Waungwana naomba mnishtue usingizini, mapenzi haya

Waungwana naomba mnishtue usingizini, mapenzi haya

Hahahahhha. Mzee baba, goma la hivi linafaa mtu uwe na Mchepuko pembeni, yaan lenyewe unalimega alafu mtoto mwingine pembeni undo unaamishia majeshi ya true love na kujaliana.
Hili hili ndo zuri hakuna stress unatafuta hela huku hauwazii kuhusu kukumbuka birthday wala kutuma sms za I Love you
 
Kuna demu mmoja nilikuwa namtafuta mm mara nying,asa nkaona ngoja nijiondoe..nmekaa siku mbili bila kumtafuta,na yy akapiga kimyaa.
Asa jana mishale ya saa mbili usiku,akanitext "mimi naona sikufai,nikutakie maisha mema.pia nashkuru kwa muda wako ulio nipatia"
Nkapiga kimyaaa,mara akaja watsup akaniambia hvo hvo,nkasoma nkakaa kimya.mara akanitext teena,futa vitu vyangu pamoja na namba yangu ya simu,sihitaj mawasiliano na wewe teena.nkasoma halafu nkapiga kimyaaaa!
Mpka saiv hajanitext tena,

Vip wakuu,huyo nimjib au niendelee kupiga kimya?
Hahahahah. Mzee una raha asee, Mimi angenibembeleza hata hivi kidogo ningelainika[emoji134]

Usikute ningemwambia "Sorry Simu sikuwa nayo, kuna mtu niliisahau bahati mbaya, ndo maana umeona sijakujibu"

Maaaae, kumbe haya majibu yangu ndo maana huyu Goma ananiona poyoyo[emoji134] [emoji24]
 
Kuna demu mmoja nilikuwa namtafuta mm mara nying,asa nkaona ngoja nijiondoe..nmekaa siku mbili bila kumtafuta,na yy akapiga kimyaa.
Asa jana mishale ya saa mbili usiku,akanitext "mimi naona sikufai,nikutakie maisha mema.pia nashkuru kwa muda wako ulio nipatia"
Nkapiga kimyaaa,mara akaja watsup akaniambia hvo hvo,nkasoma nkakaa kimya.mara akanitext teena,futa vitu vyangu pamoja na namba yangu ya simu,sihitaj mawasiliano na wewe teena.nkasoma halafu nkapiga kimyaaaa!
Mpka saiv hajanitext tena,

Vip wakuu,huyo nimjib au niendelee kupiga kimya?
Kimyaaaa.
Don't respond. And it will kill her inside.
 
Asante Dada yangu, Asante kwa kuShare your views na siri zenu za Wanawake. Nimekuelewa sana.

Hhahahahhahaha, Nimtumie Hela tena!??![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
Si, unalisifia goma la utete, koloni lako zuri. Mpake urimbo tu, mpe ela atanata hapo kwako milele.
 
Sio kwamba anaibiwa bali, huyo binti hampendi wala hana mpango naye...jamaa angu unajipendekeza tu hapo
 
Hata mm ilntokea iliniumza Sana tena wewe unapewa na pole mi hakuna chochte tena nlkua naumwa wanawake bhana
 
Ndio mzee, Nina hako hako kagoma kamoja. Ndo kameliamsha dude.

Sasa inabidi nianze kupepesa macho, kusaka Lingine.

Na huyu akyanani atawaponza wenzie, Nitatafuta wawili kwa mpigo.

Mkuu ndo kosa ulilofanya hilo unatakiwa uwe na hata watatu mmoja akizengua una tia kapuni [emoji3][emoji3]
 
Hahahahah. Mzee una raha asee, Mimi angenibembeleza hata hivi kidogo ningelainika[emoji134]

Usikute ningemwambia "Sorry Simu sikuwa nayo, kuna mtu niliisahau bahati mbaya, ndo maana umeona sijakujibu"

Maaaae, kumbe haya majibu yangu ndo maana huyu Goma ananiona poyoyo[emoji134] [emoji24]
Hahaa,pole mzee mwenzangu.
 
Hili hili ndo zuri hakuna stress unatafuta hela huku hauwazii kuhusu kukumbuka birthday wala kutuma sms za I Love you
Hahaha, Sasa wa kukufariji atakuwa nani?

Inatakiwa unavyosaka mkwanja, Mara sms twiiii, inaingia kwa Simu """Honey,Pole kwa kazi,Miss yu"""

Hapo unapandisha morali wa kazi.
 
Back
Top Bottom