Wauza mahindi: Hatuna mahindi tena Tanzania, yaliyopo yanatoka Zambia na Malawi

Wauza mahindi: Hatuna mahindi tena Tanzania, yaliyopo yanatoka Zambia na Malawi

Tulipiga kelele jamani msimu huu soko la ndani pekee linatosha tufunge mipaka matokeo ndio hayo acha tupige hizo GMO za zambia tu hatuna namna maana mahindi hayo ya settlers waliofukuzwa zimbabwe wakahamia zambia wanajipandia GMO ngoja tuipige hadi tukome
Kalime kwanza halafu ukishavuna ndio ushauri mipaka ifungwe.
 
Akizungumza na Azam Tv M/Kiti wa wafanyabiashara wa mazao ya chakula amedai Tanzania haina tena uwezo wa kujilisha na chakula chote hivi sasa kinatoka Nchi jirani ya Zambia na Malawi.

Ikumbukwe mapema leo akiwa kwenye ziara na Samia huko Kondoa Mkoani Dodoma Waziri mwenye dhamana ya chakula amedai nchi inajitosheleza kwa chakula.
View attachment 2424425
Licha ya kwamba huyo kaongea upotoshaji ila kikubwa mahindi yapo ya kutosha swala la wapi yanatoka sio dili..

Kama Zambia na Malawi wanatulisha Basi waambie wafunge mipaka tuone Kama hatuna mahindi kwenye maghala yetu..

Huku Mkoa niliko mahindi yameshashuka Bei kwa Sasa maana mvua zinanyesha na mahindi ya mabustanini yameanza kuingia sokoni
 
Kwani Zambia huko unazani ni nini? Si GMO? au unazania GMO yana rangi tofauti?
Pia Zambia wanazalisha settlers wale waliokuwaga Zimbabwe..

Ikumbukwe kabla ya kufukuza Wazungu Zimbabwe ndio alikuwa mzalishaji namba 1 wa Mahindi Africa
 
Malawi nae kwenye mahindi hataki mchezo ashapiga ban sema yanavuka kimagendo tu sababu vichochoro vingi
Ataachaje kupiga ban wakati Hana mahindi ya kutosha?

Mahindi yaliyopo kwenye vihenge tuu vya Serikali yanatosha kuwalisha mwaka mzima.
 
Mahindi ya kuuza kutoka Tanzania ndo hakuna
Ghala la Taifa wamefunga

Zambia wananunua mahindi kwenye ghala la Taifa la Zambia

Sijui kwanini watu husema maneno nusu nusu.
 
Rift valley kenya wameanza kuvuna mahindi lakini ni machache, Nilikua naangalia wapinzani wa kule wanataka GMO isiingizwe kwao lakini tani laki mbili zimetia nanga, kenya hali ya chakula ni mbaya hasa ukizingatia wao wanakula sana ugali karibu nchi nzima ndio chakula kikuu, hata Tanzania lazima yaletwe maana ikifika january february tutaongea lugha fulani hivi nzuri kwa pamoja
February mahindi kutoka Bonde la ziwa y Rukwa yatakuwa yamekomaa,kwanza Disemba hii mahindi ya mabustanini yanakuwa tayari sokoni kwa Wingi maana hupandwa kiangazi.

Mkoa niliko Hakuna mwezi hatuli mahindi ya kuchoma na kande mbichi,ningekuwa misele saiz ningekupigia picha nikuoneshe mahindi mabichi sokoni..

Kwa hiyo acheni kutosha watu na mwaka huh nalima ili nije kupiga Pesa next year kwa Bei za 80,000-105,000 tulizouzia mwaka huu..

Tunaomba ukame iendelee kuwanyoosha huko mikono kwenu ili tupige pesa.Hakuna hata siku Moja Nyanda za Juu Kusini ikakosa mvua ila zinaweza pungua tuu.
 
February mahindi kutoka Bonde la ziwa y Rukwa yatakuwa yamekomaa,kwanza Disemba hii mahindi ya mabustanini yanakuwa tayari sokoni kwa Wingi maana hupandwa kiangazi.

Mkoa niliko Hakuna mwezi hatuli mahindi ya kuchoma na kande mbichi,ningekuwa misele saiz ningekupigia picha nikuoneshe mahindi mabichi sokoni..

Kwa hiyo acheni kutosha watu na mwaka huh nalima ili nije kupiga Pesa next year kwa Bei za 80,000-105,000 tulizouzia mwaka huu..

Tunaomba ukame iendelee kuwanyoosha huko mikono kwenu ili tupige pesa.Hakuna hata siku Moja Nyanda za Juu Kusini ikakosa mvua ila zinaweza pungua tuu.
Upo mkoa gani?
 
Akizungumza na Azam Tv M/Kiti wa wafanyabiashara wa mazao ya chakula amedai Tanzania haina tena uwezo wa kujilisha na chakula chote hivi sasa kinatoka Nchi jirani ya Zambia na Malawi.

Ikumbukwe mapema leo akiwa kwenye ziara na Samia huko Kondoa Mkoani Dodoma Waziri mwenye dhamana ya chakula amedai nchi inajitosheleza kwa chakula.
View attachment 2424425
Mbona tunaagiza ngano haiwi issue muhimu asife mtu kwa njaa.
 
Rift valley kenya wameanza kuvuna mahindi lakini ni machache, Nilikua naangalia wapinzani wa kule wanataka GMO isiingizwe kwao lakini tani laki mbili zimetia nanga, kenya hali ya chakula ni mbaya hasa ukizingatia wao wanakula sana ugali karibu nchi nzima ndio chakula kikuu, hata Tanzania lazima yaletwe maana ikifika january february tutaongea lugha fulani hivi nzuri kwa pamoja
Sasa si mpaka ghala la taifa liishiwe wakala wa serikali wa ghala la taifa si ndio kazi yao kuhifadhi hicho chakula , kwa sasa wafanyabiashara wao ndio kazi yao kuuza kama ndani wamekosa lazima wakanunue nje na wakala hawezi kutoa chakula ghala la taifa mpaka nchi iwe na njaa rejea zama zile za jk Tanzania inajitosheleza haiwezi kufikia huko.
 
Mwakani basi mahindi yatakavyoshuka bei[emoji3061]

Debe la mahindi litauzwa mpaka elfu3.
 
Akizungumza na Azam Tv M/Kiti wa wafanyabiashara wa mazao ya chakula amedai Tanzania haina tena uwezo wa kujilisha na chakula chote hivi sasa kinatoka Nchi jirani ya Zambia na Malawi.

Ikumbukwe mapema leo akiwa kwenye ziara na Samia huko Kondoa Mkoani Dodoma Waziri mwenye dhamana ya chakula amedai nchi inajitosheleza kwa chakula.
View attachment 2424425
Hatari kwakweli
 
Kwani kuna mtu amekufa kwa njaa au ameomba chakula kwa sababu ya njaa Tanzania.

kama hakuna basi nchi inajitosheleza kwa chakula
Kutoka bei ya unga shs 1000 mpaka shs 2000 unasema hakuna shida?!!!

Kuna watu hata mlo mmoja wa familia siku hizi ni mtihani,dharau na kebehi hazifai.

Price inflation ni kubwa sana kwenye kila bidhaa.

Rais Hussein Mwinyi kule Zanzibar analifanyia kazi vizuri sana hili tatizo,huku bara wafanyabiashara wanajiamulia tu na dola inawapigia makofi!!
 
Kutoka bei ya unga shs 1000 mpaka shs 2000 unasema hakuna shida?!!!

Kuna watu hata mlo mmoja wa familia siku hizi ni mtihani,dharau na kebehi hazifai.

Price inflation ni kubwa sana kwenye kila bidhaa.

Rais Hussein Mwinyi kule Zanzibar analifanyia kazi vizuri sana hili tatizo,huku bara [ICODE][ICODE][I][B]wafanyabiashara wanajiamulia tu na dola inawapigia makofi!![/B][/I][/ICODE][/ICODE]
Sema kaka ww ungekuwa mfanyabiashara ungecomment hivi???
 
Back
Top Bottom