru?
Kuna maaskari wameanza kulalamika mitandaoni kuhusu kiwango cha fedha wanachopata wanapoostaafu. Wanalalamika wakati ambao wao wenyewe ndio walisimamia kikokotoo kitumike. Najiuliza walidhani kikkokotoo kinatumika kwa waalimu tu?

Kibaya zaidi pamoja na kulipwa fedha ndogo wao hao hao wapo mstari wa mbele kupigania kusiwepo na tume huru ya uchaguzi.wao ndio watakaosimama kutetea chama tawala na hata sasa wanaoandaliwa kusimamia uchaguzi
Kikokotoo mbele kwa mbele....wamekitaka wenyewe......kwa presha zao wenyeweee.......acha wasome namba eeeheee.....kikokotoo mbele kwa mbeleeeee

Kama wao wanawakataza waalimu na manesi kulalamika kwanini wajione wao wana haki yakiandika mitandaoni na kwenye magazeti?
 
Kuna maaskari wameanza kulalamika mitandaoni kuhusu kiwango cha fedha wanachopata wanapoostaafu. Wanalalamika wakati ambao wao wenyewe ndio walisimamia kikokotoo kitumike. Najiuliza walidhani kikkokotoo kinatumika kwa waalimu tu?

Kibaya zaidi pamoja na kulipwa fedha ndogo wao hao hao wapo mstari wa mbele kupigania kusiwepo na tume huru ya uchaguzi.wao ndio watakaosimama kutetea chama tawala na hata sasa wanaoandaliwa kusimamia uchaguzi
Kikokotoo mbele kwa mbele....wamekitaka wenyewe......kwa presha zao wenyeweee.......acha wasome namba eeeheee.....kikokotoo mbele kwa mbeleeeee

Kama wao wanawakataza waalimu na manesi kulalamika kwanini wajione wao wana haki yakiandika mitandaoni na kwenye magazeti?
Trust me!

Kikotoo ni kete inayotumiwa na wenye nchi kuiangusha CCM Ili haya mawili yatokee;-

1.serikali ya mseto ambayo ni mwiba mchungu Kwa makada wenzangu was CCM!

2.Nchi Kwenda upinzani kama mpinzani akipata baraka za Dola,itafikia kipindi Dola itaamua Bora nchi iende upinzani kuliko kukumbatia CCM ambayo inalea wezi na mafisadi!

3.Dola kushika nchi Kwa muda fulani Hadi reconcilation itakapofanyika Kwa kunfavor Dola yenyewe!!

Kikotoo ni mwiba mkali Kwa watumishi wa umma na kampeni zikianza kama Lisu alivoanza kikotoo kitakua hoja kuu ya upinzani na watumishi wataiunga mkono hoja hiyo hata makada wenzangu wataiunga hoja hiyo kimya kimya!

Waliomwingiza mama mkenge akakubali hili swala ni dhahiri walitaka kumuangusha uchaguzi ujao na yeye kama kawaida yake huwa hafanyi homework ya kutosha kwenye masuala mtambuka kama haya!
 
Kuna maaskari wameanza kulalamika mitandaoni kuhusu kiwango cha fedha wanachopata wanapoostaafu. Wanalalamika wakati ambao wao wenyewe ndio walisimamia kikokotoo kitumike. Najiuliza walidhani kikkokotoo kinatumika kwa waalimu tu?

Kibaya zaidi pamoja na kulipwa fedha ndogo wao hao hao wapo mstari wa mbele kupigania kusiwepo na tume huru ya uchaguzi.wao ndio watakaosimama kutetea chama tawala na hata sasa wanaoandaliwa kusimamia uchaguzi
Kikokotoo mbele kwa mbele....wamekitaka wenyewe......kwa presha zao wenyeweee.......acha wasome namba eeeheee.....kikokotoo mbele kwa mbeleeeee

Kama wao wanawakataza waalimu na manesi kulalamika kwanini wajione wao wana haki yakiandika mitandaoni na kwenye magazeti?
utumishi wa umma ni wito, hao mara nyingi ni wale wasio na sifa walichomekwa kazini tu na ndugu zao bila kua na msukumo wa ndani wa kizalendo kwamba naenda kutumika na umma wa waTanzania wote kwa usawa na kaki na bila kujali maslahi binafsi 🐒
 
Back
Top Bottom