A
Anonymous
Guest
Mwaka jana miezi kama hii walitutembelea maofisa wa bank ya CRDB tawi la Livingston na kutushauri kutuongezea mtaji kwa kutupa mikopo, sisi wafanyabiashara wa hali ya chini tulichangamkia fursa kwa kwenda bank kufungua account na kupata fomu za mkopo huo ulioitwa mkopo wa Mama Samia
Matokeo yake ni mwaka na zaidi sasa hizo fomu hazijafika bank na zipo kwa viongozi wa soko na tunajibiwa kuwa sisi ni wachanga hatuwezi kupewa mkopo, na majibu haya anayatoa kiongozi wa soko upande wa MBEYA RICE anayeitwa Kabosi. Maajabu yake hao viongozi wa soko kila wakati wanakopa kwenye mabank balimbali.
Huyu kiongozi wa soko ambaye fomu zipo ofisini kwake ametukwamisha mambo mengi maana wafanyabiashara hawa wadogo walikuwa wanachukua mikopo kwenye taasisi nyingine na wakaachana nazo kwa kutegemea mikopo ya crdb, na kuendelea kusubiria mkopo wa CRDB uliokwama mwaka na kitu sasa
Huyu kiongozi wa soko Kaboss amegoma kabisa kutusainia mikopo yetu na kakaa na fomu ofisini kwake.
Tunakuomba mbunge Tulia na Rais Samia utusaidie kwa hili kwani kwenye masoko mengine wameishapata muda mrefu
Ni sisi wafanyabiashara wa mchele mashine za mpunga Sido Mbeya
Matokeo yake ni mwaka na zaidi sasa hizo fomu hazijafika bank na zipo kwa viongozi wa soko na tunajibiwa kuwa sisi ni wachanga hatuwezi kupewa mkopo, na majibu haya anayatoa kiongozi wa soko upande wa MBEYA RICE anayeitwa Kabosi. Maajabu yake hao viongozi wa soko kila wakati wanakopa kwenye mabank balimbali.
Huyu kiongozi wa soko ambaye fomu zipo ofisini kwake ametukwamisha mambo mengi maana wafanyabiashara hawa wadogo walikuwa wanachukua mikopo kwenye taasisi nyingine na wakaachana nazo kwa kutegemea mikopo ya crdb, na kuendelea kusubiria mkopo wa CRDB uliokwama mwaka na kitu sasa
Huyu kiongozi wa soko Kaboss amegoma kabisa kutusainia mikopo yetu na kakaa na fomu ofisini kwake.
Tunakuomba mbunge Tulia na Rais Samia utusaidie kwa hili kwani kwenye masoko mengine wameishapata muda mrefu
Ni sisi wafanyabiashara wa mchele mashine za mpunga Sido Mbeya