Waungwana..ndo hivi maisha ya ndoa ????

hao lazima ni vichaa...period
 
nimecheka kweli hapo uliposema unakata rufaa, mwehh.
 
mmmh ........dunia ya wenda wazimu hii!
 
Ready for honeymoon !!! after wed mass, no where to go !!!!
 
Sasa kwenye ndoa tu kaja bila nguo kwanini usimfunge kamba! Maanake akitoka tu peke yake wanaume wa shoka watajisevia tu.
 
hizo picha zilikuwa kwenye FFO wakubwa na zilikuwa zikionyesha tamaduni za ndoa mbali mbali kulingana na eneo hucka lakini c kwa mtazamo niuonao hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…