Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WEwe ndio mpumbavu
YESU aliponya kwa kutumia hadi mate na matope na watu walimfuata hawakuacha kumfuata sembuse kutumia sabuniu kwakuwa walikuwa na nuru iliyoletwa kwa wao kujawa na maarifa.
Hutaweza kupambanua haya mambo kama hauna maarifa na neno la Mungu kukaa ndani yako utalishwa mpaka sabuni ukiambiwa inaondoa mikosi.
sidhani kama una jua ilaWatu wameshasahau tena kisali kwa Mungu wao, wamebaki kuzunguka kutafuta miujiza, inasikitisha sana. Ila sio mbaya maana wanasema kuwa 'what matters is what you believe'. I
Kwamba wewe hutokufa?Harafu yakifa watu tunahuzunika,majitu mengine bhana hovyo sana.
macson
hawaelewi hao mwenye shida hachagui mgangaTuache watu na imani zao hivi mnadhani wangekuwa hawaponywi wangejazana pale kawe kwenye huduma yake?Watu wanatembea kwa umbali mrefu kutafuta usafiri wa kwenda kawe kukanyaga mafuta tu haijalishi ni ya kichawi au kiMungu lkn watu kwa imani zao wanapona.
Sent using Jamii Forums mobile app