Niko salama kabisa mkuu,ninatumaini na wewe uko poa.Lili Tony hujambo? Mimea hapo sua haijambo? Wewe kanunue hizi uuze pochi flan hiv classic sanaView attachment 3142732View attachment 3142733View attachment 3142734
Kama vipi unazinunua unauza hizi mimea nyongezaNiko salama kabisa mkuu,ninatumaini na wewe uko poa.
Pochi nzuri naweza achana na mimea nikageukia upande huu😄😄😄(joking)
Weka picha hapa upate wateja mshangazzHata mie NAUZA POCHI za manyoya
Sawa mkuu,shukraniKama vipi unazinunua unauza hizi mimea nyongeza
Mbona ghafla wapi huko duka lako li wazi?Hata mie NAUZA POCHI za manyoya
SwaafiKuna Lasket mpya mjini wazee inaitwa mgongo! Kariakoo nzima ni 45-42. Kuna duka linauza 36 tu.. ni Mtaa wa Nyamwezi na mchikichi.
Iko standard sana hii
View attachment 3143648View attachment 3143649View attachment 3143650View attachment 3143651View attachment 3143652
Nisukumie namba yako Kaka ,Kama kichwa Cha habari nikucheki bro ,ndiyo nitaweza kuona nahisi hizi pochi zinaweza kunipa mkeSafi kabisa japo umeweka misamiati mingi ya kiinglishi nimepoteana kaka
Mchikichi na sikukuuMzee Kalaga Baho Nongwa natafuta chimbo za kofia kama hizi. Naomba connection mkuu
Malembeka hujambo?Mzee wa machimbo
SawaNisukumie namba yako Kaka ,Kama kichwa Cha habari nikucheki bro ,ndiyo nitaweza kuona nahisi hizi pochi zinaweza kunipa mke
PamojaSawa
Bro kicwhwa chq habari kisipokuwa namba yako siwezi kuwa na access ya kuwasiliana na ww Mimi PM yangu siwezi kutuma meseji Wala kusoma yote kakaSawa
Mkuu hivi hizo pochi anaenunua kwa huyo shangaz na kuchukua Toka china ipi Bora0628731833
0778321833
Akikujibu nitagMkuu hivi hizo pochi anaenunua kwa huyo shangaz na kuchukua Toka china ipi Bora
Unajua kununua China risk yake. Unailaza hela majini kama miezi mitatu hiv..Mkuu hivi hizo pochi anaenunua kwa huyo shangaz na kuchukua Toka china ipi Bora