Waungwana wamvaa Joyce Kiria

Waungwana wamvaa Joyce Kiria

Mtenda akitendwa. Teh teh teeeeh!!
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Eti mwanaharakati wa masuala ya wanawake,,,laana zingine mnajitafutia tu,,,Ndoa za wazazi wetu zilidumu miaka mingi na hao wanaharakati hawakuwepo,,mama zetu walipewa vipigo to the maximum,,akitoroka kurudi kwao nako alipokelewa kwa kipigo na kurudishwa kwa mmewe,, Sahivi wanawake wanaishi wanavyotaka,,ukimgusa kofi tu kesho yake yupo usitawi wa Jamii anataka mgawane mali. Hit and run ni dawa nzuri sana ya wanawake Wasiojitambua.
Mungu akubarki,naona kwenu kunafanana na kwetu kabsa, mtoto wa kike nyumbani kwake kwa mumewe co kwa babake, unaporud kwa baba huna nafasi tena, kwanini akili isikukae kichwani?
 
Eti mwanaharakati wa masuala ya wanawake,,,laana zingine mnajitafutia tu,,,Ndoa za wazazi wetu zilidumu miaka mingi na hao wanaharakati hawakuwepo,,mama zetu walipewa vipigo to the maximum,,akitoroka kurudi kwao nako alipokelewa kwa kipigo na kurudishwa kwa mmewe,, Sahivi wanawake wanaishi wanavyotaka,,ukimgusa kofi tu kesho yake yupo usitawi wa Jamii anataka mgawane mali. Hit and run ni dawa nzuri sana ya wanawake Wasiojitambua.
Gud point
 
Hii quiz kwa vijana wanaojiandaa kwa ndoa, chagua jibu sahihi: Ukiwa na akiba ya pesa kiasi cha shilingi 200,000/- na Mkeo naye anazo shilingi 300,000/- jumla ktk familia yenu mtakuwa na shilingi ngapi?
A. 200,000/-
B. 300,000/-
C. 500,000/-
A
 
Ukikataa mwanga vumilia adha za gizani. Kama haongozwi nayo basi avumilie kuambiwa Ukweli Mchungu hadharani.


Kinachonikera ni kuona watu walio gizani mnajiona mna ufahamu kumbe mko kama mbwa mnaongozwa na miluzi tu. Na watu wanaoufahamu ukweli wamenyanyama, and don't bother anybody. Religion is like penis, hide it for yourself and you don't have to show it to everybody.
 
Eti mwanaharakati wa masuala ya wanawake,,,laana zingine mnajitafutia tu,,,Ndoa za wazazi wetu zilidumu miaka mingi na hao wanaharakati hawakuwepo,,mama zetu walipewa vipigo to the maximum,,akitoroka kurudi kwao nako alipokelewa kwa kipigo na kurudishwa kwa mmewe,, Sahivi wanawake wanaishi wanavyotaka,,ukimgusa kofi tu kesho yake yupo usitawi wa Jamii anataka mgawane mali. Hit and run ni dawa nzuri sana ya wanawake Wasiojitambua.
Na hii ndio maana halisi ya ndoa, nadhani utandawazi na mila za western zimeharibu mfumo mzuri wa ndoa tuliokua nao hapo mwanzoni. Siku hizi kinachofanyika Afrika ni copy n paste ya Ulaya. Bado kufikia level za kufunga ndoa za mikataba tu. Trust me ndoa za wanaojiita wanaharakati sijui watu wa haki sawa huwa hazidumu (Hakunaga Haki sawa hata Mungu akutuumba sawa)
 
Kiria amaichafua family kwa kulialia mbona alikuwa housigel kileo kamuendeleza
 
H
Mimi namtetea J.Kiria, huyo Kilewo ni siyo alpha Male, hata nyie wote mlioandika huo ujumbe pia mko sawa na Kilewo wote ni Ma-beta male!

J.Kiria anafaa Mwanaume Alpha yaani Dume la Nyani linaloongoza kundi siyo crying babies kama nyie!

Hivyo hivyo J.Kiria waumbue na kuwaanika hawa wanaume suruari ma-beta!

Mwanaume wa kweli ni lazima Mwanamke atakupa full heshima na heshima haiombwi bali heshima huchumwa na kufanyiwa kazi, piga chini huyo jamaa akatumwe na Mbowe!
Huyu Kiria alifaa aolewe na Kapteni wa Clouds
 
Back
Top Bottom