Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahhahahahahahhahaahahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]yaani hilo ndo jibu mkuu toa hiyo question mark tu
Comrade.....Shtuka mkuu..unaibiwa
Itapendeza zaid kama ukikaa kimya mkuu,na ku move on.maana ukiandka text ya kumpiga chini,yy atajiona mshindiAsante Mzee mzima, Hapa JF imekuwa ndo mfariji wangu wa haya maamuzi magumu ninayokwenda kuyafanya.
Hahahahhahahahahh! Daah! Pole sana Mzee.mkuu na mimi napitia wakati kama huohuo. najua kabisa sina changu sema saivi nipo kwenye mitihani, sijamtafuta na yeye hajanitafuta nafikiria nikimaliza mitihani nimpige chini . Cha ajabu nina wanawake wengi kipindi hiki ila anayenizingua ndo namkubali.