Watumishi wengi wa umma ni wezi, vilaza, na wavivu waliojaa viburi

Watumishi wengi wa umma ni wezi, vilaza, na wavivu waliojaa viburi

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
CAG mstaafu, Prof. Assad aliposema asilimia sitini ya watumishi wa uma hawana uwezo, Serikali ilijitokeza haraka sana kukana hilo.

Mbunge wa Kahama, Jumanne Kishimba aliposema kuwa asilimia tisini ya wasomi wetu wanajua tu kusoma na kuandika, watu wengi walimkejeli.

Lakini kwa hali ya mambo ilivyo nchini, nani anaweza tena kuendelea kukanusha hayo madai?

Kama siyo ukilaza, uwizi, na uvivu wao, reli ya SGR ingekuwa haijakamilika mpaka sasa? Magufuli angekuwepo hali ingekuwa ilivyo sasa?

Kama siyo ubinafsi wao, mgao wa umeme ungetesa kwa muda mrefu kama ilivyotukia? Siyo kwamba huo mgawo ulikuwa wa mchongo kwa manufaa ya wachache?

Nimemwona Makonda akiwahoji baadhi ya watumishi mkoani Arusha! Utawaonea wengine huruma. Hawayajui majukumu yao. Ni kama wapo wapo tu.

Fikiria kwa mfano Afisa Biashara mmoja ambaye yeye anajua tu kukusanya ushuru kwenye minada ya Kijiji lakini hajui asilimia ya mapato yanayotakiwa kurudishwa kwenye hicho kijiji. Halafu eti huyo ni mkuu wa idara! Aibu iliyoje!

Arusha walipatiwa bilioni thelathini na Saba katika mwaka wa fedha 2023/2024, lakini ni bilioni kumi na saba tu ndizo zimetumika. Bilioni ishirini zitarejeshwa hazina. Kutafuta hela hawajui na hata kutumia walizopewa hawawezi. Huo ni ukilaza na uvivu uliokithiri.

Kuna mahali wilayani Longido walikuwa wanakusanya mapato ya shilingi milioni kumi na tatu kwa mwezi au wiki, (sikumbuki vizuri), lakini baada ya mianya ya upigaji kuthibitiwa, mapato yakaongezeka kutoka milioni kumi na tatu hadi mia moja ishirini kwa wiki/mwezi. Ona wasivyokuwa na huruma! Walikuwa wanaiba zaidi ya milioni mia moja kwa wiki/mwezi huku Serikali ikiambulia milioni kumi na tatu pekee.

Hiyo ni Arusha tu! Sijui kwenye mikoa mingine kukoje. Lakini inasemekana huo ni mtindo uliozoeleka maeneo yote.

Kama ndivyo, ni dhahiri kuwa ofisi za uma zimegeuka vichaka vya wezi, vilaza, wavivu, wenye viburi n.k.

Najua siyo wote, lakini asilimia nyingi ndivyo walivyo. Labda, ni kwa sababu wengi wao wamepata hizo nafasi kwa "connection", ama wamezinunua au wamewekwa na ndugu zao. Ndiyo maana hata baadhi ya madereva wa magari ya uma huonesha kiburi wawapo barabarani. Kwa sababu tu anaendesha gari la Serikali hudiriki hata kuvunja Sheria za usalama barabarani kwa kuwa anajua kuwa hatachukuliwa hatua kama wengine.

Naamini, kama siyo hao watu: vilaza, wezi, wavivu, wenye viburi, n.k. kujazana kwenye ofisi za uma, nchi yetu isingehitaji kwenda kuomba misaada nchi za nje kama South Korea. Lakini sasa itafanyaje ikiwa hela inayotafunwa na kuchezewa ni nyingi kuliko inayoingia kwenye matumizi sahihi?

Laiti lingepita fagio la kusafisha ofisi za uma dhidi ya vilaza, wezi, wavivu na wenye viburi, nchi yetu ingesonga mbele kwa maendeleo.

Kama aina hiyo ya watumishi wataendelea kuwepo kwenye hizo ofisi, kasi ya maendeleo ya nchi yetu itaendelea kuwa ya kusuasua. Labda kama wataamua kubadilika.

Swali ni kwamba watabadilika?
 
wanakopi maandishi na kuyaweka kichwani,tabia zao zinabadilishwa kuwa upepo wanaanza kufikiria kupitia matako.
 
Watumishi wa umma wa dhiki hawalipwi vizuri ndio maana hawana ufanisi mzuri kwenye majukumu Yao.
Ndio maana ikitokea mwanya wa kupiga fedha Wana nyoosha vizuri SANA.
Bado Kuna kikokotoo kinawatesa, malimbikizo ya madai NK Ndio maana wengi wanaamua kulipua TU
 
CAG mstaafu, Prof. Assad aliposema asilimia sitini ya watumishi wa uma hawana uwezo, Serikali ilijitokeza haraka sana kukana hilo.

Mbunge wa Kahama, Jumanne Kishimba aliposema kuwa asilimia tisini ya wasomi wetu wanajua tu kusoma na kuandika, watu wengi walimkejeli.

Lakini kwa hali ya mambo ilivyo nchini, nani anaweza tena kuendelea kukanusha hayo madai?

Kama siyo ukilaza, uwizi, na uvivu wao, reli ya SGR ingekuwa haijakamilika mpaka sasa? Magufuli angekuwepo hali ingekuwa ilivyo sasa?

Kama siyo ubinafsi wao, mgao wa umeme ungetesa kwa muda mrefu kama ilivyotukia? Siyo kwamba huo mgawo ulikuwa wa mchongo kwa manufaa ya wachache?

Nimemwona Makonda akiwahoji baadhi ya watumishi mkoani Arusha! Utawaonea wengine huruma. Hawayajui majukumu yao. Ni kama wapo wapo tu.

Fikiria kwa mfano Afisa Biashara mmoja ambaye yeye anajua tu kukusanya ushuru kwenye minada ya Kijiji lakini hajui asilimia ya mapato yanayotakiwa kurudishwa kwenye hicho kijiji. Halafu eti huyo ni mkuu wa idara! Aibu iliyoje!

Arusha walipatiwa bilioni thelathini na Saba katika mwaka wa fedha 2023/2024, lakini ni bilioni kumi na saba tu ndizo zimetumika. Bilioni ishirini zitarejeshwa hazina. Kutafuta hela hawajui na hata kutumia walizopewa hawawezi. Huo ni ukilaza na uvivu uliokithiri.

Kuna mahali wilayani Longido walikuwa wanakusanya mapato ya shilingi milioni kumi na tatu kwa mwezi au wiki, (sikumbuki vizuri), lakini baada ya mianya ya upigaji kuthibitiwa, mapato yakaongezeka kutoka milioni kumi na tatu hadi mia moja ishirini kwa wiki/mwezi. Ona wasivyokuwa na huruma! Walikuwa wanaiba zaidi ya milioni mia moja kwa wiki/mwezi huku Serikali ikiambulia milioni kumi na tatu pekee.

Hiyo ni Arusha tu! Sijui kwenye mikoa mingine kukoje. Lakini inasemekana huo ni mtindo uliozoeleka maeneo yote.

Kama ndivyo, ni dhahiri kuwa ofisi za uma zimegeuka vichaka vya wezi, vilaza, wavivu, wenye viburi n.k.

Najua siyo wote, lakini asilimia nyingi ndivyo walivyo. Labda, ni kwa sababu wengi wao wamepata hizo nafasi kwa "connection", ama wamezinunua au wamewekwa na ndugu zao. Ndiyo maana hata baadhi ya madereva wa magari ya uma huonesha kiburi wawapo barabarani. Kwa sababu tu anaendesha gari la Serikali hudiriki hata kuvunja Sheria za usalama barabarani kwa kuwa anajua kuwa hatachukuliwa hatua kama wengine.

Naamini, kama siyo hao watu: vilaza, wezi, wavivu, wenye viburi, n.k. kujazana kwenye ofisi za uma, nchi yetu isingehitaji kwenda kuomba misaada nchi za nje kama South Korea. Lakini sasa itafanyaje ikiwa hela inayotafunwa na kuchezewa ni nyingi kuliko inayoingia kwenye matumizi sahihi?

Laiti lingepita fagio la kusafisha ofisi za uma dhidi ya vilaza, wezi, wavivu na wenye viburi, nchi yetu ingesonga mbele kwa maendeleo.

Kama aina hiyo ya watumishi wataendelea kuwepo kwenye hizo ofisi, kasi ya maendeleo ya nchi yetu itaendelea kuwa ya kusuasua. Labda kama wataamua kubadilika.

Swali ni kwamba watabadilika?
Mkuu ukitaka kujua nini kinakwamisha maendeleo ya Taifa hili, basi jaribu kutoka kiduchu nenda ulaya ama Marekani, ama hata Botswana tu hapo ukaangalie namna ya watumishi wa umma wanavyotenda kazi halafu rudi nchini uone tofauti.
Tunahitaji angalau miaka 200 mpaka 300 kufika walipo wenzetu sasa hivi.
Mkuu hii nchi is ishakwenda harijojo, na haina dalili ya mambo kuwa afadhali. Hali itazidi kuwa mbaya zaidi.
Msingi mkubwa wa matatizo ya nchi yetu ni laana ya kukumbatia ubinafsi.
Kila mtanganyika na Mzenj ni mbinafsi kupindukia, sasa ukiwa mbinafsi huthamini haki, unapoikataa haki ukweli unatoweka, rushwa inakuwa rafiki na unafiki unatamalaki.
Jamii ya kitanganyika na kizenj leo hii ni ADUI wa:
- Haki
-Ukweli
- Utu.
Jamii ya kitanganyika ya leo ni rafiki wa:
-Ubinafsi ama umimi
  • uwongo
  • unafiki
  • Rushwa.
Najua kuna wadau watabisha wao hawana tabia hizo hapo juu lakini nina kipimo hiki hapa chini utajipima halafu utapata majibu yako.
KIPIMO CHA UBINAFSI NA UMIMI.
- Ukipata nafasi na mungu unaemuamini akakupa ridhaa leo ukawa Raisi wa nchi:
(1)Je utatumia mamlaka yako kutoa fursa kwa wanafamilia yako, rafiki zako, jamaa zako, wapenz wako, watu wanaokushabikia, waliokupa hisani na wanaokuunga mkono?
(2)Ama hautajali KABISA Maadili yavuongozi na kutoa fursa kwa hayo makundi hapo juu?
(3) Je utatumia nafasi yako kama mkuu wa nchi, kujichotea na kujimilikisha rasilimali na fedha za wanachi, nje ya mshahara na stahiki zako kisheria kujinufaisha kwa kujilimbikizia mali wewe binafsi na wanafamilia yako, ndugu zako, jamaa zako, watu wa kabila lako, watu wa dini yako, marafiki zako, wapenz wako na watu wanaokuunga mkono?
(4) Je utajivika UMUNGU MTU na kukataa kulinda na kuheshimu sheria kama raia wengine wa Tanganyika na Zenjibar, Khususan itapokwenda kinyume na mapenzi yako au mmoja katika wanafamilia yako, ndugu zako, rafiki zako ama watu wako wa karibu?
(5) Je utakuwa tayari kujipachika cheo cha ukuu MASHETANI na kuikumbatia rushwa kwa kutoa na ilimradi tu majambo yako yaende sawa?
(6) Na mwisho jee utajivika UFIRITI na kutumia hila, udanganyifu, vitimbi na nguvu dhidi ya wapinzani wako na raia wema wa Tanganyika na Zenj kupindua matokeo halal ya uchaguzi ili tu usalie au uingie madrakani?

MATOKEO YA JARIBIO LA UMIMI.
NDUGU MDAU KAMA KATIKA MAJIBU YAKO KUNA NDIO HATA MOJA BASI JUA WEWE NDIO MBINAFSI NA MMIMI UNAECHELEWESHA MAENDELEO YA NCHI.
 
CAG mstaafu, Prof. Assad aliposema asilimia sitini ya watumishi wa uma hawana uwezo, Serikali ilijitokeza haraka sana kukana hilo.

Mbunge wa Kahama, Jumanne Kishimba aliposema kuwa asilimia tisini ya wasomi wetu wanajua tu kusoma na kuandika, watu wengi walimkejeli.

Lakini kwa hali ya mambo ilivyo nchini, nani anaweza tena kuendelea kukanusha hayo madai?

Kama siyo ukilaza, uwizi, na uvivu wao, reli ya SGR ingekuwa haijakamilika mpaka sasa? Magufuli angekuwepo hali ingekuwa ilivyo sasa?

Kama siyo ubinafsi wao, mgao wa umeme ungetesa kwa muda mrefu kama ilivyotukia? Siyo kwamba huo mgawo ulikuwa wa mchongo kwa manufaa ya wachache?

Nimemwona Makonda akiwahoji baadhi ya watumishi mkoani Arusha! Utawaonea wengine huruma. Hawayajui majukumu yao. Ni kama wapo wapo tu.

Fikiria kwa mfano Afisa Biashara mmoja ambaye yeye anajua tu kukusanya ushuru kwenye minada ya Kijiji lakini hajui asilimia ya mapato yanayotakiwa kurudishwa kwenye hicho kijiji. Halafu eti huyo ni mkuu wa idara! Aibu iliyoje!

Arusha walipatiwa bilioni thelathini na Saba katika mwaka wa fedha 2023/2024, lakini ni bilioni kumi na saba tu ndizo zimetumika. Bilioni ishirini zitarejeshwa hazina. Kutafuta hela hawajui na hata kutumia walizopewa hawawezi. Huo ni ukilaza na uvivu uliokithiri.

Kuna mahali wilayani Longido walikuwa wanakusanya mapato ya shilingi milioni kumi na tatu kwa mwezi au wiki, (sikumbuki vizuri), lakini baada ya mianya ya upigaji kuthibitiwa, mapato yakaongezeka kutoka milioni kumi na tatu hadi mia moja ishirini kwa wiki/mwezi. Ona wasivyokuwa na huruma! Walikuwa wanaiba zaidi ya milioni mia moja kwa wiki/mwezi huku Serikali ikiambulia milioni kumi na tatu pekee.

Hiyo ni Arusha tu! Sijui kwenye mikoa mingine kukoje. Lakini inasemekana huo ni mtindo uliozoeleka maeneo yote.

Kama ndivyo, ni dhahiri kuwa ofisi za uma zimegeuka vichaka vya wezi, vilaza, wavivu, wenye viburi n.k.

Najua siyo wote, lakini asilimia nyingi ndivyo walivyo. Labda, ni kwa sababu wengi wao wamepata hizo nafasi kwa "connection", ama wamezinunua au wamewekwa na ndugu zao. Ndiyo maana hata baadhi ya madereva wa magari ya uma huonesha kiburi wawapo barabarani. Kwa sababu tu anaendesha gari la Serikali hudiriki hata kuvunja Sheria za usalama barabarani kwa kuwa anajua kuwa hatachukuliwa hatua kama wengine.

Naamini, kama siyo hao watu: vilaza, wezi, wavivu, wenye viburi, n.k. kujazana kwenye ofisi za uma, nchi yetu isingehitaji kwenda kuomba misaada nchi za nje kama South Korea. Lakini sasa itafanyaje ikiwa hela inayotafunwa na kuchezewa ni nyingi kuliko inayoingia kwenye matumizi sahihi?

Laiti lingepita fagio la kusafisha ofisi za uma dhidi ya vilaza, wezi, wavivu na wenye viburi, nchi yetu ingesonga mbele kwa maendeleo.

Kama aina hiyo ya watumishi wataendelea kuwepo kwenye hizo ofisi, kasi ya maendeleo ya nchi yetu itaendelea kuwa ya kusuasua. Labda kama wataamua kubadilika.

Swali ni kwamba watabadilika?
Embu cheki na Mwashambwa kwanza.
 
Sababu sio za msingi, kwani wakati wanaomba hizo kazi mshahara walitangaziwa tofauti?
Na wizi ni tabia za watu wabinafsi, hata kama wangelipwa milioni 100 bado wangeiba tu.
Mawaziri na Makatibu wakuu wanaiba mishahara yao ni midogo?
 
Watumishi wa umma wa dhiki hawalipwi vizuri ndio maana hawana ufanisi mzuri kwenye majukumu Yao.
Ndio maana ikitokea mwanya wa kupiga fedha Wana nyoosha vizuri SANA.
Bado Kuna kikokotoo kinawatesa, malimbikizo ya madai NK Ndio maana wengi wanaamua kulipua TU
Sababu sio za msingi, kwani wakati wanaomba hizo kazi mshahara walitangaziwa tofauti?
Na wizi ni tabia za watu wabinafsi, hata kama wangelipwa milioni 100 bado wangeiba tu.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
CAG mstaafu, Prof. Assad aliposema asilimia sitini ya watumishi wa uma hawana uwezo, Serikali ilijitokeza haraka sana kukana hilo.

Mbunge wa Kahama, Jumanne Kishimba aliposema kuwa asilimia tisini ya wasomi wetu wanajua tu kusoma na kuandika, watu wengi walimkejeli.

Lakini kwa hali ya mambo ilivyo nchini, nani anaweza tena kuendelea kukanusha hayo madai?

Kama siyo ukilaza, uwizi, na uvivu wao, reli ya SGR ingekuwa haijakamilika mpaka sasa? Magufuli angekuwepo hali ingekuwa ilivyo sasa?

Kama siyo ubinafsi wao, mgao wa umeme ungetesa kwa muda mrefu kama ilivyotukia? Siyo kwamba huo mgawo ulikuwa wa mchongo kwa manufaa ya wachache?

Nimemwona Makonda akiwahoji baadhi ya watumishi mkoani Arusha! Utawaonea wengine huruma. Hawayajui majukumu yao. Ni kama wapo wapo tu.

Fikiria kwa mfano Afisa Biashara mmoja ambaye yeye anajua tu kukusanya ushuru kwenye minada ya Kijiji lakini hajui asilimia ya mapato yanayotakiwa kurudishwa kwenye hicho kijiji. Halafu eti huyo ni mkuu wa idara! Aibu iliyoje!

Arusha walipatiwa bilioni thelathini na Saba katika mwaka wa fedha 2023/2024, lakini ni bilioni kumi na saba tu ndizo zimetumika. Bilioni ishirini zitarejeshwa hazina. Kutafuta hela hawajui na hata kutumia walizopewa hawawezi. Huo ni ukilaza na uvivu uliokithiri.

Kuna mahali wilayani Longido walikuwa wanakusanya mapato ya shilingi milioni kumi na tatu kwa mwezi au wiki, (sikumbuki vizuri), lakini baada ya mianya ya upigaji kuthibitiwa, mapato yakaongezeka kutoka milioni kumi na tatu hadi mia moja ishirini kwa wiki/mwezi. Ona wasivyokuwa na huruma! Walikuwa wanaiba zaidi ya milioni mia moja kwa wiki/mwezi huku Serikali ikiambulia milioni kumi na tatu pekee.

Hiyo ni Arusha tu! Sijui kwenye mikoa mingine kukoje. Lakini inasemekana huo ni mtindo uliozoeleka maeneo yote.

Kama ndivyo, ni dhahiri kuwa ofisi za uma zimegeuka vichaka vya wezi, vilaza, wavivu, wenye viburi n.k.

Najua siyo wote, lakini asilimia nyingi ndivyo walivyo. Labda, ni kwa sababu wengi wao wamepata hizo nafasi kwa "connection", ama wamezinunua au wamewekwa na ndugu zao. Ndiyo maana hata baadhi ya madereva wa magari ya uma huonesha kiburi wawapo barabarani. Kwa sababu tu anaendesha gari la Serikali hudiriki hata kuvunja Sheria za usalama barabarani kwa kuwa anajua kuwa hatachukuliwa hatua kama wengine.

Naamini, kama siyo hao watu: vilaza, wezi, wavivu, wenye viburi, n.k. kujazana kwenye ofisi za uma, nchi yetu isingehitaji kwenda kuomba misaada nchi za nje kama South Korea. Lakini sasa itafanyaje ikiwa hela inayotafunwa na kuchezewa ni nyingi kuliko inayoingia kwenye matumizi sahihi?

Laiti lingepita fagio la kusafisha ofisi za uma dhidi ya vilaza, wezi, wavivu na wenye viburi, nchi yetu ingesonga mbele kwa maendeleo.

Kama aina hiyo ya watumishi wataendelea kuwepo kwenye hizo ofisi, kasi ya maendeleo ya nchi yetu itaendelea kuwa ya kusuasua. Labda kama wataamua kubadilika.

Swali ni kwamba watabadilika?
Wapumzisheni unadhani wanatoka mbinguni? Hiyo ndio jamii ya Tanzania ilivyo
 
Sijawahi kuona watu wanadharau kama hawa,,,ukienda NSSF unaeza kulia ukiona wanavyofanyiwa nyodo na kuzungushwa wazee wakati hela zao
 
Wapumzisheni unadhani wanatoka mbinguni? Hiyo ndio jamii ya Tanzania ilivyo
Sahihi , aina ya watumishi wa umma na viongozi tulionao inaakisi jamii yetu maana hao watu ndio tunaishi nao
Wizi upo kwenye damu yetu, mara ngapi tumesikia madereva wanaiba mafuta ya magari ya dangote, vp wale wanaowaibia wahindi kwenye maduka yao ,
Jamii yetu ipo corrupted kila Kona ,labda vile hao watumishi wanaonekana Kwa urahisi
 
Sahihi , aina ya watumishi wa umma na viongozi tulionao inaakisi jamii yetu maana hao watu ndio tunaishi nao
Wizi upo kwenye damu yetu, mara ngapi tumesikia madereva wanaiba mafuta ya magari ya dangote, vp wale wanaowaibia wahindi kwenye maduka yao ,
Jamii yetu ipo corrupted kila Kona ,labda vile hao watumishi wanaonekana Kwa urahisi
Kaka mkubwa hongera sana. Wazazi wako hawajapoteza pesa zao kukusomesha. 90% ya wadanganyika na wazenj hawana akili ya kuliona hili uliliona wewe hapa.
 
Mtumishi wa umma na kumakizika kwa SGR,Mtumishi wa umma na mgao wa umeme bado nafikilia link sipati jibu linalokuja it either hujui Serikali inavyotenda kazi au una chuki na Watumishi wa umma.
 
Sijawahi kuona watu wanadharau kama hawa,,,ukienda NSSF unaeza kulia ukiona wanavyofanyiwa nyoko na kuzungushwa
Mkuu kila mahali , ofisi yoyote ya sirikali hali ni hiyohiyo.
Nilenda NIDA pale nyuma ya Chang'ombe kituo cha Polisi, nikanyanyasika sana. Nakaenda Vizazi na vifo Mjini pale nusu nipoteze fahamu, uhamiaji kurasini mpaka huku posta ni hivyohivyo.
Hasira na msongo niliopata nilipofika tu ughaibuni nikaukana uraia wa Danganyika.
Mbaya zaidi hali inazidi kuwa mbaya na itaendelea kuwa mbaya zaidi
 
CAG mstaafu, Prof. Assad aliposema asilimia sitini ya watumishi wa uma hawana uwezo, Serikali ilijitokeza haraka sana kukana hilo.

Mbunge wa Kahama, Jumanne Kishimba aliposema kuwa asilimia tisini ya wasomi wetu wanajua tu kusoma na kuandika, watu wengi walimkejeli.

Lakini kwa hali ya mambo ilivyo nchini, nani anaweza tena kuendelea kukanusha hayo madai?

Kama siyo ukilaza, uwizi, na uvivu wao, reli ya SGR ingekuwa haijakamilika mpaka sasa? Magufuli angekuwepo hali ingekuwa ilivyo sasa?
Kutokamilika kwa reli hakusiani na mtumishi wa umma,SGR haikamiliki kwa kuwa pesa hakuna sio sababu ya usimamizi.
Hata hivyo,Magufuli ndio sababu ya kutokamilika miradi hiyo amemuachia SAMIA miradi mingi yenye kuhitaji fedha nyingi huku uwezo wa Nchi kiuchumi hauruhusu.
Kama siyo ubinafsi wao, mgao wa umeme ungetesa kwa muda mrefu kama ilivyotukia? Siyo kwamba huo mgawo ulikuwa wa mchongo kwa manufaa ya wachache?
Mgao wa umeme unotokana na umeme mdogo uliopo kuliko mahitaji.Anae sababisha umeme kutotosha na Rais wako na wabunge wako wanaokaa kuidhinisha matumizi ya pesa.
Nimemwona Makonda akiwahoji baadhi ya watumishi mkoani Arusha! Utawaonea wengine huruma. Hawayajui majukumu yao. Ni kama wapo wapo tu.

Fikiria kwa mfano Afisa Biashara mmoja ambaye yeye anajua tu kukusanya ushuru kwenye minada ya Kijiji lakini hajui asilimia ya mapato yanayotakiwa kurudishwa kwenye hicho kijiji. Halafu eti huyo ni mkuu wa idara! Aibu iliyoje!
Kila sehemu kuna mgawanyo wa majukumu,akiwa mtu fulani huwezi jua kila kitu.Yawesekana tatizo ni muuliza maswali unamhoji mtu sahihi kwa wakati sahihi.mtu mwenye taarifa nzuri wa jinsi pesa zinavyorudishwa katika vijiji na kata ni Afisa Mipango.hapo mwenye makosa ni huyo makonda sio huyo Mtumishi
Arusha walipatiwa bilioni thelathini na Saba katika mwaka wa fedha 2023/2024, lakini ni bilioni kumi na saba tu ndizo zimetumika. Bilioni ishirini zitarejeshwa hazina. Kutafuta hela hawajui na hata kutumia walizopewa hawawezi. Huo ni ukilaza na uvivu uliokithiri.
Hii ni kawaida sana,ukiwa nje ya mfumo ndio utashangaa ulila ungekuwa Serikalini huwezi shangaa.kuna mambo mengi hutokea hadi kuwa hivyo.
Kuna mahali wilayani Longido walikuwa wanakusanya mapato ya shilingi milioni kumi na tatu kwa mwezi au wiki, (sikumbuki vizuri), lakini baada ya mianya ya upigaji kuthibitiwa, mapato yakaongezeka kutoka milioni kumi na tatu hadi mia moja ishirini kwa wiki/mwezi. Ona wasivyokuwa na huruma! Walikuwa wanaiba zaidi ya milioni mia moja kwa wiki/mwezi huku Serikali ikiambulia milioni kumi na tatu pekee.
Huo wizi tatizo ni wewe Mwananchi na viongozi wako,kushindwa kusimamia sheria,kanuni na taratibu.
Hiyo ni Arusha tu! Sijui kwenye mikoa mingine kukoje. Lakini inasemekana huo ni mtindo uliozoeleka maeneo yote.

Kama ndivyo, ni dhahiri kuwa ofisi za uma zimegeuka vichaka vya wezi, vilaza, wavivu, wenye viburi n.k.

Najua siyo wote, lakini asilimia nyingi ndivyo walivyo. Labda, ni kwa sababu wengi wao wamepata hizo nafasi kwa "connection", ama wamezinunua au wamewekwa na ndugu zao. Ndiyo maana hata baadhi ya madereva wa magari ya uma huonesha kiburi wawapo barabarani. Kwa sababu tu anaendesha gari la Serikali hudiriki hata kuvunja Sheria za usalama barabarani kwa kuwa anajua kuwa hatachukuliwa hatua kama wengine.

Naamini, kama siyo hao watu: vilaza, wezi, wavivu, wenye viburi, n.k. kujazana kwenye ofisi za uma, nchi yetu isingehitaji kwenda kuomba misaada nchi za nje kama South Korea. Lakini sasa itafanyaje ikiwa hela inayotafunwa na kuchezewa ni nyingi kuliko inayoingia kwenye matumizi sahihi?

Laiti lingepita fagio la kusafisha ofisi za uma dhidi ya vilaza, wezi, wavivu na wenye viburi, nchi yetu ingesonga mbele kwa maendeleo.

Kama aina hiyo ya watumishi wataendelea kuwepo kwenye hizo ofisi, kasi ya maendeleo ya nchi yetu itaendelea kuwa ya kusuasua. Labda kama wataamua kubadilika.
Haya yote shida sio Mtumimishi,wasimamizi wa sheria.toeni elimu kwa Wananchi badilisheni mfumo wa uongozi na utawala Nchini kuanzia juu mpaka chini.
Hakikisheni uongozi unapatikana ki haki kuanzia nafasi ya Urais,maana yeye na Serikali ndio wanakwenda kusimamia kila kitu.
Swali ni kwamba watabadilika?
 
Mkuu ukitaka kujua nini kinakwamisha maendeleo ya Taifa hili, basi jaribu kutoka kiduchu nenda ulaya ama Marekani, ama
Nasikia Botswana hata huduma inayotolewa kwa wafungwa ni bora sana ukilinganisha na magereza za baadhi ya Mataifa ya Afrika. Nilisimuliwa jinsi Watanzania fulani walivyowekwa mahabusu kwa siku kadhaa kwenye kituo cha Polisi kilichopo mpakani mwa Botswana baada ya kukamatwa nchini humo wakijaribu kuingia humo bila kibali. Walitaka kuzamia.

Baada ya kukaa lupango kwa siku kadhaa, hatimaye waliachiliwa na kuamriwa kuondoka. Mmoja wa waliokuwa wamewekwa kizuizini aliwaacha Polisi hoi pale alipowaomba yeye aendelee kubaki mahabusu.

Aliamua kuomba hiyo ofa kutokana na huduma waliyoipata mahabusu. Walikuwa wakipewa vyakula vizuri. Ilikuwa ni mara yake ya kwanza kushuhudia mtu aliyewekwa mahabusu akipewa kuku.

Nafikiri alipiga hesabu na kufikia hitimisho kuwa kama hicho kituo cha Polisi kinawapa mpaka kuku mahabusu, na magerezani kutakuwa vivyo hivyo. Aliona bora awe mfungwa Botswana kuliko kuwa huru nchini kwake Tanzania.

Kwa bahati yake nzuri, ombi lake halikukubaliwa. Alilazimika kurejea nchini.
 
Back
Top Bottom