Watumishi wa vyuo wamezidi

Watumishi wa vyuo wamezidi

fazam

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2014
Posts
1,855
Reaction score
1,283
wadau tuwafichue na kuwataja watumishi wa vyuo mbalimbali ambao wamekuwa ni kero kwa wanafunzi kusoma na kujipatia elimu iliyo bora...m nlisoma ifm jamani watumishi wa pale wanaringa kama wamesomea peponi...ni wasumbufu sana..ukiwa na shida unaweza tamani uache chuo
 
Back
Top Bottom