Watumwa wa kileo hawapo katika minyororo, wapo katika madeni

Watumwa wa kileo hawapo katika minyororo, wapo katika madeni

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Mdada mmoja alikuwa anasema kumeongeza issue ya wake za watu kudanga kutokana na tamaa za wadada wengi kujirundiikiana marejesho juu ya marejesho hadi imepelekea wake za watu sasa kuanza kudanga ili wafix liabilities zinazowaandama maana wanaogopa wasije wakaenda kufyekwa vitu ndani mwake maana mumewe atacharuka.

Saying that,

Hakika madeni yamekuwa sehemu ya maisha yetu sio haya pekee tunayochukua ili kufinance maisha yetu bali hata haya makato tunayokatwa makali ili kufinance mikopo ya miradi inayofanyika.

Tumejikuta mioyo iko juju sanaaa, kuanzia nipige tafu hadi katika shughuli zetu za kila siku, kila kitu kinakudai, hadi wewe mwenyewe unakuta unajidai, unachukua pesa ya pango ya biashara kuongezea katika ada ya mtoto.
 
Mdada mmoja alikuwa anasema kumeongeza issue ya wake za watu kudanga kutokana na tamaa za wadada wengi kujirundiikiana marejesho juu ya marejesho hadi imepelekea wake za watu sasa kuanza kudanga ili wafix liabilities zinazowaandama maana wanaogopa wasije wakaenda kufyekwa vitu ndani mwake maana mumewe atacharuka.

Saying that,

Hakika madeni yamekuwa sehemu ya maisha yetu sio haya pekee tunayochukua ili kufinance maisha yetu bali hata haya makato tunayokatwa makali ili kufinance mikopo ya miradi inayofanyika.

Tumejikuta mioyo iko juju sanaaa, kuanzia nipige tafu hadi katika shughuli zetu za kila siku, kila kitu kinakudai, hadi wewe mwenyewe unakuta unajidai, unachukua pesa ya pango ya biashara kuongezea katika ada ya mtoto.
Na ni utumwa mbaya kuliko utumwa mkongwe...
 
Unategemea nini mwanamke kuchukua mkopo kapika chakula auze mama ntilie anaanza kupakua tu mgambo anapiga teke sufuria mama anakimbia kukamatwa laki tatu ya fine hana jioni marejesho sh elf 4 inatakiwa nyumbani,chumba kimoja watoto watatu plus mama mzazi wote wanamuangalia yeye zaidi ya kwenda kuvua chupi atarejeshaje mkopo.
 
Mdada mmoja alikuwa anasema kumeongeza issue ya wake za watu kudanga kutokana na tamaa za wadada wengi kujirundiikiana marejesho juu ya marejesho hadi imepelekea wake za watu sasa kuanza kudanga ili wafix liabilities zinazowaandama maana wanaogopa wasije wakaenda kufyekwa vitu ndani mwake maana mumewe atacharuka.

Saying that,

Hakika madeni yamekuwa sehemu ya maisha yetu sio haya pekee tunayochukua ili kufinance maisha yetu bali hata haya makato tunayokatwa makali ili kufinance mikopo ya miradi inayofanyika.

Tumejikuta mioyo iko juju sanaaa, kuanzia nipige tafu hadi katika shughuli zetu za kila siku, kila kitu kinakudai, hadi wewe mwenyewe unakuta unajidai, unachukua pesa ya pango ya biashara kuongezea katika ada ya mtoto.
Na mkifanya kazi au BIASHARA Lazima mtafunwe tu hamna jinsi, Kazi, Biashara, zote Zina changamoto Mwanamke anakwepaje changamoto hizo? Mliokubali wake zenu waende kujishughulisha fahamuni hivyo, kama bado hujaona ni arobaini zake tu hazijafika endelea kusubiria.
 
Inaitwa mikopo kausha damu chupi mkononi Ina dhalilisha sana wanawake
Na wanawake wakidhalilika ndo na wanaume tunadhalilika, maana hao wako chini yetu unamwachaje aingie mikataba ya pesa na mijitu milafi hivi? Lazima ichapwe.
 
20 Percent kwenye moja ya wimbo wake,ameweka maneno haya:'aibu ya mke ni aibu ya mumewe '
Sahihi kabisa, na aibu ndogo kabisa ambayo siwezi iacha itokee ni huu usafiri wetu unaitwa mwendo wa Kasi, hivi wanawake wanaopanda mle Wana waume? Wanaume wataftieni usafiri wake zenu.
 
VICOBA HOYEEEE ..Serikali yenyewe haikukopeshi kama hamna kikundi..na ndani ya kikundi lazima muwe na ka upatu au mchezo mtengeneze ka kikoba ili mate marejesho ..vikoba haviepukiki na kwa wanawake wente malengo wanafanikiwa wanasomesha na kufanya maendeleo,pesa ndogo ya kujitafutia ni tamu kuliko ya kuomba au kupewa inamasimango mno..
 
VICOBA HOYEEEE ..Serikali yenyewe haikukopeshi kama hamna kikundi..na ndani ya kikundi lazima muwe na ka upatu au mchezo mtengeneze ka kikoba ili mate marejesho ..vikoba haviepukiki na kwa wanawake wente malengo wanafanikiwa wanasomesha na kufanya maendeleo,pesa ndogo ya kujitafutia ni tamu kuliko ya kuomba au kupewa inamasimango mno..
Ina maana watu wanaoishi wanakopa? Na baada ya hapo kama umekubali kukopa, vikoba, upatu, na mengineyo basi ukubali na matokeo mabaya ikiwemo kugongewa, Sahihi kabisa wote wenye mafanikio Haina maana hakuna changamoto, tunachoongelea ni changamoto, wanawake wanazitatuwaje? Ndo na huko vikoba wanadaiwa Bora pesa ya kuomba, kwa mume, kaka, baba, kuliko pesa ya kuomba vikoba.
 
Nasikiliza nyimbo ya meja kunta ile danga la mke wangu, imenipa ujumbe maridhawa
 
Back
Top Bottom