Lol....Vijana wa siku hizi wanapenda kutunzwa na wake zao jambo ambalo lina matokeo mabaya kwa kadri ya maandiko.
"Ukikataa mwanga basi vumilia adha za giza"....Ukikataa mwanga vumilia adha za gizani. Kama haongozwi nayo basi avumilie kuambiwa Ukweli Mchungu hadharani.
Mungu akubarki,naona kwenu kunafanana na kwetu kabsa, mtoto wa kike nyumbani kwake kwa mumewe co kwa babake, unaporud kwa baba huna nafasi tena, kwanini akili isikukae kichwani?Eti mwanaharakati wa masuala ya wanawake,,,laana zingine mnajitafutia tu,,,Ndoa za wazazi wetu zilidumu miaka mingi na hao wanaharakati hawakuwepo,,mama zetu walipewa vipigo to the maximum,,akitoroka kurudi kwao nako alipokelewa kwa kipigo na kurudishwa kwa mmewe,, Sahivi wanawake wanaishi wanavyotaka,,ukimgusa kofi tu kesho yake yupo usitawi wa Jamii anataka mgawane mali. Hit and run ni dawa nzuri sana ya wanawake Wasiojitambua.
Gud pointEti mwanaharakati wa masuala ya wanawake,,,laana zingine mnajitafutia tu,,,Ndoa za wazazi wetu zilidumu miaka mingi na hao wanaharakati hawakuwepo,,mama zetu walipewa vipigo to the maximum,,akitoroka kurudi kwao nako alipokelewa kwa kipigo na kurudishwa kwa mmewe,, Sahivi wanawake wanaishi wanavyotaka,,ukimgusa kofi tu kesho yake yupo usitawi wa Jamii anataka mgawane mali. Hit and run ni dawa nzuri sana ya wanawake Wasiojitambua.
Ukiona hausi gelo anaimba sana ujue anakaribia kwenda kwao.mwanamke mshenzi kweli, uskute hzo pesa anapewa na mwanaume mwingne ndo kisa cha nyodo zote hzo
AHii quiz kwa vijana wanaojiandaa kwa ndoa, chagua jibu sahihi: Ukiwa na akiba ya pesa kiasi cha shilingi 200,000/- na Mkeo naye anazo shilingi 300,000/- jumla ktk familia yenu mtakuwa na shilingi ngapi?
A. 200,000/-
B. 300,000/-
C. 500,000/-
Ukikataa mwanga vumilia adha za gizani. Kama haongozwi nayo basi avumilie kuambiwa Ukweli Mchungu hadharani.
Na hii ndio maana halisi ya ndoa, nadhani utandawazi na mila za western zimeharibu mfumo mzuri wa ndoa tuliokua nao hapo mwanzoni. Siku hizi kinachofanyika Afrika ni copy n paste ya Ulaya. Bado kufikia level za kufunga ndoa za mikataba tu. Trust me ndoa za wanaojiita wanaharakati sijui watu wa haki sawa huwa hazidumu (Hakunaga Haki sawa hata Mungu akutuumba sawa)Eti mwanaharakati wa masuala ya wanawake,,,laana zingine mnajitafutia tu,,,Ndoa za wazazi wetu zilidumu miaka mingi na hao wanaharakati hawakuwepo,,mama zetu walipewa vipigo to the maximum,,akitoroka kurudi kwao nako alipokelewa kwa kipigo na kurudishwa kwa mmewe,, Sahivi wanawake wanaishi wanavyotaka,,ukimgusa kofi tu kesho yake yupo usitawi wa Jamii anataka mgawane mali. Hit and run ni dawa nzuri sana ya wanawake Wasiojitambua.
Hakuna hicho kitabu ndani ya Biblia takatifu labda za mtaaniBiblia Takatifu. Angalia kama biblia unayotumia imeandikwa hiyo title.
Huyu Kiria alifaa aolewe na Kapteni wa CloudsMimi namtetea J.Kiria, huyo Kilewo ni siyo alpha Male, hata nyie wote mlioandika huo ujumbe pia mko sawa na Kilewo wote ni Ma-beta male!
J.Kiria anafaa Mwanaume Alpha yaani Dume la Nyani linaloongoza kundi siyo crying babies kama nyie!
Hivyo hivyo J.Kiria waumbue na kuwaanika hawa wanaume suruari ma-beta!
Mwanaume wa kweli ni lazima Mwanamke atakupa full heshima na heshima haiombwi bali heshima huchumwa na kufanyiwa kazi, piga chini huyo jamaa akatumwe na Mbowe!
Kiria ana mfunza kazi Kilewo na ana mkumbusha kujitegemeaKiria amaichafua family kwa kulialia
Hahahaha demiss acha kutetea jinsia, tetea madaAcheni kumshambulia Joyce wakati upande wa pili wa mmewe amekuwa newbenten in town