Watumwa wa kileo hawapo katika minyororo, wapo katika madeni

Nasikiliza nyimbo ya meja kunta ile danga la mke wangu, imenipa ujumbe maridhawa
 
Utaomba kila siku na kwa kila changamoto na hitaji unayokutana nayo uombe?si utachokwa?utasimangwa si kila aliyekwenye kikoba anagongwa watu wanamalengo yao bwana.. usikariri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…