Kumbe jibu unaloIt means, No Love there?
Paragraph ya kwanza imeniingia akilini.Shtuka mkuu..
Ukiona manyoyaaaa
Penzi ni la wawili sio mmoja aumie
Raha ya penzi mshirikiane mshirikishane lol
But.....ongea nae kwanza may be yuko busy na majukumu yake atakueleza tu.
[emoji14] [emoji14]
Daah! Mkuu! Naona mimi nafasi ya Uzuzu inanihusu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] .Ukiona mjanja kapendwa jua zuzu katendwa na ukiona zuzu katendwa jua Kuna mjanja kapendwa
Pengine wakati huu unalia huku jf Kuna Mjinga anabembelezwa huko kuwa mwanaume mapenz na uvulana ni vitu viwl tofauti kabsa
Wahi mapema kujitafutia anaekufaa huyo si wako....Paragraph ya kwanza imeniingia akilini.
Sasa hiyo ya pili, Ina maana uBusy hadi kushindwa kumjulia hali Partner wake?!!
Maamzi ni yako mkuu either kuwa zuzu au kuwa mjanja kwa kuukataa u zuzuDaah! Mkuu! Naona mimi nafasi ya Uzuzu inanihusu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] .
Nifanyaje sasa? Nijiokoe?
Nashukuru kwa Ushauri wako.Wahi mapema kujitafutia anaekufaa huyo si wako....
Wanasemaga jiongezeeeee
Hakunaga ubusy kwa unaempenda na kumjali na kama upo lazima utamtaarifu in advance ili asiumie......
Huyo ako na mwingine anaempea attention not you.
Usikawie kufanya maamuzi utaumia maradufu....