Waungwana nateketea

Wanajua umerudiana na Ex wako, wanakuhurumia. Hawataki kukuharibia mahusiano yako.

Endeleeni na huyo huyo, akichoka kwako anarudi kwa yule jamaa analoweka, akichoka huko anakuja kwako kuloweka. Safi sana, mnapokezana vijiti shwaini nyie. Wanaume wa siku hizi wapuuzi sana
 
Kwenye kikao cha mwezi10 haukuwepo? Hudhuria vikao trh 18/12/024 tunakikao cha mwisho cha kufunga mwanga 2024 kinafanyikia geita nyakumbu chini ya mwembe.
 
Ogea maji ya bahari mixer magadi
 
πŸ˜‚ kaza tuma maombi mara nyingi
 
Mkuu unapotongoza usichague sana mkuu. Wewe lipuka kwa demu yeyote tuu utoe kwanza huo mkosi. Pia kwa mademu wa sasa usitongoze wewe mwambie tuu atachagua akubali au akatae ukitongoza atakutesa sana maana sahivi wanaume hatutongozi tena
 
Mkuu unapotongoza usichague sana mkuu. Wewe lipuka kwa demu yeyote tuu utoe kwanza huo mkosi. Pia kwa mademu wa sasa usitongoze wewe mwambie tuu atachagua akubali au akatae ukitongoza atakutesa sana maana sahivi wanaume hatutongozi tena
old trick, unakaza sana, sema kutoa ndo shida. kukubaliwa sio issue
 
Kwa uandishi huu napata picha kwanini wanakupiga chini.
 
Afadhar wewe mimi niliachwa nilichanganyikiwa nikataka nianzishe uzi nikaghair nikamfuata mwana jf humu akanisaidia mtu nikawasiliana nae nikarudiana nae,kero zimeanza sasa mimi ndo naanza kuchoka dadeq nataman nihame kimyakimya mtaa nikimmis nitamtafuta
 
Bro are you a simp?

Kwa sababu naona upo kwenye mahusiano na mtu ambaye anaweza kukucheat na akarudi muda wowote kwa sababu anajua you are weak.

Hivi mtu akicheat huwa mnaweza vipi kusamehe aisee? πŸ€”
 
tafuta Ngololo mwanetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…