MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Kuna baadhi ya vifungu kwenye Bible uki connect dott unapata picha tofauti kabisa kuhusu Dini.
Wakati wa Biashara za watumwa, Watumwa walivyo kuwa wanafika kule hawakuruhusiwa kujifunza kitu tofauti na Dini.
Na Dini ndo kitu cha kwanza walicho kuwa wanafundihswa walivyo fika kule, na kuna baadhi ya vifungu walikuwa wanasisitiziwa zaidi kusoma kama Waefeso 6:5.
Unazani Wamiliki wa watumwa waliwapenda sana Watumwa na wakataka waende mbinguni ndo maana wakawa kitu cha kwanza ni kufundishwa Dini na hata kubatizwa na kupewa majina ya Kidini?
Wakati wa Biashara za watumwa, Watumwa walivyo kuwa wanafika kule hawakuruhusiwa kujifunza kitu tofauti na Dini.
Na Dini ndo kitu cha kwanza walicho kuwa wanafundihswa walivyo fika kule, na kuna baadhi ya vifungu walikuwa wanasisitiziwa zaidi kusoma kama Waefeso 6:5.
Unazani Wamiliki wa watumwa waliwapenda sana Watumwa na wakataka waende mbinguni ndo maana wakawa kitu cha kwanza ni kufundishwa Dini na hata kubatizwa na kupewa majina ya Kidini?