Waungwana naomba mnishtue usingizini, mapenzi haya

Waungwana naomba mnishtue usingizini, mapenzi haya

mkuu na mimi napitia wakati kama huohuo. najua kabisa sina changu sema saivi nipo kwenye mitihani, sijamtafuta na yeye hajanitafuta nafikiria nikimaliza mitihani nimpige chini . Cha ajabu nina wanawake wengi kipindi hiki ila anayenizingua ndo namkubali.
 
yaani hilo ndo jibu mkuu toa hiyo question mark tu
Hahahahahhahahahahahhahaahahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nilijifariji kwa kuweka "kiulizo" [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
 
Duhh......[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Una roho ngumu kama jiwe...[emoji2] [emoji2]
 
Ndo hvyo nmesonga najiamini naamini ntapata mwanamke bora zaid mwenye upendo Ila mkuu now jikeep busy mazoez nini eeh enjoy time na family yako friends wako saka hela mpk akaunt yako iwe na hela. Kama namba za CMU nakwambia success is a best revenge I wish you all the best friend
 
Vipi pesa huwa unatoa? Au una kazi ya kupiga piga simu na kutuma tuma tu meseji?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] . Vitu nampelekeaga,Zawadi zawadi nampaga.

Ila Hela mkononi sijawahi kumpa.
 
mkuu na mimi napitia wakati kama huohuo. najua kabisa sina changu sema saivi nipo kwenye mitihani, sijamtafuta na yeye hajanitafuta nafikiria nikimaliza mitihani nimpige chini . Cha ajabu nina wanawake wengi kipindi hiki ila anayenizingua ndo namkubali.
Hahahahhahahahahh! Daah! Pole sana Mzee.

Unayempenda ndo anazingua[emoji23] [emoji119] wacha nicheke kama mazuri[emoji134] [emoji24]
 
Back
Top Bottom