chambimagaka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2017
- 288
- 338
- Thread starter
-
- #21
Sio yy! Super woman fake atakuja kutoa ya moyoni, au anaweza kukimbilia cybercrimeKumbe! Nilivyoona una share a.k.a na mtajwa, nikajua ndo yeye!
Hii quiz kwa vijana wanaojiandaa kwa ndoa, chagua jibu sahihi: Ukiwa na akiba ya pesa kiasi cha shilingi 200,000/- na Mkeo naye anazo shilingi 300,000/- jumla ktk familia yenu mtakuwa na shilingi ngapi?Wanawake wanatakiwa wajitafakari, wasiwe watu wakutoa cheche zao bila kutafakari! Huko n kujitafutia umaarufu usio Na kichwa wala miguu!,
She must learn how to live with her husband and society! Hakuna sababu ya kuanika mambo ndani public! Hiyo inajidhirisha kuwa huenda labda anapewa jeuri Na ......., but sio inshu! Hata km amepata mwingine, ana wajibu wa kumuheshimu mumewe!
Suppose, angekutana Na mume wa mwendokasi, nae aanze kutangaza weaknesses zake? Pangetosha APA? Au huyu mwananke (sio mwanamke) anatafuta kiki? Ameahidiwa jimbo?
Nimekwazika sana!
Huu ni unyanyasaji wa KINDOA!
lazima ulaaniwe Na kukomeshwa Mara moja!
Tuwafanyaje sasaKileo na Kiria ni darasa kwa wanandoa. Tusiwachukulie poa!
Tujifunze!Tuwafanyaje sasa
NiniTujifunze!
Jibu apo ni A, ila ukikuta umeoa mwanamke anayejitambua jibu litakuwa C!Hii quiz kwa vijana wanaojiandaa kwa ndoa, chagua jibu sahihi: Ukiwa na akiba ya pesa kiasi cha shilingi 200,000/- na Mkeo naye anazo shilingi 300,000/- jumla ktk familia yenu mtakuwa na shilingi ngapi?
A. 200,000/-
B. 300,000/-
C. 500,000/-
Nabii Tito mwingineAcheni kumshambulia Kiria, someni maandiko.
Biblia Takatifu katika kitabu cha Yoshua Bin Sira 25:22 inaasa vijana wajitambue na kujishughulisha. Katika mstari huo, imeandikwa: "Kuna utumwa mzito, na fedheha, iwapo mwanamke humlisha mumewe".
Msikimbilie kumlaumu huyo mwanamke mlaumuni huyo mumewe!
Vijana wa siku hizi wanapenda kutunzwa na wake zao jambo ambalo lina matokeo mabaya kwa kadri ya maandiko.Nini
200,000Hii quiz kwa vijana wanaojiandaa kwa ndoa, chagua jibu sahihi: Ukiwa na akiba ya pesa kiasi cha shilingi 200,000/- na Mkeo naye anazo shilingi 300,000/- jumla ktk familia yenu mtakuwa na shilingi ngapi?
A. 200,000/-
B. 300,000/-
C. 500,000/-
Nimecheka hadi nikapaliwa. Kama wewe ni ke chagua mwenyewe uwe mke au house girl wa nabii.Nabii Tito mwingine
Wewe unajitambua200,000
Acheni kumshambulia Kiria, someni maandiko.
Biblia Takatifu katika kitabu cha Yoshua Bin Sira 25:22 inaasa vijana wajitambue na kujishughulisha. Katika mstari huo, imeandikwa: "Kuna utumwa mzito, na fedheha, iwapo mwanamke humlisha mumewe".
Msikimbilie kumlaumu huyo mwanamke mlaumuni huyo mumewe!
Ukikataa mwanga vumilia adha za gizani. Kama haongozwi nayo basi avumilie kuambiwa Ukweli Mchungu hadharani.Nyinyi watu huwa mnashangaza sana, mnafikiri maisha ya kila mtu yaonaongozwa na hii novel ya kuitwa biblia?