Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,604
- 20,085
Ndio hapo sasa.Asante Maserati.
Nashukuru kwa short and clear answer.Nijifanye Zuzu tu mimi, wakati vitu viko very open.
Wewe una hangaika wakati yupo ambae akintumia sms anajibu hapo hapo hazipiti hata dakika 2. Hutujui wanawake ndio nakuambia sasa, tujichoka watu basi tunaanza visa aiseee sitopokea simu yako mpaka ukome na uache wewe. Ila mtumie ela tu, atakuheshimu.