Waungwana naomba mnishtue usingizini, mapenzi haya

Waungwana naomba mnishtue usingizini, mapenzi haya

Si, unalisifia goma la utete, koloni lako zuri. Mpake urimbo tu, mpe ela atanata hapo kwako milele.
Hahahaha, Not to that Extent.

Angekuwa anaonyesha kunijali hata kidogo angefurahi.

Sasa mfano meseji toka asubuhi hajajibu[emoji23] [emoji119] . Nalivua pendo, ingawa goma nalikubali, wacha nikafie mbele.
 
sio kwamba anaibiwa bali, huyo binti hampendi wala hana mpango naye...jamaa angu unajipendekeza tu hapo
Jamaa angu nimekubali.

Kujipendekeza nimeshtuka, nilikuwa usingizini.

Alinifunika kwa uzuri wake na umbo lake la kiMiss, na Ushombeshombe wake[emoji134] [emoji24] [emoji24]
 
Hata mm ilntokea iliniumza Sana tena wewe unapewa na pole mi hakuna chochte tena nlkua naumwa wanawake bhana
Hahahaha! Mkuu pole sana.

Ila pain ni pain tu, haijalishi na ""vipole"" vya kimbeya.

Pole zake ndo huwa zinazidisha maumivu, naona ni kama kejeli fulani hivi.[emoji134] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Jamaa angu nimekubali.

Kujipendekeza nimeshtuka, nilikuwa usingizini.

Alinifunika kwa uzuri wake na umbo lake la kiMiss, na Ushombeshombe wake[emoji134] [emoji24] [emoji24]
kama uliwahi kupiga, inatosha .........achana naye
 
Vipi pesa huwa unatoa? Au una kazi ya kupiga piga simu na kutuma tuma tu meseji?
 
Back
Top Bottom