Huyu kaiga ktk makundi kama sio kuiga basi alikuwaga anakula kubel miaka hiyo lkn hata kubel wakat inapgwa maruku kuuzwa hapa nchini kwasababu ilikuwa inamaliza
wanfunzi ni 2005 hadi 2006 sasa alikuwa mdogo sana
7bu wote waliokuwa wanakula makubel ndo walihamia huku kwenye ugolo! Sasa kulikon yeye ndo maana nikasema huyu ni makundi hamna lolote
Masai wenyewe wanaweka puan na ndo waliotengeneza sasa wenyewe ndo wanajitia kuweka mdomon kama matamu why wanatema??
Jitahid kukaa naye chini maana hawez kuacha gafla maana haina tofauti na bangi au madawa ya kulevya na tumbo likianza kumuuma ataacha mwenyewe endapo atajua chanzo ni ugolo
ngoja wataalamu waje!!