Wauana kibandaumiza kisa VAR ya Arsenal V Man U

Afu wakati huo kulikuwa na shabiki wa Chelsea anawachora tuu 😂
 
Kosa kubwa alilolifanya Mungu ni kumuumba Mwafrika. Asia, south america kidogo wana ka ustaarabu ingawa nao ni bora liende
 
Pole sana kwake. Lakini waamuzi wa EPL ni wa kuwadharau na kuwapuuza tu.
Walihakikisha hadi wanaiondoa Man UTD kwenye fighting spirit kabla ya ETH nae kutuletea misukule yetu Evans na Maguire.
 
Wapuuzi sana hao vijana ona sasa wamegawana majengo ya serikali mmoja mochwari mwingine mahabusu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…