Wauana kibandaumiza kisa VAR ya Arsenal V Man U

Wauana kibandaumiza kisa VAR ya Arsenal V Man U

Afu wakati huo kulikuwa na shabiki wa Chelsea anawachora tuu 😂
 
Shabiki wa Arsenal ameaga dunia baada ya kuchomwa na kitu chenye ncha kali na shabiki wa Man U kwenye banda la video.

Wawili hao walianza kwa kurushiana maneno na kufikia ugomvi baada ya VAR kukataa goli la Man U.

Ugomvi huo ukapelekea kifo cha Jackson Aineruhanga eneo la Sheema, kaskazini mwa Uganda.

Mtuhumiwa baada ya tukio alikimbia, yuko mafichoni akitaabika na dunia akiukumbuka kwa vitendo msemo wa waswahili, majuto ni mjukuu. Polisi wa Uganda wanamsaka.

Pamoja na timu za Man na Arsenal kuzaliwa miaka ya 1800's nchini Uingereza na kuwa na mashabiki wanaoishi waliozishabikia kwa zaidi ya miaka 100 hamna mauaji yaliyotokana na mechi ya juzi nchini humo.
Kosa kubwa alilolifanya Mungu ni kumuumba Mwafrika. Asia, south america kidogo wana ka ustaarabu ingawa nao ni bora liende
 
Pole sana kwake. Lakini waamuzi wa EPL ni wa kuwadharau na kuwapuuza tu.
Walihakikisha hadi wanaiondoa Man UTD kwenye fighting spirit kabla ya ETH nae kutuletea misukule yetu Evans na Maguire.
 
Shabiki wa Arsenal ameaga dunia baada ya kuchomwa na kitu chenye ncha kali na shabiki wa Man U kwenye banda la video.

Wawili hao walianza kwa kurushiana maneno na kufikia ugomvi baada ya VAR kukataa goli la Man U.

Ugomvi huo ukapelekea kifo cha Jackson Aineruhanga eneo la Sheema, kaskazini mwa Uganda.

Mtuhumiwa baada ya tukio alikimbia, yuko mafichoni akitaabika na dunia akiukumbuka kwa vitendo msemo wa waswahili, majuto ni mjukuu. Polisi wa Uganda wanamsaka.

Pamoja na timu za Man na Arsenal kuzaliwa miaka ya 1800's nchini Uingereza na kuwa na mashabiki wanaoishi waliozishabikia kwa zaidi ya miaka 100 hamna mauaji yaliyotokana na mechi ya juzi nchini humo.
Wapuuzi sana hao vijana ona sasa wamegawana majengo ya serikali mmoja mochwari mwingine mahabusu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom