Anayejua mafanikio aliyotupa Jenista tangu apate uwaziri atuorodheshee hapaWaziri wa nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama ameiagiza Tume ya Utumishi wa Umma nchini kufuatilia kwa karibu Halmashauri zote nchini na kubainisha Halmashauri ambazo hazizingatii maadili ya utendaji kazi katika utumishi wa umma
Naunga mkono hojaNi jambo jema. Waanze wao serikali kuu kudhibiti baadhi ya mambo yanayozuia kasi ya utendaji kwa kujilimbikizia mali, na kusababisha pengo kubwa kati ya walionacho na wasionacho.
Hivi hawaoni aibu kuwapa masharti magumu watumishi wenye hali duni ilihali wao wakijiagizia magari mapya kila wakati?
Kama kuna mmomonyoko wa maadili wajaribu kujua chanzo chake ili kusaidia kuliko kuzidi kuweka sheria kandamizi
serikali ya kutoa amri kila siku. inaonekana hata wakuu wa mikoa na wilaya hasa maDED hawana kazi nyingine isipokuwa kusubiri matamko na amri za mawaziri...it is too much. As if hakuna mwongozo wa utendaji kaziWaziri wa nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama ameiagiza Tume ya Utumishi wa Umma nchini kufuatilia kwa karibu Halmashauri zote nchini na kubainisha Halmashauri ambazo hazizingatii maadili ya utendaji kazi katika utumishi wa umma ili waweze kupunguza mienendo ya watumishi hao ya kutokuzingatia maadili.
Wana-jamvi mnalionaje hili, litakuwa na msaada wowote kwa maendeleo ya Taifa letu?View attachment 2524216
Kwahyo watu wa Tamisemi hawatakiwi kulamba asali?Waziri wa nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama ameiagiza Tume ya Utumishi wa Umma nchini kufuatilia kwa karibu Halmashauri zote nchini na kubainisha Halmashauri ambazo hazizingatii maadili ya utendaji kazi katika utumishi wa umma ili waweze kupunguza mienendo ya watumishi hao ya kutokuzingatia maadili.
Wana-jamvi mnalionaje hili, litakuwa na msaada wowote kwa maendeleo ya Taifa letu?View attachment 2524216
Hata mimi, sijaona kipya zaidi ya kuweka kitenge begani na kubadili mitindo ya nywele na vilembaSijawahi kuona tija katika utendaji wa huyu Waziri.
Mganga wake fundi π π πAnayejua mafanikio aliyotupa Jenista tangu apate uwaziri atuorodheshee hapa