Wauza kahawa wa Dar na maeneo mengine

Wauza kahawa wa Dar na maeneo mengine

julaibibi

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2020
Posts
3,081
Reaction score
4,224
Kwa muda wa miaka zaidi ya 1000 kinywaji cha kahawa kimendelea kushika chat kwa kunywewa duniani

Wauza kahawa wa vijiweni sasa wameanza kukimbia gharama ya unga wa buni. Kwa sasa kuna mambegu fulani yanaitwa maharo au maharage nayo yana uchungu ila harufu yake mbaya.

Wanachokifanya hawa wauza kahawa wanaua afya za watu yale mbegu ni sumu kwa vile buni wanaona ghali wana switch kwenye mambegu, TBS wajue hili.

Sasa grano coffee tutaweza kweli? ingawa pale utapata kitu konki. Alert for all coffee lovers na ukiona nchi haina wanywa kahawa weng ujue bado ni underdeveloped maana starbuck ndio kampuni kubwa dunian ya matajiri na matajiri wote wakina Musk asubhi wanaanza na ma expresso capucino sio chai wala soda kama nchi maskinI
 
Instant coffee ni za kimasikini.
of course instant ni ya kimaskin. sabab ukichkua roasted tu mfuko wa 500gm ni 30k. double filter. faida za kiafya za kahawa ni kubwa mno. for ignorance most Tanzanian sees coffee as special kwa wazungu.
 
Kwani tbs wanahusika na ubora wa vinywaji vya vinywaji
 
Aisee ile kahawa inayotengenezwa kwenye viosk kule kwa wazungu ni chungu balaa utafikiri wanaweka kwinini. Sema ile hali ya hewa ya ubaridi inawafanya wazungu wapendelee kunywa kahawa zaidi kuliko watu tunaokaa nchi za joto.
 
Aisee ile kahawa inayotengenezwa kwenye viosk kule kwa wazungu ni chungu balaa utafikiri wanaweka kwinini. Sema ile hali ya hewa ya ubaridi inawafanya wazungu wapendelee kunywa kahawa zaidi kuliko watu tunaokaa nchi za joto.
sijakataa zile ni espresso.kammq unapenda light unaomba cappuccino au latte.
nachosema wauza kahawa za vibirika Tanzania kwa sasa ni janga. wameachq kuchemsha buni kwa kuogopa bei mana sokon sasa buni kwa mujibu wa upelelez wang kg 1 ni sh 11500. sasa wanachofanya wananunua yale maunga ya mambengu ya maharo ambayo nayo ni machungu ila yana harufu kama dawa ya kienyeji. kwa expert wa kahawa harufu ya kahawa inasafir masafa marefu . nataka tbs wazuie yale mambegu
 
sijakataa zile ni espresso.kammq unapenda light unaomba cappuccino au latte.
nachosema wauza kahawa za vibirika Tanzania kwa sasa ni janga. wameachq kuchemsha buni kwa kuogopa bei mana sokon sasa buni kwa mujibu wa upelelez wang kg 1 ni sh 11500. sasa wanachofanya wananunua yale maunga ya mambengu ya maharo ambayo nayo ni machungu ila yana harufu kama dawa ya kienyeji. kwa expert wa kahawa harufu ya kahawa inasafir masafa marefu . nataka tbs wazuie yale mambegu
Uchakachuaji upo juu sana kwa Dar, ndo maana inatakiwa kuwa makini sana unaponunua mahitaji.
 
Kwanza jinsi wanavyoosha vile vikombe vya kahawa stimu yote huwa inakata lazima nijikute Caffe Cafe na mabei yao lakini heri kuwa salama zaidi.
 
Ni wachafu, maskini wa uswahili na masokoni wanakula uchafu sana kwakweli.
 
sijakataa zile ni espresso.kammq unapenda light unaomba cappuccino au latte.
nachosema wauza kahawa za vibirika Tanzania kwa sasa ni janga. wameachq kuchemsha buni kwa kuogopa bei mana sokon sasa buni kwa mujibu wa upelelez wang kg 1 ni sh 11500. sasa wanachofanya wananunua yale maunga ya mambengu ya maharo ambayo nayo ni machungu ila yana harufu kama dawa ya kienyeji. kwa expert wa kahawa harufu ya kahawa inasafir masafa marefu . nataka tbs wazuie yale mambegu
ukinywa ya maharage hupati ile stim ya caffein af kooni inakereketa balaa😂😂 kuna mbwa kijiwe cha karume anatupikia maharage
 
Back
Top Bottom