Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Mwanga wa jua una faida lukuki katika mwili wa mwanadamu hasa wagonjwa. Hospitali za zamani zilikuwa na utaratibu wa kuwatoa na kuwaweka wagonjwa maeneo ya wazi ili wapate mwanga wa jua.
Siku hizi utaratibu huo haupo tena, wagonjwa wanashinda ndani kutwa nzima, hawapati mwanga wa jua kabisa.
Sio wagonjwa tu, hata watu walio wazima wa afya nao hawapati jua la kutosha, wanashinda ndani ya majengo kutwa nzima, wanaingia asubuhi na wakitoka ni usiku.
Cancer na magonjwa mengine ya ngozi yanazidi kuibuka, sababu kuu ni ukosefu wa mwanga wa jua. Tujitahidi kupata jua kadri tuwezavyo kwani ni muhimu kwa afya zetu.
☀️Jua ni tiba, jua linaponya.