Sauti ya amani
Member
- Jul 19, 2022
- 64
- 89
Wauza magenge hasa wauza dagaa kuna kero huwa mnanipa sijui ndiyo mnawahi muda au ubize. Kitendo cha kupima dagaa au samaki waliokaangwa kwa mkono ambao haujavaa chochote au haujatumia kitu chochote kupima hizo dagaa kweli imekuwa ni kero na imefanya kugombana na wauzaji wengi.
Ushauri wangu kwa ambao mnafanya hivyo muache, maana hatujui kabla ya kupima hizo dagaa mkono wako ulishika nini. Pia nimeonesha wanaovaa vitu vya kushikia.
Ushauri wangu kwa ambao mnafanya hivyo muache, maana hatujui kabla ya kupima hizo dagaa mkono wako ulishika nini. Pia nimeonesha wanaovaa vitu vya kushikia.