Waungwana wamvaa Joyce Kiria

Waungwana wamvaa Joyce Kiria

Labda kanunuliwa na uvccm maana ni rahisi zaidi kumshawishi Mwanamke kuliko mwanaume


Siyo kila kitu ni CCM na chadema, jaribu kutumia akili japo hata kidogo. Haka kademu kwa nyie msiomjuwa ni fake at best....si vile mnavyomuona kwenye TV akijishebedua. Joyce like any other shangingi wa Dar ana mengi sana yasiyosemeka kwa sasa, tunamvumilia kidogo kwa sababu ndoa yake bado haijavunjika.....anyways, kwa kifupi ana tabia ya kurithi ya kichagga.....nafikiri mnanielewa. Usikute hizo hela anazomringia kumlisha mumewe zinamuuma kwa sababu anapewa na mwanamme mwingine haoni sababu ya kushare na mumewe wa ndoa bali wa nje tu.
 
Biblia gani unayo refer hapa? Kitabu cha Joshua kina sura 24 basi!!!
Kitabu cha Yoshua Bin Sira ni miongoni mwa vitabu vya hekima. Hiki ni tofauti na kitabu cha Yoshua ambacho kiko kundi la vitabu vya historia. Kitabu cha Yoshua Bin Sira unaweza kukipata kwenye biblia ya kikatoliki au za kiprotestant zenye nyongeza ya vitabu vya deutrokanoni.
 
HUU UJUMBE UMFIKIE SUPER FAKE WOMEN (JOYCE KIRIA)

Kwanza kabisa, nianze kwa kusema, kwamba, kwasababu mambo haya ameyaleta (joyce) kwenye mitandao ya kijamii, (public platform) na kwa makusudi kabisa, ili jamii nzima ipate fursa ya kujua yanayo endelea kwenye ndoa ya huyu mwanamke, basi ni haki yetu pia kutoa maoni juu yake na kwa ajili ya wengine.

Lakini kwa leo, nina haya machache sana, kwa huyu mwanamke. Nieleweke kwamba, nimeamua kumuita mwananke na si mke, kutokana na haya yanayo endelea.

Mwanamke Joyce Kiria...

1. Umeutangazia umma, kwamba, mume wako hana kazi, (jobless). Japo ndoa si kazi, yaani ndoa ni kitu huru nje ya jambo lolote lile.

2. Umeutangazia umma, kwamba, mume wako amekupiga mpaka umevilia damu, japo taswira yako haiwezi kuthibitisha hilo.

3. Umeutangazia umma kwamba, wewe ndio unaelipia kodi ya nyumba, kwamba ni dhambi kufanya hivyo kwa mawazo yako.

4. Umeutangazia umma kwamba, ameshindwa kulea familia(wewe na watoto wenu) na kwamba, umekuwa ukiwalea watoto peke yako.

5. Umeutangazia umma kwamba, umeamua kumtangaza, kumchafua na kumdhalilisha mumeo, kupitia mitandao ya kijamii.

6. Umeutangazia umma kwamba, wewe huwezi kutunza siri za watu wengine, na haswa wanawake wanao kuzunguka, kwasababu kama huwezi kutunza siri za mumeo, utawezaje kutunza siri za wanawake wengine? Wanao fuata ushauri wako?

7. Umeutangazia umma kwamba, mwanamke wewe una mdomo kama wa kasuku, huna staha, heshima, adabu, unaona fahari kuivua nguo familia yako mwenyewe, kwasababu ya tamaa zako mwenyewe.

8. Unautangazia umma kwamba, mwanamke wewe unataka kumuongoza mumeo, na mumeo ndio awe mwanamke. Kinyume kabisa na mpango wa Mungu katika ndoa. Unataka jamii ikusaidie kufunda mumeo aongozwe na kutawaliwa na wewe.

Lakini, mwanamke wewe, hujawai kusema hadharani, japo jambo jema walau moja hadharani, wakati mna watoto kadhaa hadi sasa. Kwamba inawezekana tangu mmeoana mpaka leo mna watoto kadhaa, hakuna jambo jema japo moja la mumeo alilowai kukufanyia? Haiwezekani. Utakuwa una tatizo kubwa sana. Unapata wapi ujasiri huu wa kishetani, kuona mabaya tu, na mmeishi miaka yoote hii.

Umeamua kuutangazia umma kwamba, unamchukia mumeo sana. Kama ungelikuwa unampenda mumeo, usingeweza kumtangaza hadharani namna hii. Kama ambavyo yeye hajawai kusema maovu yako hadharani

Mwanamke wewe, katika yoote hayo bado, sijamsikia kabisa mumeo, akisema kitu chochote kile kibaya dhidi yako, japo jambo hili la kumdhalilisha mumeo mbele za umma ukilifanya zaidi ya mara moja sasa.

Mwanamke wewe, wakati unaandika kwenye mitandao mambo ya chumbani kwako, ulifikili huku nje, kuna wanawake wapumbavu kama wewe kwamba, watakuunga mkono na kukusifu kwenye upumbavu wako.

Ulifikili huku nje kuna wanaume wajinga kwamba, wangelikuonea huruma kwenye upumbavu wako.

Mwanamke wewe, umemkosea Mungu, umewakosea wazazi wako na wa mume wako, umeikosea jamii ya Tanzania, umewakosea wanawake ambao umekuwa ukijifanya kuwafunda katika mambo mbalimbali. Umekosea sana, ulicho kipata, ni fedheha kubwa juu yako mwenyewe.

Mwanamke wewe, ulijua unamdhalilisha mumeo, lkn kinyume chake, umemjengea heshima kubwa mbele za umma, huku wana jamii tukisononeka sana jinsi mumeo alivyo pata shetani ndani ya maisha yake.

Joyce kiria, ninakukumbusha maneno haya machache sana, yatafakari katika maisha yako, huenda yakakusaidia.

1. Ndoa ni ya watu wawili tu. Hakuna baba, mama, shangazi, mjomba au mwingine yoyote.

2. Mwanamke mpumbavu (sio mwanaume) huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe. Mdomo wako unakuponza.

3. Ndoa iheshimiwe na watu woote. Ukiwemo wewe mwenyewe. Kama huwezi kuiheshimu ndoa yako mwenyewe, sisi wengine tutaiheshimuje? Si unaona ninavyo kushughulikia!!

4. Ndoa ni upendo, na upendo huvumilia, hauhesabu mabaya, hautakabari, hauoni uchungu, huchukuliana na yoote. Kwasababu hii, unaitaji kutubu mbele za Mumeo na mbele za mwanzilishi wa ndoa mwenyewe. Mungu alie hai. Huwezi kufanikiwa tena kama hujarekebisha na mumeo.

5. Chukua nafasi yako kama mwanamke kwenye ndoa yako. Chochote kile kisikufanye ujione umestahili kuwa kiongozi wa mumeo. Huna haki ya kuwa kiongozi wa mumeo kwasababu alieanzisha ndoa alisha andika hivyo.

6. Jifunze kwa wazazi wako na watu waliofanikiwa sana katika ndoa zao. Kwanini wao wameweza kudumu katika ndoa zao, unaweza kuiponya ndoa yako.

Leo niishie hapa...ukiwa hujaoa au kuolewa, unaweza usinielewe mapema, basi nakusihi uwe mpole tu. Ukiwa umezoea kuchukua waume za watu, ukahaba, huwezi kufuraishwa na ujumbe huu, nawe nakusihi pita tuu, hapa tunashughulika na super woman fake.

Am Out
Nahisi atakuwa amekuelewa ila binafsi kanikera sana huyu mwanamke
 
Acheni kumshambulia Kiria, someni maandiko.
Biblia Takatifu katika kitabu cha Yoshua Bin Sira 25:22 inaasa vijana wajitambue na kujishughulisha. Katika mstari huo, imeandikwa: "Kuna utumwa mzito, na fedheha, iwapo mwanamke humlisha mumewe".
Msikimbilie kumlaumu huyo mwanamke mlaumuni huyo mumewe!
Soma mithali 31mstari wa kwanza na kuendelea
 
Joyce hajafanya sawa kitangaza. Ila kiukweli hajamjengea Kilewo heshima yoyote atunze familia aache uvivu na kuvaa ngwanda tu
 
Biblia haisomwi kwa kamstari kamoja ulikokanukuu. Huyu bint kamkosea heshima mumewe na familia yake. Hata kama alikua anamlisha mumewe hakupaswa kumtangaza Acha kushabikia utoto na upuuzi wa huyu bint.
Je kupigwa kwake ni sahihi?
 
Nyinyi watu huwa mnashangaza sana, mnafikiri maisha ya kila mtu yaonaongozwa na hii novel ya kuitwa biblia?
Hapa anaongelewa kiria joyce, na kilewo ndoa yao ilibarikiwa kupitia biblia
 
yooooooote hayo yanatokana na neno Kweli Pesa Mwanaharamu
 
Huyu Joyce ni moja ya wanawake wapumbafu kabisa kuwahi kutokea kwenye uso wa dunia
 
Hapa anaongelewa kiria joyce, na kilewo ndoa yao ilibarikiwa kupitia biblia


Kama ndoa iliyobarikiwa na biblia inakuwa hivi, basi biblia haina faida yoyote.
 
Kama ndoa iliyobarikiwa na biblia inakuwa hivi, basi biblia haina faida yoyote.
Ndio maana wenye kusoma biblia wanawasaidia kujua maandiko ili wajue waliposimamia ni wapi
 
Sikutegemea kama ange fanya hivyo, sio vzr kwakwel tujifunze jinsi ya ku handle matatizo ya Ndoa zetu jaman. Sio poa ujue lile picha noma mzaz
 
mpumbavu hajui hekima hata akionyeshwa na Suleimani.
 
Acheni kumshambulia Kiria, someni maandiko.
Biblia Takatifu katika kitabu cha Yoshua Bin Sira 25:22 inaasa vijana wajitambue na kujishughulisha. Katika mstari huo, imeandikwa: "Kuna utumwa mzito, na fedheha, iwapo mwanamke humlisha mumewe".
Msikimbilie kumlaumu huyo mwanamke mlaumuni huyo mumewe!
Hakupaswa kuyatoa nje ndicho lawama yake kwa wapenzi wake kuwa ya ndani ni ya ndani kamdharirisha mumewe
 
Hii quiz kwa vijana wanaojiandaa kwa ndoa, chagua jibu sahihi: Ukiwa na akiba ya pesa kiasi cha shilingi 200,000/- na Mkeo naye anazo shilingi 300,000/- jumla ktk familia yenu mtakuwa na shilingi ngapi?
A. 200,000/-
B. 300,000/-
C. 500,000/-
200000 wewe na mkeo 300000 kila mtu ni zake
 
#WANAWAKELIVETZ tumeandaa program ya Kufundisha ujasiriamali, DARASA hili la UJASIRIAMALI litatolewa bure kabisa, mtaweza kujifunza

  • Ufugaji, kilimo na biashara.
  • Utengenezaji wa sabuni ya mche.
  • Utengenezaji wa sabuni ya maji ya kuogea, kufulia na chooni
  • UTENGENEZAJI WA BATIKI
DARASA hilo litatolewa na walimu wenye ujuzi wa kutengeneza bidhaa zenye ubora wa hali ya juu. WOTE MNAKARIBISHA SANA.

DARASA ilo litafanyika Dar-es-salaam Tegeta, Nyuki {ukitokea sehemu yoyote ya Dar-es-salaam panda magari yanayoenda Tegeta, Nyuki kisha shuka mwisho wa gari. Harafu utapiga simu 0783137777 ili upewe maelekezo ya kufika.

KWA MAWASILIANO PIGA 0783137777
Umeusikia ushauri wa mtoa post lkn? Kabla hatujawaruhusu wake zet waje kwenye hilo darasa maana tusije tukawaruhusu halafu wawe kama wewe tutawanyoosha kwa kweli..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom