Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Sasa mnatulisha, mnatuzalisha, na tunafurahia maisha hiyo miili na matumbo yataachaje kuja πππ€£Mkishapata ndoa( NSSF ) ya maisha kazi kufutuka tu.
Na bado kaleta keki na kitambi hiki π€£π€£π€£ acha nile tu!Issue itakuwa mkewe anakula sanaa. Mpaka mwanamke anaota kitambi shangaa sana mkuu
Huyu amekuambia kwa mahaba kabisa, mkuria anaweza kukwambia hivi kwa makofi? π
Tumbo tumbo tumbo..wanawake kwa kweli yaani tusogeze tumbo mdio tuone papuchi...ebu acheni ujinga bwana. Ata kama tunawalisha ndio mkule mpaka tumbo laziba punene
Duh!!πππ€£π€£
Mtu analalamikia tumbo na bado anakuletea keki, utafanyaje sasa? Labda anaenjoy kusogeza tumbo ila anavunga tu πππTumbo tumbo tumbo..wanawake kwa kweli yaani tusogeze tumbo mdio tuone papuchi...ebu acheni ujinga bwana. Ata kama tunawalisha ndio mkule mpaka tumbo laziba punene
Mwanamke t ziwe Tatu babuTumbo tumbo tumbo..wanawake kwa kweli yaani tusogeze tumbo mdio tuone papuchi...ebu acheni ujinga bwana. Ata kama tunawalisha ndio mkule mpaka tumbo laziba punene
Waambie wakusikie mai π€£Mwanamke t ziwe Tatu babu
Titi ,tako ,tumbo
Mkishapata ndoa( NSSF ) ya maisha kazi kufutuka tu.
Eti vitambi kama vichuguu π€£π€£π€£π€£Na nyie wanaume pia mpunguze vitambi jamani km vichuguu πΉπΉπΉ