Watumishi washutumiana uchawi

Watumishi washutumiana uchawi

Nejad Rocket

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2017
Posts
298
Reaction score
197
Hi jf nipo korogwe mtaa wa Mlima fundi [emoji381] [emoji382] [emoji382] [emoji381] [emoji382] leo sijakwenda job mafua yamenibana na homa[emoji382] [emoji382] [emoji381] [emoji381] .Nasikia dirishani jirani yangu mtumishi anamlalamikia mtumishi mwenzie kamuwangia na leo asubuhi kakuta yai limevunjwa mlangoni kwake na wote wanekutana midomo kama charahani wanachambana huko
 
Watumishi gani unaozungumzia maana hata walokole siku hizi huitana watumishi
 
utakuta ni wale wa vyeo vya chini ndio wako busy sio kupanda vyeo ila mabosi wao wawasikize😀😀😀
 
Madhara ya watumishi kurogana ni utendaji kushuka kwakuwa aliyerogwa kichwa hakitafanya kazi sawa.
 
Wakikutana wapangaji wawili wenye midomo juu dawa yao apatikane mpangaji mpole lakini mwenye kuwagombanisha,yaani wajinga hao hawatojifikiria Mara mbili mbili watapelekeshwa kama karatasi na upepo
 
Haya sasa vituko uswahilini ivyo, sie wa huku chattle letu jembe tu
 
Korogwe si ni Tanga eeeeeee!
ok. kila la kheri, na bado utasikia na kuona mengi zaidi ya hayo!
 
Back
Top Bottom