Wauza mahindi: Hatuna mahindi tena Tanzania, yaliyopo yanatoka Zambia na Malawi

Wauza mahindi: Hatuna mahindi tena Tanzania, yaliyopo yanatoka Zambia na Malawi

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Akizungumza na Azam Tv M/Kiti wa wafanyabiashara wa mazao ya chakula amedai Tanzania haina tena uwezo wa kujilisha na chakula chote hivi sasa kinatoka Nchi jirani ya Zambia na Malawi.

Ikumbukwe mapema leo akiwa kwenye ziara na Samia huko Kondoa Mkoani Dodoma Waziri mwenye dhamana ya chakula amedai nchi inajitosheleza kwa chakula.
 
Akizungumza na Azam Tv M/Kiti wa wafanyabiashara wa mazao ya chakula amedai Tanzania haina tena uwezo wa kujilisha na chakula chote hivi sasa kinatoka Nchi jirani ya Zambia na Malawi.

Ikumbukwe mapema leo akiwa kwenye ziara na Samia huko Kondoa Mkoani Dodoma Waziri mwenye dhamana ya chakula amedai nchi inajitosheleza kwa chakula.
View attachment 2424425
Kwani kuna mtu amekufa kwa njaa au ameomba chakula kwa sababu ya njaa Tanzania.

kama hakuna basi nchi inajitosheleza kwa chakula
 
Tulipiga kelele jamani msimu huu soko la ndani pekee linatosha tufunge mipaka matokeo ndio hayo acha tupige hizo GMO za zambia tu hatuna namna maana mahindi hayo ya settlers waliofukuzwa zimbabwe wakahamia zambia wanajipandia GMO ngoja tuipige hadi tukome
 
Sasa kwa dharula walau kwa kukimbizana serikali ishushe ushuru kule mtambaswala walau chakula kiingie nchini ili soko walau bei zibalance na sio blah blah za Bashe mara mahindi yapo wakati sokoni ni kweupe
 
Tulieleza hadi serikali za Rwanda na Uganda na Kenya zinavowapa pesa mawakala waingie kununua kwetu mazao ya chakula lakini wapi ndio kwanza wakafunga masikio lakini twende hadi tufike january au february huko itajulikana
 
Mtambaswala wakati mahindi hayo yanatokea Mozambique?

Border za malawi na zambia hazina shida sana , kule msumbiji kuna mahindi wanayo na bei iko chini na siku hizi border ni lazima upitie mtambaswala tu hasa pale border upande wetu wanachaj ushuru kwa kilo ambapo kilo moja kwa pale upande wetu ni 250 , ukipakia tani 32 , unatakiwa ulipie milioni 8 ili kuingiza gari yenye mzigo upande wa Tanzania, hapo ndio tunashauri kule ushuru ushuke kwa dharura walau iwe hata 40 au 50 kwa kilo ili watu wakachangamkie mahindi yaingie Tanzani japo nayo wamizambique sio kwamba wanamahindi mengi ya kutisha
 
Akizungumza na Azam Tv M/Kiti wa wafanyabiashara wa mazao ya chakula amedai Tanzania haina tena uwezo wa kujilisha na chakula chote hivi sasa kinatoka Nchi jirani ya Zambia na Malawi.

Ikumbukwe mapema leo akiwa kwenye ziara na Samia huko Kondoa Mkoani Dodoma Waziri mwenye dhamana ya chakula amedai nchi inajitosheleza kwa chakula.
View attachment 2424425
Wakulima ndio kwa sasa wanapelekewa mahindi ya msaada
 
Tulipiga kelele jamani msimu huu soko la ndani pekee linatosha tufunge mipaka matokeo ndio hayo acha tupige hizo GMO za zambia tu hatuna namna maana mahindi hayo ya settlers waliofukuzwa zimbabwe wakahamia zambia wanajipandia GMO ngoja tuipige hadi tukome
Mkuu humu kuna watu akili ni fupi sana na wanatetea ujinga,
 
Tulieleza hadi serikali za Rwanda na Uganda na Kenya zinavowapa pesa mawakala waingie kununua kwetu mazao ya chakula lakini wapi ndio kwanza wakafunga masikio lakini twende hadi tufike january au february huko itajulikana
Then watu wanamuona Bashe kama Exceptionak fulani
 
Tulieleza hadi serikali za Rwanda na Uganda na Kenya zinavowapa pesa mawakala waingie kununua kwetu mazao ya chakula lakini wapi ndio kwanza wakafunga masikio lakini twende hadi tufike january au february huko itajulikana
Meli za mahindi ya GMO zimeanza kutua Kenya, tusishangae tutapoanza kuuziwa hayo mahindi huku kwetu.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom