benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,533
- 3,187
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama ameiagiza Tume ya Utumishi wa Umma nchini kufuatilia kwa karibu Halmashauri zote nchini na kubainisha Halmashauri ambazo hazizingatii maadili ya utendaji kazi katika utumishi wa umma ili waweze kupunguza mienendo ya watumishi hao ya kutokuzingatia maadili.
Wana-jamvi mnalionaje hili, litakuwa na msaada wowote kwa maendeleo ya Taifa letu?
Wana-jamvi mnalionaje hili, litakuwa na msaada wowote kwa maendeleo ya Taifa letu?