Waungwana nateketea

Waungwana nateketea

hii kitu inanitesa mimi miezi kama 5 hivi. pisi kama 30 hivi zinachomoa. back then nilikuwa nikitupa imo, sijawai hustle hivi, ni kama nimelogwa .

nipo single hata siamini. na kunywa tu pombe. this weekend ninunue tu for the 1st time. nivunje hii curse. sijui mganga gani yupo mjini anawapa dawa hawa wanawake watufunge.

sio kawaida kuna dawa zipo mtaani.

wahuni tupeni solution??

Ie. hili swala hadi pesa aifanyi kazi. unaweza order malaya akawa period. ni hustle kubwa sana.
Hujalogwa Sema umeambukizwa nuksi Tena ukute mwanamke katoka na jamaa uchi bado hujakauka vizuri na wewe unapewa ukijua ameloana kwa sababu yako hapo hiyo nuksi kuitoa sio rahisi...
Safisha mwili tu utakuwa sawa.
Tafuta maji ya bahari ndoo Kisha ilaze nje ikiwa wazi asubuhi mapema ogea..
Kama upo mbali na bahari oga ndoo 40 yaani moja mpaka inafika 40 kila unapooga ndoo moja unaweka na chumvi mawe kidogo.
halafu ulete majibu hapa..
Sasa Dharau hii comment.
 
this is now a common problem. wanaume wengi sana wanapitia hii. kuna kitu akipo sawa.
Sema wavulana usiseme wanaume,

Mwanamke mmoja hawezi kuwachezea akili wanaume wawili wanaojielewa,

Mwanamke anakusaliti kisha unamuacha,halafu wewe uliyesalitiwa ndio unamuomba msamaha msaliti ili mrudiane! Sasa hiyo ni akili au wendawazimu tu?
 
sio gungu. maana mambo yako yataenda fresh sana. kila jambo lita tick ila wanawake wanakukataa tu.

omba sana lisikukute. now ni kama ugonjwa upo town hapa. wanawake wanawake wanaloga wasiachike.
Ndio umerogwa tena?
 
Hujalogwa Sema umeambukizwa nuksi Tena ukute mwanamke katoka na jamaa uchi bado hujakauka vizuri na wewe unapewa ukijua ameloana kwa sababu yako hapo hiyo nuksi kuitoa sio rahisi...
Safisha mwili tu utakuwa sawa.
Tafuta maji ya bahari ndoo Kisha ilaze nje ikiwa wazi asubuhi mapema ogea..
Kama upo mbali na bahari oga ndoo 40 yaani moja mpaka inafika 40 halafu ulete majibu hapa..
Sasa Dharau hii comment.
Hujalogwa Sema umeambukizwa nuksi Tena ukute mwanamke katoka na jamaa uchi bado hujakauka vizuri na wewe unapewa ukijua ameloana kwa sababu yako hapo hiyo nuksi kuitoa sio rahisi...
Safisha mwili tu utakuwa sawa.
Tafuta maji ya bahari ndoo Kisha ilaze nje ikiwa wazi asubuhi mapema ogea..
Kama upo mbali na bahari oga ndoo 40 yaani moja mpaka inafika 40 kila unapooga ndoo moja unaweka na chumvi mawe kidogo.
halafu ulete majibu hapa..
Sasa Dharau hii comment.
kesho it will be done. ila mambo yangu ya naenda fresh
 
Mzeya una gundu wanawake saba wote ngoma nagu 🤣🤣🤣🤣
Aloooh sii mchezo vipi hela unatoa lakini?
Kuna wakati inatokea mkuu, yaani kila unapogusa holla..
 
hii kitu inanitesa mimi miezi kama 5 hivi. pisi kama 30 hivi zinachomoa. back then nilikuwa nikitupa imo, sijawai hustle hivi, ni kama nimelogwa .

nipo single hata siamini. na kunywa tu pombe. this weekend ninunue tu for the 1st time. nivunje hii curse. sijui mganga gani yupo mjini anawapa dawa hawa wanawake watufunge.

sio kawaida kuna dawa zipo mtaani.

wahuni tupeni solution??

Ie. hili swala hadi pesa aifanyi kazi. unaweza order malaya akawa period. ni hustle kubwa sana.
Kwenye ma-ex uliowahi kuwa nao, kuna ambae ulimuacha vibaya kwa kashfa na dharau 🤔 Danielmwasi
 
Huyo kwanza
Habari wakuu!
Ipo hivi, nipo kwenye mahsiano na mwanamke aliyeachwa kwa kosa la usalit katika mahsiano yake ya mwanzo.
Alimsalit mtu wake akaja kwang, jamaa alipogundua akaachane nae. Jamaa anafamilia yake tang zaman kwahiyo alkuw na huyu mwanamke kama mchepuko wake lakin baad ya mwez kupita yule jamaa akaomb msamaha ila dem akamchomolea.

Baada ya kuishi nae kwa miez 6, huyu mwanamke akansalit akaend kwa jamaa ake huyu huyu ambay alimsalit akaj kwangu lakin hawakudum sana waliwasliana ndan ya wiki moja tu wakasitish mawaslian yao kwasabb kila mmoj hakuw na upend wa dhat na mwenzie kam ilivyokuwa mwanzo. Huyu mwanamke alinsalit baad ya kumkera kuna jambo nililfanya halkuw sawa kwa upande wake kwa hasira akaamua amtafute jamaa ajiliwaze.

Nilipogundua amenisaliti nkamuacha lakin zilipita cku tatu tu akaanz kuniomba msamaha, nkasamehe kwasabb nliwaza mim n chanzo cha kuachana kwao bila mim huend wangkuw pamoj had leo. NILICHOGUNDUA, huyu mwanamke ni mgumu kuanzsha mahsiano mapya kuliko kurud kwa EX maana ilinichkua miez 5 kumshawish awe na mimi, tena ni baad ya kugundua udhaifu wake ulipo.

Kiukwel huyu mwanamke sio mtu wa virungu icpokuw namzingatia mwenyew tu, hata ikitokea amekuja home anaweza kutumia pesa yake na akasepa kwa naul yake. Kwa kifup haomb pesa labda ujiongze mwenyew tu. Ni mfanykaz kazi sehem fulan......
tangu anisaliti nkapungza upendo na uaminifu kwake, nkawaza nitafute mwingne ili ikitokea tena nisiangaike nae.

SHIDA IMEANZIA HAPA; tangu niwe kwenye mahsiano na huyu mwanamke sijawah kukubaliwa na mwanamke yeyote, kila nikitongoza nakataliwa had kufkia leo nmetongoza wanawake 7 na wote wamenkataa.
X-MAS ipo karibu lakin hawajal kuhsu hilo, najiulza hii ipo sawa au kuna jambo halipo sawa.
Wanawake wote saba hakuna anaejua mahsiano yangu ya sasa...​
Anangoma huyo anakuonea huruma ww
 
pesa utoboi. gari utoboi, wanaakataa tu out of no where ana sema moyo wake aupo sawa 😂😂.

kuna mganga yupo town anatoa dawa sijui nani.
Hata mimi napitia situation kama yako, back then nlikuwa napata mademu kirahisi ila sahivi almost kila nkitongoza nakataliwa, nikiona kama nimekubaliwa kiss napata, ila demu hatoi papuchi au demu anaanza vizinga hata mzigo hajatoa, nafikiri yangu tofauti kidogo, nikikubaliwa nakubaliwa na kufatwa na mdada ambae kwakweli daah, ni mbovu kimuonekano kiasi cha kwamba siwezi sex nae au kumtambulisha kwa watu kama wife, though kufatwa na demu it happened only twice. Hivyo kuoa inaniwia vigumu.

Sijui sababu ya hii situation ni kununua malaya pia, Daniel chunguza kama ushawahi nunua wanaojiuza barabarani huenda ilikuwa chanzo cha tatizo lako Danielmwasi zerominus10 Tit4tat
 
Sijui sababu ya hii situation ni kununua malaya pia, Daniel chunguza kama ushawahi nunua wanaojiuza barabarani huenda ilikuwa chanzo cha tatizo lako
Hakuna ukweli hapo sio chanzo hicho akikwambia umpe 60 ndio umgonge km demu wako pia hapo amekuuzia kyuma
 
Hata mimi napitia situation kama yako, back then nlikuwa napata mademu kirahisi ila sahivi almost kila nkitongoza nakataliwa, nikiona kama nimekubaliwa kiss napata, ila demu hatoi papuchi au demu anaanza vizinga hata mzigo hajatoa, nafikiri yangu tofauti kidogo, nikikubaliwa nakubaliwa na kufatwa na mdada ambae kwakweli daah, ni mbovu kimuonekano kiasi cha kwamba siwezi sex nae au kumtambulisha kwa watu kama wife, though kufatwa na demu it happened only twice. Hivyo kuoa inaniwia vigumu.

Sijui sababu ya hii situation ni kununua malaya pia, Daniel chunguza kama ushawahi nunua wanaojiuza barabarani huenda ilikuwa chanzo cha tatizo lako Danielmwasi zerominus10 Tit4tat
kuna pisi hapo kaenda kwa mganga, mwanaume wake awe wake tu. sasa ana maex kama Mia. we are all affected.

2. mimi sijawai nunua in my life. ila this time hadi pesa zina goma. nyota hadi bar sionekani

3. mimi na pisi za mwaka jana hadi tena ni mbovu tu. na punguza siku moja moja. na zina watu wao,

wewe tupo wote chamani. hadi tupate solution. humu ndani kuna watu wana jua dawa
 
Back
Top Bottom