WaTZ bila aibu mnatumia nguvu nyingi kupachika picha za uwanja wa ndege wa nchi nyingine na kudanganya eti ni JNIA mpya

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Mi-cmm ni aibu hadi inatia kichefuchefu shukran mk254 kwa kuleta link hapa, watu walikua wanafikiria mimi ni kichaa....
 
Vinyangarika na vibwanga vyao, wanatumia nguvu nyingi sana, kwenye maswala yasokuwa na tija. Yote katika hali ya kupimana nguvu na Kenya, tena kwa lazima!
Udenda mwing wa nini,twende taratibu,wapi wamekosea tuangalie broo
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
MEAN WHILE AT ATCL
 
The day JKIA has a terminal like this hell will break loose.




 
Wewe unadhani ni waongo. La, ni mazuzu. Wengi wao walikua na unakika kwamba ni picha za JNIA. Lingine ni kwamba wengi wao humu ndege hawajawahi panda, Airport hawajaingia?
 
SHAME ON KADODA...AIBU SANA MZEE WA 50 KUDANGANYA UNALAANI WATOI WAKO
 
Bora umelisemea hili. Jana kutwa nzima wametujazia simu kwa picha za Oman wakidai ni JKNIA, kumbe sio
 
Hio picha hata hainishangazi. Jambo linalonishangaza ni kwamba hakuna watanzania hapa JF walio notice kua hio sio picha halisi, 99% walisherehekea kana kwamba hio ni picha ya jnia.
No wengi wao hua wanapenda kujisifia hapa jf kua wao husafiri nchi mbali mbali , this means hua ni uongo mtupu , walitumia airport gani wakati hawajui hata JNIA inafanana vipi! This terminal has been under construction for the last 3 years na hakuna mtz wa hapa JF ameiona na macho yake mawili kiasi cha kujua hio picha so ya JNIA new terminal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…