Sauti ya amani
Member
- Jul 19, 2022
- 64
- 89
Hapo ulichoona ni final tu huko nyuma tangu kuvuliwa, kusafishwa, maji yaliyotumika, vyombo vilivyotumika, sehemu zilipohifadhiwa, mafuta yaliyotumika ni majanga tupuWauza magenge hasa wauza dagaa kuna kero huwa mnanipa sijui ndiyo mnawahi muda au ubize. Kitendo cha kupima dagaa au samaki waliokaangwa kwa mkono ambao haujavaa chochote au haujatumia kitu chochote kupima hizo dagaa kweli imekuwa ni kero na imefanya kugombana na wauzaji wengi.
Ushauri wangu kwa ambao mnafanya hivyo muache, maana hatujui kabla ya kupima hizo dagaa mkono wako ulishika nini. Pia nimeonesha wanaovaa vitu vya kushikia. View attachment 2370255View attachment 2370256
JF ina kila aina ya watu boss....kama unahisi tofauti hauko sahihi.Wauza magenge utawakuta huku jf?
Tupo ndio kwani jf unaiona kma nini yanWauza magenge utawakuta huku jf?
Ni kweli mkuu,hizo protocol ni za kwenye Mall/Supermarket.unajali kuhusu mkono ilihali hao dagaa ako wazi na wanang'ong'wa na ma-inzi ?
navyojua ukiwanunua , ni kuwapasha kabla kula
kufata protokalo za ki-hygiene eneo la uswazi sahau
AedesNi kweli mkuu,hizo protocol ni za kwenye Mall/Supermarket.
Uswazi kuna mambo mengi sana hilo la kushika na mkono ni jambo dogo mno ukilinganisha na mambo mengine kwa mfano mazingira anakokaanga hao samaki hujui pakoje,vyombo anavyotumia hujui vikoje.
Sina hamu na hao dagaa wa maji chumvi..kuna siku nilikua geto nikawa na hamu na dagaa sana..nikaenda nikanunu kama fungu mbili hivi nile na dona yangu na mtindi.Wauza magenge hasa wauza dagaa kuna kero huwa mnanipa sijui ndiyo mnawahi muda au ubize. Kitendo cha kupima dagaa au samaki waliokaangwa kwa mkono ambao haujavaa chochote au haujatumia kitu chochote kupima hizo dagaa kweli imekuwa ni kero na imefanya kugombana na wauzaji wengi.
Ushauri wangu kwa ambao mnafanya hivyo muache, maana hatujui kabla ya kupima hizo dagaa mkono wako ulishika nini. Pia nimeonesha wanaovaa vitu vya kushikia. View attachment 2370255View attachment 2370256
Hhahaha nimecheka, anaona kama nini kwa mfanooo ila watu wengne mpo kufanya dunia iwe nzuri kwa kuchekesha...kudosTupo ndio kwani jf unaiona kma nini yan
TupoWauza magenge utawakuta huku jf?
Tafakari shida zako. usisingizie dagaa.Sina hamu na hao dagaa wa maji chumvi..kuna siku nilikua geto nikawa na hamu na dagaa sana..nikaenda nikanunu kama fungu mbili hivi nile na dona yangu na mtindi.
Nimewaanda vzr rosti tia ndimu za kutosha..nikala na ugali huku nashushia na mtindi..ile na maliza tu daah nilianza kujihisi kichefuchefu balaa..acha nitapike daah sitasahau siku hiyo..hao dagaa nmewachukia kweli toka siku hiyo sijui walikua na shida gani.
Bora ni nunu dagaa wa mwanza.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kwa mchanganyiko huu utaachaje kutapika[emoji23]Sina hamu na hao dagaa wa maji chumvi..kuna siku nilikua geto nikawa na hamu na dagaa sana..nikaenda nikanunu kama fungu mbili hivi nile na dona yangu na mtindi.
Nimewaanda vzr rosti tia ndimu za kutosha..nikala na ugali huku nashushia na mtindi..ile na maliza tu daah nilianza kujihisi kichefuchefu balaa..acha nitapike daah sitasahau siku hiyo..hao dagaa nmewachukia kweli toka siku hiyo sijui walikua na shida gani.
Bora ni nunu dagaa wa mwanza.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app