Waungwana naomba mnishtue usingizini, mapenzi haya

Waungwana naomba mnishtue usingizini, mapenzi haya

Ndio hapo sasa.
Wewe una hangaika wakati yupo ambae akintumia sms anajibu hapo hapo hazipiti hata dakika 2. Hutujui wanawake ndio nakuambia sasa, tujichoka watu basi tunaanza visa aiseee sitopokea simu yako mpaka ukome na uache wewe. Ila mtumie ela tu, atakuheshimu.
Acha kupotosha watu... wangap wanatoa hela but still wanagongewa
 
k



kama sala yako ndio kuomba kikombe hicho kikuepuke, na iwe hivyo ijapokuwa wengine tunaomba hivyo na bado hakituepuki!
Hahaah.Nguvu ya Papuchi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
 
Msingi mkubwa wa mahusiano ni mawasiliano tena kwa pande zote mbili..kukishakuwa na kutegeana bila sababu za msingi jua kuna tatizo sehemu..... Yani mtu anaku-ignore bila sababu ya maana?? Nao ni unyanyasaji kwa kweli[emoji18]
Unyanyasaji wa kijinsia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
Na haiwezi kuvumilika.
 
Wakuu hii kitu sio rahis kama mnavodhani...unampenda mtu afu yeye haonyeshi kukujali inauma sana

Me nimetoka kumpiga kibuti demu kama huyo asubuh ya leo haiwezekan natoka nae out (bar) afu hataki kukaa na mimi

anataka akae na rafik zake tu muda wote...pia nikimtumia msg anachelewa kujibu anaweza kukaa hata dakika 20 ndio akakujibu cha kushangaza hana kazi unayoweza sema inamuweka bize..me nimelivua pendo bwana hata kama moyo unashindwa kukubaliana na maamuz yangu..ipo siku haya maumivu yatakwisha tu
Pole Mzee, Sasa huyo Demu, unamtoa out hataki kukaa na wewe! Ina maanisha hajawa proud na wewe! Au hataki kukutambulisha kwa wenzake.
Duuh! Bora umempiga tu chini, wa nini sasa[emoji134]
 
Anasema "alikuwa mbali na simu"
Tena anasema "ona fulani na fulani wenyewe unaona walinipigia"

Nikiuliza mbona meseji hujajibu anasema "samahani nisamehe"

[emoji134] [emoji24]
Sasa ubaya uko wapi hapo kumbe hadi kajitetea na ushahidi anao.

Vitu vingine ni vidogo ila wewe kama wewe unaweza ukavifanya vikawa vikubwa.
 
Back
Top Bottom