Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] [emoji134] .Mkuu vipi? Mbons unataka kuvuruga maamuzi yaliyokwisha tayari moyoni!?[emoji134][emoji13] [emoji13] wemsamehe tu
Wenzio huwa tukizinguliwa hatusemi, maana roho ikiuma sana huwa tunajikuta tunarudi kulamba matapishi....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kula buyu mzee.. Atajishtukia mwenyewe. Hapo ni kama anatapatapa vile mfa maji anafanya.Kuna demu mmoja nilikuwa namtafuta mm mara nying,asa nkaona ngoja nijiondoe..nmekaa siku mbili bila kumtafuta,na yy akapiga kimyaa.
Asa jana mishale ya saa mbili usiku,akanitext "mimi naona sikufai,nikutakie maisha mema.pia nashkuru kwa muda wako ulio nipatia"
Nkapiga kimyaaa,mara akaja watsup akaniambia hvo hvo,nkasoma nkakaa kimya.mara akanitext teena,futa vitu vyangu pamoja na namba yangu ya simu,sihitaj mawasiliano na wewe teena.nkasoma halafu nkapiga kimyaaaa!
Mpka saiv hajanitext tena,
Vip wakuu,huyo nimjib au niendelee kupiga kimya?
Nmekusoma mkuu.Kula buyu mzee.. Atajishtukia mwenyewe. Hapo ni kama anatapatapa vile mfa maji anafanya.
Umeona we...huo ndo uanaume na sio uvulana (uanafunzi..)...usihofu mkuu sketi ni nyingi sana manSawa.Nimemwacha aende zake.
Sijazaliwa naye. Na yeye sio Mamangu.
Wakuu, Habarini za mapumziko na Heka heka za kila siku.
Kuna kitu kinanitatiza mjumbe wenu;
Hivi Mwanamke anajisikiaje kuwa anapigiwa simu hapokei, Anatumiwa meseji hajibu. Na usipomtafuta, ndo basi hamuwasiliani (Yaani hadi umuanze wewe)
Na muda mwingine kwenye What's app meseji zinaonekana zimesomwa kabisa, lakini hajibu
Ukimlalamikia sana, baadae sana anakwambia neno "POLE GENIUSTIN"
Hii Tabia inamaanisha nini? Au Siku hizi nimeanza kuwa Mvulana!?maana hii Tabia inaniumiza sana. Wanaume wenzangu na wanawake, Naombeni mnifafanulie, Ili nishtuke usingizini, Kikombe hiki nikiepuke.
Nawasilisha.
Kikombe chako kiniepuke.k
kama sala yako ndio kuomba kikombe hicho kikuepuke, na iwe hivyo ijapokuwa wengine tunaomba hivyo na bado hakituepuki!
Piga kimya mkuu atakutafuta tu.Kuna demu mmoja nilikuwa namtafuta mm mara nying,asa nkaona ngoja nijiondoe..nmekaa siku mbili bila kumtafuta,na yy akapiga kimyaa.
Asa jana mishale ya saa mbili usiku,akanitext "mimi naona sikufai,nikutakie maisha mema.pia nashkuru kwa muda wako ulio nipatia"
Nkapiga kimyaaa,mara akaja watsup akaniambia hvo hvo,nkasoma nkakaa kimya.mara akanitext teena,futa vitu vyangu pamoja na namba yangu ya simu,sihitaj mawasiliano na wewe teena.nkasoma halafu nkapiga kimyaaaa!
Mpka saiv hajanitext tena,
Vip wakuu,huyo nimjib au niendelee kupiga kimya?
SureAbsolutely...sifa za wapendanao hazipo hivyo
Akuuuu!!
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]The only way to get some one attention is to stop give them yours.