mwanazuoni mgeni
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 1,944
- 1,726
Acha kupotosha watu... wangap wanatoa hela but still wanagongewaNdio hapo sasa.
Wewe una hangaika wakati yupo ambae akintumia sms anajibu hapo hapo hazipiti hata dakika 2. Hutujui wanawake ndio nakuambia sasa, tujichoka watu basi tunaanza visa aiseee sitopokea simu yako mpaka ukome na uache wewe. Ila mtumie ela tu, atakuheshimu.