Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Haya, kitu gani ungependa bebi wako apunguze maana amejisahau sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mnatulisha, mnatuzalisha, na tunafurahia maisha hiyo miili na matumbo yataachaje kuja 😂😂🤣Mkishapata ndoa( NSSF ) ya maisha kazi kufutuka tu.
Na bado kaleta keki na kitambi hiki 🤣🤣🤣 acha nile tu!Issue itakuwa mkewe anakula sanaa. Mpaka mwanamke anaota kitambi shangaa sana mkuu
Huyu amekuambia kwa mahaba kabisa, mkuria anaweza kukwambia hivi kwa makofi? 😂
Tumbo tumbo tumbo..wanawake kwa kweli yaani tusogeze tumbo mdio tuone papuchi...ebu acheni ujinga bwana. Ata kama tunawalisha ndio mkule mpaka tumbo laziba punene
Duh!!😂😂🤣🤣
Mtu analalamikia tumbo na bado anakuletea keki, utafanyaje sasa? Labda anaenjoy kusogeza tumbo ila anavunga tu 😂😂😂Tumbo tumbo tumbo..wanawake kwa kweli yaani tusogeze tumbo mdio tuone papuchi...ebu acheni ujinga bwana. Ata kama tunawalisha ndio mkule mpaka tumbo laziba punene
Mwanamke t ziwe Tatu babuTumbo tumbo tumbo..wanawake kwa kweli yaani tusogeze tumbo mdio tuone papuchi...ebu acheni ujinga bwana. Ata kama tunawalisha ndio mkule mpaka tumbo laziba punene
Waambie wakusikie mai 🤣Mwanamke t ziwe Tatu babu
Titi ,tako ,tumbo
Mkishapata ndoa( NSSF ) ya maisha kazi kufutuka tu.
Eti vitambi kama vichuguu 🤣🤣🤣🤣Na nyie wanaume pia mpunguze vitambi jamani km vichuguu 😹😹😹