Waungwana naomba mnishtue usingizini, mapenzi haya

Waungwana naomba mnishtue usingizini, mapenzi haya

Nashukuru kwa Ushauri wako.

Ingawa moyo unauma.
Moyo lazima uume,its a simple maths kwamba ulikuwa attached na MTU to the fullest now ile attachment lazima uiachie maana haikufit sasa lile gap au shimo huachia vidonda ambavyo uponaji wake ni jitihada zako za kufix weakness zake na pia kufix mbadala alie bora kuliko yeye.
 
Moyo lazima uume,its a simple maths kwamba ulikuwa attached na MTU to the fullest now ile attachment lazima uiachie maana haikufit sasa lile gap au shimo huachia vidonda ambavyo uponaji wake ni jitihada zako za kufix weakness zake na pia kufix mbadala alie bora kuliko yeye.
Shukrani kwa kunipa Moyo na Kunifanya niwe na nguvu.
 
Wakuu, Habarini za mapumziko na Heka heka za kila siku.
Kuna kitu kinanitatiza mjumbe wenu;

Hivi Mwanamke anajisikiaje kuwa anapigiwa simu hapokei, Anatumiwa meseji hajibu. Na usipomtafuta, ndo basi hamuwasiliani(Yaani hadi umuanze wewe)

Na muda mwingine kwenye What's app meseji zinaonekana zimesomwa kabisa, lakini hajibu[emoji24].
Ukimlalamikia sana, baadae sana anakwambia neno "POLE GENIUSTIN" [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]


Hii Tabia inamaanisha nini?
Au Siku hizi nimeanza kuwa Mvulana!?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] maana hii Tabia ina niumiza sana.

Wanaume wenzangu na wanawake, Naombeni mnifafanulie, Ili nishtuke usingizini, Kikombe hiki nikiepuke.

Nawasilisha.
Usijali nina uzoefu wa hizo kashikashi Njia bora na wewe wacha kumtafuta kwa njia yoyote
Kama unampenda inauma ila ndani ya mwezi mzima unakuwa sawa life linaenda
Sasa mala nyingi zile ofa za missed call ztamfanya ajitafakali kidogo
Kama akifikia hatua ya kujishitukia na kujiludi kimawasiliano usimpapalikie nenda naye talatbu
Sasa ikifikia hatua hiyo usipende kuwasiliana na kwa simu , tumia mda mwingi kuwa naye face to face utagunduwa mengi sana tuu
 
Tupa kule wewe maisha yaendelee, inaonekana unajipendekeza sana hadi anakudharau. Anakuona dhaifu.
Nakuelewa mkuu, atakuwa kaniona mimi poyoyo aua Zuzu kama mmoja alivyosema.

Lazima nichague kunyoa, Haiwezekani maisha yenyewe mafupi haya.Hela tuhangaike kuzitafuta[emoji134] na Mwanamke naye awe pasua kichwa wa kutomjali mwenzie.

No way.
 
Nakuelewa mkuu, atakuwa kaniona mimi poyoyo aua Zuzu kama mmoja alivyosema.

Lazima nichague kunyoa, Haiwezekani maisha yenyewe mafupi haya.Hela tuhangaike kuzitafuta[emoji134] na Mwanamke naye awe pasua kichwa wa kutomjali mwenzie.

No way.
Amini mkuu wanawake hawajui wakitakacho, ukimjali sana, anakuona bwege. We nae mpotezee.

Utaleta mrejesho ameanza kukutafuta.
 
Mbona umeshaamka usingizini tayari mkuu. Yaani namba huzisomi herufi huzisimi hata alama za ishara nazo huzielewi??
 
Usijali nina uzoefu wa hizo kashikashi Njia bora na wewe wacha kumtafuta kwa njia yoyote
Kama unampenda inauma ila ndani ya mwezi mzima unakuwa sawa life linaenda
Sasa mala nyingi zile ofa za missed call ztamfanya ajitafakali kidogo
Kama akifikia hatua ya kujishitukia na kujiludi kimawasiliano usimpapalikie nenda naye talatbu
Sasa ikifikia hatua hiyo usipende kuwasiliana na kwa simu , tumia mda mwingi kuwa naye face to face utagunduwa mengi sana tuu
Bosi, ushauri mzuri sana. Nimeupokea. But nataka kumchana live kidogo.
Afu ndo niache kumtafuta kwa njia yoyote.

Unaonaje hii?
 
Back
Top Bottom