Wauaji wakuu wa biashara Tanzania Ni TRA na wapangisha fremu au majengo ya biashara. Serikali iwashughulikie

Wauaji wakuu wa biashara Tanzania Ni TRA na wapangisha fremu au majengo ya biashara. Serikali iwashughulikie

wacheni kupotosha muuaji ni MAGUFULI.
mimi nina family Business imekuwepo kwa 20+ years, na imekufa 2016.
na muuaji alikuw ani magufuli, tulibambikiwa kodi za ajabu na TRA wakafunga duka likiwa na bizaa ambazo ni perishable nikapambana kwa mieze sita duka lifunguliwe nipiga simu mpaka TRA MKOA wa DAR meneja na aligoma, cha ajabu mwenye Nyumba alipokosa kodi na kwenda kulala mika wakaja kufungua kuwa wamesamehe na tulipe taratibu.
Mudaa huo tushafilisika.

HASARA SASA:-
1. Familia kipato kimeyumba watoto wanne walikuw awnasomeshwa na hilo duka.
2. wafananyakazi wawili hawana hajira.
3. Mwenye Nyumba kodi zaidi ya 8Mil hakupata.
4. Supplies mapak elo wanadai zaidi ya 5Mil Na hailipiki.
5. Serekali imekula kwao hakuna kodi tena kutoka duka/biashara ile.


Hawa TRA ni wanatumwa tu.
TRA hakuna wataalamu wa biashara wamejaa wahasibu Wenye CPA na Wenye digrii za Taxation tu.Ndio tatizo lingine hawana business experts!!!
 
Siio tofauti .Roho ya umaskini ndio huleta umaskini.Umaskini hauji tu hewani Kuna Roho isababishayo inaitwa Roho ya umaskini.Baba wa umaskini Ni Roho ya umaskini
Msome mwenyewe aliyeumba hizo roho: Mathayo 5:3
Haihusiani na mali wala kumiliki fremu.
Ukiwa na roho hiyo hauwezi kuabudu mali wala binadamu mwenzako kama wengi tunavyofanya.
 
Back
Top Bottom