chambimagaka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2017
- 288
- 338
HUU UJUMBE UMFIKIE SUPER FAKE WOMEN (JOYCE KIRIA)
Kwanza kabisa, nianze kwa kusema, kwamba, kwasababu mambo haya ameyaleta (joyce) kwenye mitandao ya kijamii, (public platform) na kwa makusudi kabisa, ili jamii nzima ipate fursa ya kujua yanayo endelea kwenye ndoa ya huyu mwanamke, basi ni haki yetu pia kutoa maoni juu yake na kwa ajili ya wengine.
Lakini kwa leo, nina haya machache sana, kwa huyu mwanamke. Nieleweke kwamba, nimeamua kumuita mwananke na si mke, kutokana na haya yanayo endelea.
Mwanamke Joyce Kiria...
1. Umeutangazia umma, kwamba, mume wako hana kazi, (jobless). Japo ndoa si kazi, yaani ndoa ni kitu huru nje ya jambo lolote lile.
2. Umeutangazia umma, kwamba, mume wako amekupiga mpaka umevilia damu, japo taswira yako haiwezi kuthibitisha hilo.
3. Umeutangazia umma kwamba, wewe ndio unaelipia kodi ya nyumba, kwamba ni dhambi kufanya hivyo kwa mawazo yako.
4. Umeutangazia umma kwamba, ameshindwa kulea familia(wewe na watoto wenu) na kwamba, umekuwa ukiwalea watoto peke yako.
5. Umeutangazia umma kwamba, umeamua kumtangaza, kumchafua na kumdhalilisha mumeo, kupitia mitandao ya kijamii.
6. Umeutangazia umma kwamba, wewe huwezi kutunza siri za watu wengine, na haswa wanawake wanao kuzunguka, kwasababu kama huwezi kutunza siri za mumeo, utawezaje kutunza siri za wanawake wengine? Wanao fuata ushauri wako?
7. Umeutangazia umma kwamba, mwanamke wewe una mdomo kama wa kasuku, huna staha, heshima, adabu, unaona fahari kuivua nguo familia yako mwenyewe, kwasababu ya tamaa zako mwenyewe.
8. Unautangazia umma kwamba, mwanamke wewe unataka kumuongoza mumeo, na mumeo ndio awe mwanamke. Kinyume kabisa na mpango wa Mungu katika ndoa. Unataka jamii ikusaidie kufunda mumeo aongozwe na kutawaliwa na wewe.
Lakini, mwanamke wewe, hujawai kusema hadharani, japo jambo jema walau moja hadharani, wakati mna watoto kadhaa hadi sasa. Kwamba inawezekana tangu mmeoana mpaka leo mna watoto kadhaa, hakuna jambo jema japo moja la mumeo alilowai kukufanyia? Haiwezekani. Utakuwa una tatizo kubwa sana. Unapata wapi ujasiri huu wa kishetani, kuona mabaya tu, na mmeishi miaka yoote hii.
Umeamua kuutangazia umma kwamba, unamchukia mumeo sana. Kama ungelikuwa unampenda mumeo, usingeweza kumtangaza hadharani namna hii. Kama ambavyo yeye hajawai kusema maovu yako hadharani
Mwanamke wewe, katika yoote hayo bado, sijamsikia kabisa mumeo, akisema kitu chochote kile kibaya dhidi yako, japo jambo hili la kumdhalilisha mumeo mbele za umma ukilifanya zaidi ya mara moja sasa.
Mwanamke wewe, wakati unaandika kwenye mitandao mambo ya chumbani kwako, ulifikili huku nje, kuna wanawake wapumbavu kama wewe kwamba, watakuunga mkono na kukusifu kwenye upumbavu wako.
Ulifikili huku nje kuna wanaume wajinga kwamba, wangelikuonea huruma kwenye upumbavu wako.
Mwanamke wewe, umemkosea Mungu, umewakosea wazazi wako na wa mume wako, umeikosea jamii ya Tanzania, umewakosea wanawake ambao umekuwa ukijifanya kuwafunda katika mambo mbalimbali. Umekosea sana, ulicho kipata, ni fedheha kubwa juu yako mwenyewe.
Mwanamke wewe, ulijua unamdhalilisha mumeo, lkn kinyume chake, umemjengea heshima kubwa mbele za umma, huku wana jamii tukisononeka sana jinsi mumeo alivyo pata shetani ndani ya maisha yake.
Joyce kiria, ninakukumbusha maneno haya machache sana, yatafakari katika maisha yako, huenda yakakusaidia.
1. Ndoa ni ya watu wawili tu. Hakuna baba, mama, shangazi, mjomba au mwingine yoyote.
2. Mwanamke mpumbavu (sio mwanaume) huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe. Mdomo wako unakuponza.
3. Ndoa iheshimiwe na watu woote. Ukiwemo wewe mwenyewe. Kama huwezi kuiheshimu ndoa yako mwenyewe, sisi wengine tutaiheshimuje? Si unaona ninavyo kushughulikia!!
4. Ndoa ni upendo, na upendo huvumilia, hauhesabu mabaya, hautakabari, hauoni uchungu, huchukuliana na yoote. Kwasababu hii, unaitaji kutubu mbele za Mumeo na mbele za mwanzilishi wa ndoa mwenyewe. Mungu alie hai. Huwezi kufanikiwa tena kama hujarekebisha na mumeo.
5. Chukua nafasi yako kama mwanamke kwenye ndoa yako. Chochote kile kisikufanye ujione umestahili kuwa kiongozi wa mumeo. Huna haki ya kuwa kiongozi wa mumeo kwasababu alieanzisha ndoa alisha andika hivyo.
6. Jifunze kwa wazazi wako na watu waliofanikiwa sana katika ndoa zao. Kwanini wao wameweza kudumu katika ndoa zao, unaweza kuiponya ndoa yako.
Leo niishie hapa...ukiwa hujaoa au kuolewa, unaweza usinielewe mapema, basi nakusihi uwe mpole tu. Ukiwa umezoea kuchukua waume za watu, ukahaba, huwezi kufuraishwa na ujumbe huu, nawe nakusihi pita tuu, hapa tunashughulika na super woman fake.
Am Out
Kwanza kabisa, nianze kwa kusema, kwamba, kwasababu mambo haya ameyaleta (joyce) kwenye mitandao ya kijamii, (public platform) na kwa makusudi kabisa, ili jamii nzima ipate fursa ya kujua yanayo endelea kwenye ndoa ya huyu mwanamke, basi ni haki yetu pia kutoa maoni juu yake na kwa ajili ya wengine.
Lakini kwa leo, nina haya machache sana, kwa huyu mwanamke. Nieleweke kwamba, nimeamua kumuita mwananke na si mke, kutokana na haya yanayo endelea.
Mwanamke Joyce Kiria...
1. Umeutangazia umma, kwamba, mume wako hana kazi, (jobless). Japo ndoa si kazi, yaani ndoa ni kitu huru nje ya jambo lolote lile.
2. Umeutangazia umma, kwamba, mume wako amekupiga mpaka umevilia damu, japo taswira yako haiwezi kuthibitisha hilo.
3. Umeutangazia umma kwamba, wewe ndio unaelipia kodi ya nyumba, kwamba ni dhambi kufanya hivyo kwa mawazo yako.
4. Umeutangazia umma kwamba, ameshindwa kulea familia(wewe na watoto wenu) na kwamba, umekuwa ukiwalea watoto peke yako.
5. Umeutangazia umma kwamba, umeamua kumtangaza, kumchafua na kumdhalilisha mumeo, kupitia mitandao ya kijamii.
6. Umeutangazia umma kwamba, wewe huwezi kutunza siri za watu wengine, na haswa wanawake wanao kuzunguka, kwasababu kama huwezi kutunza siri za mumeo, utawezaje kutunza siri za wanawake wengine? Wanao fuata ushauri wako?
7. Umeutangazia umma kwamba, mwanamke wewe una mdomo kama wa kasuku, huna staha, heshima, adabu, unaona fahari kuivua nguo familia yako mwenyewe, kwasababu ya tamaa zako mwenyewe.
8. Unautangazia umma kwamba, mwanamke wewe unataka kumuongoza mumeo, na mumeo ndio awe mwanamke. Kinyume kabisa na mpango wa Mungu katika ndoa. Unataka jamii ikusaidie kufunda mumeo aongozwe na kutawaliwa na wewe.
Lakini, mwanamke wewe, hujawai kusema hadharani, japo jambo jema walau moja hadharani, wakati mna watoto kadhaa hadi sasa. Kwamba inawezekana tangu mmeoana mpaka leo mna watoto kadhaa, hakuna jambo jema japo moja la mumeo alilowai kukufanyia? Haiwezekani. Utakuwa una tatizo kubwa sana. Unapata wapi ujasiri huu wa kishetani, kuona mabaya tu, na mmeishi miaka yoote hii.
Umeamua kuutangazia umma kwamba, unamchukia mumeo sana. Kama ungelikuwa unampenda mumeo, usingeweza kumtangaza hadharani namna hii. Kama ambavyo yeye hajawai kusema maovu yako hadharani
Mwanamke wewe, katika yoote hayo bado, sijamsikia kabisa mumeo, akisema kitu chochote kile kibaya dhidi yako, japo jambo hili la kumdhalilisha mumeo mbele za umma ukilifanya zaidi ya mara moja sasa.
Mwanamke wewe, wakati unaandika kwenye mitandao mambo ya chumbani kwako, ulifikili huku nje, kuna wanawake wapumbavu kama wewe kwamba, watakuunga mkono na kukusifu kwenye upumbavu wako.
Ulifikili huku nje kuna wanaume wajinga kwamba, wangelikuonea huruma kwenye upumbavu wako.
Mwanamke wewe, umemkosea Mungu, umewakosea wazazi wako na wa mume wako, umeikosea jamii ya Tanzania, umewakosea wanawake ambao umekuwa ukijifanya kuwafunda katika mambo mbalimbali. Umekosea sana, ulicho kipata, ni fedheha kubwa juu yako mwenyewe.
Mwanamke wewe, ulijua unamdhalilisha mumeo, lkn kinyume chake, umemjengea heshima kubwa mbele za umma, huku wana jamii tukisononeka sana jinsi mumeo alivyo pata shetani ndani ya maisha yake.
Joyce kiria, ninakukumbusha maneno haya machache sana, yatafakari katika maisha yako, huenda yakakusaidia.
1. Ndoa ni ya watu wawili tu. Hakuna baba, mama, shangazi, mjomba au mwingine yoyote.
2. Mwanamke mpumbavu (sio mwanaume) huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe. Mdomo wako unakuponza.
3. Ndoa iheshimiwe na watu woote. Ukiwemo wewe mwenyewe. Kama huwezi kuiheshimu ndoa yako mwenyewe, sisi wengine tutaiheshimuje? Si unaona ninavyo kushughulikia!!
4. Ndoa ni upendo, na upendo huvumilia, hauhesabu mabaya, hautakabari, hauoni uchungu, huchukuliana na yoote. Kwasababu hii, unaitaji kutubu mbele za Mumeo na mbele za mwanzilishi wa ndoa mwenyewe. Mungu alie hai. Huwezi kufanikiwa tena kama hujarekebisha na mumeo.
5. Chukua nafasi yako kama mwanamke kwenye ndoa yako. Chochote kile kisikufanye ujione umestahili kuwa kiongozi wa mumeo. Huna haki ya kuwa kiongozi wa mumeo kwasababu alieanzisha ndoa alisha andika hivyo.
6. Jifunze kwa wazazi wako na watu waliofanikiwa sana katika ndoa zao. Kwanini wao wameweza kudumu katika ndoa zao, unaweza kuiponya ndoa yako.
Leo niishie hapa...ukiwa hujaoa au kuolewa, unaweza usinielewe mapema, basi nakusihi uwe mpole tu. Ukiwa umezoea kuchukua waume za watu, ukahaba, huwezi kufuraishwa na ujumbe huu, nawe nakusihi pita tuu, hapa tunashughulika na super woman fake.
Am Out